Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

Ningepata hii akili back then

Big up
 
Wakuu kuna mtu wa karibu nyangu kaomba nimuulize swala, ikiwa mtu anazo 80m kwa mwezi anaweza akachukuwa ngapi?
UTT asante
 
Wakuu kuna mtu wa karibu nyangu kaomba nimuulize swala, ikiwa mtu anazo 80m kwa mwezi anaweza akachukuwa ngapi?
UTT asante
Itakuwa 800k
Sbb ni 1% yake
Ila kwa pesa mingi sijui..
 
Kuna mutual fund nyengine inaitwa FAIDA FUND.
Unaijua?

Nayo ijaribu.

#YNWA
 
UTT haina mmiliki ila UTT inasimamiwa na Wizara ya Fedha.
Inachofanya UTT ni kukusanya mitaji kwa watu na kuwasaidia kuwekeza.

#YNWA
 
Asante sana. Ni kampuni ya serikali. Bunge lilihusishwa wakati wa uanzishwaji au ni wizara tu au ni nani hasa? Kwa vifungu gani vya sheria? Board of directors na watendaji wake wakuu wanachaguliwa/kuteuliwa na nani?
To cut long story short, unauliza maswali ya kindezi!
 
Asante sana. Ni kampuni ya serikali. Bunge lilihusishwa wakati wa uanzishwaji au ni wizara tu au ni nani hasa? Kwa vifungu gani vya sheria? Board of directors na watendaji wake wakuu wanachaguliwa/kuteuliwa na nani?
UTT ni taasisi inayohusika na ukusanyaji wa mitaji na kuwekeza kwenye low risk areas.
UTT Amis husimamiwa na serikali kupitia Wizara ya Fedha.
Na si kampuni.

#YNWA
 
Nikweli kabisa ..usije ukashangaa utt mbeleni wakaikopesha selikari ikawa ndo bas tena
mkuu,
Kama ulikuwa haujui serikali ya Tanzania
  • ina historia nzuri ya kulipa madeni yake.
  • Tangia uhuru haijawahi shindwa kulipa madeni
  • Pitia data za uchumi na siyo siasa
  • Benki kubwa zote nchini zinatengeneza faida kwa kuikopesha serikali
  • Kama wabisha kasome financial statements za CRDB na NMB
 
Yan nchi bado sana kwenye financial markets...
Pale wizarani tunahitaji wabobezi wenye ku-promote hili suala katika jamii.
Kuna watu Hawajui kuhusu
  • fixed deposit za benki
  • Investment bank
  • Mutual fund
  • Hedge fund
  • External traded fund
  • Stock market
  • Treasury bonds and Bill's
  • Mercantile market
Na lack ya hii knowledge ina kwamisha biashara za bongo zisivuke mipaka.
Wahindi na waarabu ndipo wanapotukamatia uchumi...
 
Hongera mkuu,mi nimepambana nimefika 98M now.mfuko ni liquid fund.Kwa mwezi napata faida ya kama 900k au zaidi.
Niko tempted kuitoa na kujeng nyumba za kupangisha ila nahofia kuanza upya savings as it wasn't easy.Nimeanza more than 4 years ago nimepambana kusave kwa machozi jasho na damu.Najinyima haswa.Nyumba ya makazi ninayo ila biashara zilishanipiga mno kipindi cha nyuma.sina nguvu kabisa ya kurudi humo.Bado najitafakari
 
Unamoyo mwanangu Mimi nina saving 20m Nina miaka 25
 
Unamoyo mwanangu Mimi nina saving 20m Nina miaka 25
Usijali anza mapema utafika mbali,mi ningeanza wakati nna umri wako ningekuwa mbali sana ila hiyo elimu sikuwa nayo, kwa umri wangu najiona nimechelewa.So nakutia moyo usiache ukija kufika uzeeni utafurahia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…