kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,746
Mara yangu ya kwanza kuwahi quote mradi Bongo tulifanya kwa shillingi za Tanzania, duh! nilishtuka kuona tunaandika bilioni, yaani kuwa milionea Bongo ni jambo rahisi, ila kwa shilingi za Kitanzania. Jameni kwetu Kenya hata ufanye usiku na mchana mfululizo, utakufa bila kuitwa bilionea, ama hata kuna wengine milioni ya Kikenya ni ndoto.
Unakula chakula na vinywaji hotelini halafu bill laki moja, duh! yaani laki, ampabo kwetu utanunua kiwanja.
CC: kadoda11 Bulldog Geza Ulole
hiyo ndio tofauti kati ya tsh na ksh,wachumi na wataalamu wa mambo ya fedha wanaelewa sababu ya kuwa hivyo.
Last edited by a moderator: