Maxmizer
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 4,799
- 4,226
yani tusiwe na tabia ya kaa,mfanoKataa kuwa kaa anamaanisha nn?
kaa ukimuweka mwenyewe kwenye ndoo hufiki mbali utamkuta ametoka nje ya ndoo ila ukimuweka na wenzake hawezi kutoka kwa sababu wenzake wanamvuta arudi kwenye ndoo
nadhani mpaka hapo utakua umemuelewa ruge