yani tusiwe na tabia ya kaa,mfanoKataa kuwa kaa anamaanisha nn?
izo tuzo za eatv mwaka huu zipo?????????????Eatv usisahau wameweza kuandaa tuzo za mambo mengi,na ni jamaa ambao wabunifu kupita efm,clouds
Muosha huoshwa [emoji28]Usijitoe ufahamu kujisahaulisha hao clouds walipopanga show ya Mwana Fa wakati siku hiyo Ladyjaydee alikuwa na uzinduzi wa albamu yake na wasanii aliowaalika Jide hawakwenda wakaenda show ya clouds
Acha wamnyooshe naye.Unajua Ruge alikua anatesa watu kwa style hii hii sasa leo amekutana na kiboko yake.
Mwambie ruge aache ufala ye wakati anawabania vinega, jide na wengine yeye hakuwa kaa.. now ni mwendo wa kaa tu mpaka iwe moto kaayani tusiwe na tabia ya kaa,mfano
kaa ukimuweka mwenyewe kwenye ndoo hufiki mbali utamkuta ametoka nje ya ndoo ila ukimuweka na wenzake hawezi kutoka kwa sababu wenzake wanamvuta arudi kwenye ndoo
nadhani mpaka hapo utakua umemuelewa ruge
Lengo sio kufanikiwa ni kuharibu na ruge amegwaya leo alikuwa analia kwenye tv akiwaita tve KAA.Efm hawawezi kufanikiwa...
Clouds washenzi,waonevu,wanyanyasaji etc,walimfanyizia jide kwa kuorganize show the same day ili wammalize hide,walimfanyia sugu the same thing lkn sugu alidhulumiwa mradi wa malaria na ruge hali iliyosababisha sugu kuanzisha harakati za antivirus akawa anashawishi watu wasiangalie wala kusikiliza clouds,lkn yeye akifanyiwa analialia kila mahali. Hakuna namna ya kumfundisha ruge zaidi ya hivi.Karma is a bitch.
Kuna siku watu mtakuja kusema ccm inaonewa kwa sababu sasa hivi ipo madarakani hamuoni inavyowatesa Watanzania. Ni sawa na hao clouds nakumbuka tamasha la Sugu la Anti virus nao walipanga tarehe hiyohiyo na wakamleta msanii kutoka Marekani, lakini Sugu alishinda kwa kupata public sympathy.
Nakumbuka aisee, ni hawahawa kina majay kipindi hicho wana E masters mwananyamala,wanafanya vipindi vya tv vinaruka channel ten kimoja alikuwa anatangaza vj penny...aisee ilikuwa nooma majay alilia siku ile na boys 2 men walipata udhuru wakaahirisha kuja..kuna ile pia haohao Entertainment masters kipindi wameshafungua maisha club wakamleta T PAIN na MIMS..T pain kurudi marekani akakandia sana maandalizi ya ile show ya Tanzania basi kina B12 ACHA WASHADADADIE kwenye xxl...sasa naona Majay yupo kazini kulipa kisasiKama mnafuatilia zamani clouds walishawafanyiaga hivi hivi times FM au magic (mtanirekebisha kidogo) walimleta Joe Thomas na wasanii wengine kutoka nje (venue leaders club ) na wao walikuwa wakwanza kutangaza siku ya tukio na clouds baada ya muda wakatangaza kumleta eve na fat Joe (venue viwanja vya posta) ,kusema kweli leaders kulipwaya yaani ile nafasi mnaweza mkaweka magori mkacheza mipira ya miguu ,alafu asubuhi take Gerald hando aliwaponda sana kwenye PB Leo yupo E FM.Clouds watu wafitina huwezi jua waliwafanya nini E FM.
Tuzo hizo hazipo,na si hizo tu zote hazipo.izo tuzo za eatv mwaka huu zipo?????????????
Ina maana ni kosa kuwa na event same day?Walianza kutangaza Clouds kuwa Ruge atakua Live kwny vyombo vyao ndo hao TV E wakafuata..! Na hio tarehe 25 toka wiki iliyopita Clouds wanaimba kuwa Fiesta Dar wao wametangaza leo tamasha la bure tar 25 unahisi nani mchokozi?
ngoma inawageukia wao sasa full kupagawaMngewauliza Channel ten walichofanyiwa na clouds show ya fally ipupa Arusha..au Mama sakina wa mashujaa band alichofanyiwa siku ya show ya Jb Mpiana mpaka akazimia,watu wanafanya fitna umeme unakatwa show inapoanza ,jenereta lako la standby linakuwa limechezewa,muda huo ukipaniki uanze kuulizia sehemu za kukodi nako fitna ishapita
Na kama hujajiandaaaaa kichawi hata mvua unaletewa
Kwahiyo wewe ukitaka kwenda kujisaidia huko chooni kwako ndio ulazimishe na mimi nijipangie muda mwingine wa kujisaidia eti kwasababu mimi nawewe ni mapacha? Hahahahaha not to that extentHata kama ni Competition hicho wanachotaka kufanya Efm/TVE ni utoto sasa... Kwa style hii maendeleo nchi hii ngumu sana
Inajulikana Fiesta ni brand ya clouds kwa nini usipange ratiba zako tarehe nyingine kama unahamu ya kutupa tamasha la bure? To me that is so low and pathetic! Kama wao ndio walianza kutangaza tarehe basi clouds wasogeze mbele
Kama kumbukumbu zangu zitakuwa vizuri fiesta haikuwa brand ya clouds bali ilikuwa ya east Africa Kwa udhamini wa sigara ya sm na vanue yake ilikuwa daimond jubilee.Hata kama ni Competition hicho wanachotaka kufanya Efm/TVE ni utoto sasa... Kwa style hii maendeleo nchi hii ngumu sana
Inajulikana Fiesta ni brand ya clouds kwa nini usipange ratiba zako tarehe nyingine kama unahamu ya kutupa tamasha la bure? To me that is so low and pathetic! Kama wao ndio walianza kutangaza tarehe basi clouds wasogeze mbele