macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Sijui ni kwa nini, lakini kuna kitu ndani ya roho yangu kinaniambia hapa siyo sehemu salama sana ya kuwekeza. Ila naweza kuwa siko sahihi hata kidogo.Serikali,
Unaanza kuwekeza 100k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui ni kwa nini, lakini kuna kitu ndani ya roho yangu kinaniambia hapa siyo sehemu salama sana ya kuwekeza. Ila naweza kuwa siko sahihi hata kidogo.Serikali,
Unaanza kuwekeza 100k
Endelea kukisikiliza mkuu,Sijui ni kwa nini, lakini kuna kitu ndani ya roho yangu kinaniambia hapa siyo sehemu salama sana ya kuwekeza. Ila naweza kuwa siko sahihi hata kidogo.
Hisia ni lazima hasa kwa mtu kama mimi ninayezijua hisia zangu kutoka na experince. Anyways sina mpango kabisa wa kuwekeza hata senti tano huko kwa sababu sina.Endelea kukisikiliza mkuu,
Ukimaliza inuka katafute taarifa sahihi kuhusu UTT kisha fanya maamuzi,
Usilete hisia kwenye pesa na uwekezaji, huku ni facts na namba tu
Mbona ni vile vile tu unafaiwa 18Mmie nilidunduliza nikafika mil 22,nikaenda bank nikachukua loan ya 40m nikaweka kwenye ujenzi.
Sijui ni kwa nini, lakini kuna kitu ndani ya roho yangu kinaniambia hapa siyo sehemu salama sana ya kuwekeza. Ila naweza kuwa siko sahihi hata kidogo.
Endeleeni kusita mkuu.Hata mimi roho huwa inasita sana kuhusu hili jambo
Shida n hawataki kujifunza, wanaleta tu hisia badala ya kuuliza najifunza vipi kuhusu hiki kitu ?Kwa wengi ambao wanahofia juu ya masomo ya mitaji na uwekezaji hawana makosa.Wengi wa vijana iwe wasomi au sio wasomi,bado hawana elimu juu ya masomo ya mitaji na uwekezaji.
Hii kitu ilikuwa na umuhimu wa kuwekwa kwenye mitaala ya shule japo kwa kugusia tu.
Kama ingefanyika hivyo basi hata maneno kama Hisa,Hati fungani na Mirabaha isingekuwa misamiati migumu kwa watanzania.
Yani hiyo UTT ni mfuko wa uwekezaji,ndani yake kuna mifuko kama sita yenye kulenga sehemu tofauti,kuna kwa ajili watoto wako,hati fungani n.kHela yoyote niipatayo more than 50% nawekeza
mie nilidunduliza nikafika mil 22,nikaenda bank nikachukua loan ya 40m nikaweka kwenye ujenzi.
UTT nilidunduliza tu mshahara wangu kwenye mfuko wa liquid,bank nilikopa kwa kutumia mshahara...pesa ya UTT nikatoa yote nikaongeza na mkopo wangu,nimejenga nyumba ya mzee wangu kuzeekea pazuri.Kwema mkuu ulitumia 𝑼𝒕𝒕 mfuko gani na je ili upate mkopo benk ulitumia nini kutoka utt
UTT nilidunduliza tu mshahara wangu kwenye mfuko wa liquid,bank nilikopa kwa kutumia mshahara...pesa ya UTT nikatoa yote nikaongeza na mkopo wangu,nimejenga nyumba ya mzee wangu kuzeekea pazuri.