Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Mkuu mbona unapeleleza madili yetu sisi CCM?Achilia mbali kufichwa, lakini je huyo mnunuzi alipatikanaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona unapeleleza madili yetu sisi CCM?Achilia mbali kufichwa, lakini je huyo mnunuzi alipatikanaje?
Sasa hiyo risiti si itakuumbua mkuuHatari thana...
AIP01SBV0DQ Imethibitishwa.Umepokea Tsh50.00 kutoka 219777 - M-PESA FAIDA tarehe 25/9/23 saa 12:39 AM Salio lako ni M-Pesa ni Tsh70.30.
Itaniumbuaje mkuu???Sasa hiyo risiti si itakuumbua mkuu
Hiyo risiti ya mpesa AIP01SBV0DQ wakiicheck kwenye system wanaijua namba yako ya simu mkuuItaniumbuaje mkuu???
Let them try!Hiyo risiti ya mpesa AIP01SBV0DQ wakiicheck kwenye system wanaijua namba yako ya simu mkuu
Sawa mkuu ni tahadhari tu nilikua nakupaLet them try!
I'm not that stupid Sir.
Ngoja ni kashindanie zabuni mzee [emoji383]Huo mradi ulitangazwa unauzwa zamani sana, labda kama hukupeleka dau,
Ila hujachelewa, wamesema hawajaconclude, wahi uwapindue
Mnunuzi asiyekuwa na mawaa yoyote, kuna sababu zipi hasa za kumfanya awe siri?Ni jambo jema kama amepatikana mmiliki mpya. Sema tu hawana sababu ya kumficha huyo mnunuzi. Maana ni suala tu la muda kabla hajafahamika rasmi.
Bora wauze tu ili mwekezaji apaendeleze, miradi mingi tu Kigamboni na DSM nzima Magufuli ndio aliiuwa. tungekuwa mbali sana.Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umesema hadi Oktoba 31, mwaka huu utakuwa umekamilisha hatua zote za uuzaji wa Mradi wa Dege Eco Village kwa karibu Dola 220 milioni za Marekani (zaidi ya Sh501 bilioni). Mradi huo uliopo Kigamboni, Dar unapata mteja ikiwa ni baada ya ujenzi wake kusimama kwa zaidi ya miaka saba tangu Januari 2016.
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Mshomba leo Septemba 25, 2023 amesema Mradi huo umeuzwa kama ulivyo bila kumtaja mnunuzi kutokana na taratibu kubana, ikiwa ni utekelezaji wa uamuzi wa Bodi ya Mfuko na Serikali ili kurudisha fedha za wanachama zilizowekezwa awali katika mradi huo.
Kwa mujibu wake, hadi uamuzi wa kuuzwa mradi huo unafikiwa tayari ulikuwa umeshatumia zaidi ya Sh330 bilioni huku akieleza kuwa kwa mnunuzi waliyempata watakuwa wamepata faida.
Huko mbali sana na ukweli.ZIle kelele za kurekebisha sheria ili wageni wanunue nyumba nafikiri sio za bure, tunaandaliwa kisaikolojia.
Nchi ina watu wa hovyo hovyo sana hii
Inawezekana sana mnunuzi ndiye huyo huyo.Kuna yule Azimio aliingia ubia na NSSF na kuithaminisha ardhi iliyotumika kwa bei ya kuruka mpaka akaingia kwenye ripoti za CAG, wamemalizanaje? Maana hisa zake zilikuwa 55%
Napenda san jinsi unavyo ipendaga nchi yako pale inavyo fanya Mambo ya kipuuzi naona unaumizwa snaZIle kelele za kurekebisha sheria ili wageni wanunue nyumba nafikiri sio za bure, tunaandaliwa kisaikolojia.
Nchi ina watu wa hovyo hovyo sana hii
Nimesipita Sana Happ nikiwa nafata mchanga mbutuFaida tupu wallah.. Jamaa wanakuja kufanya finishing tuuView attachment 2761852View attachment 2761853
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee jinga Kweli Sasa ikiuzwa kila kitu wanetu watakuja kuwa watwna ktk nchi Yaobora wauze tu ili mwekezaji apaendeleze. miradi mingi tu kigamboni na dsm nzima magufuli ndio aliiuwa. tungekuwa mbali sana.
Kuna watu wanao ishi jirani na zile nyumba kipindi inasimamissshwa na mkandarasi kufukuzwa jamaaa waliingia ktk site ya mkandarasi wakaiba kila kinacho bebekaa Ni hasra kubwa imepatikana paleUshafika kwenye mradi vitu vingi vimeibwa vitu ngivi vimeharibik
shida yako ni kwamba kichwa chako kimejaa kamasi na hata hutaki kupeng'aa zitoke. mradi wa NSSF kigamboni uligubikwa na rushwa mno na yule ustaadh aliyekuwa na msikini ndani ya ofisi ya nssf kama unamkumbuka. Magufuli alipoingia alifukunyua hadi mradi huo ukakwama, kama kuna mwenye uwezo, awe mtanzania au sio mtanzania akinunua atapaendeleza. pesa waliyouza wanaweza kuwekeza kwengine kwenye faida zaidi kuliko huko kwenye real estate. waende wanunue hata corporate bonds tu BOT au wanunue hisa kwenye mabenki yenye faida, pesa itajigenerate. kwani kabla hawajauza, wewe na watoto wako mlikuwa mnamiliki nini kwenye yale majengo? au na wewe ni wale wasindikizaji tu?unaelewa nani huwa anafaidika na hayo mashirika? wewe ni mmoja wapo?Wee jinga Kweli Sasa ikiuzwa kila kitu wanetu watakuja kuwa watwna ktk nchi Yao
HV unaifahamu huo mradi au zile gorofa au uliona picha tu
Wee Ni mjinga na umeonesha ujinga wako hapa tayarishida yako ni kwamba kichwa chako kimejaa kamasi na hata hutaki kupeng'aa zitoke. mradi wa NSSF kigamboni uligubikwa na rushwa mno na yule ustaadh aliyekuwa na msikini ndani ya ofisi ya nssf kama unamkumbuka. Magufuli alipoingia alifukunyua hadi mradi huo ukakwama, kama kuna mwenye uwezo, awe mtanzania au sio mtanzania akinunua atapaendeleza. pesa waliyouza wanaweza kuwekeza kwengine kwenye faida zaidi kuliko huko kwenye real estate. waende wanunue hata corporate bonds tu BOT au wanunue hisa kwenye mabenki yenye faida, pesa itajigenerate. kwani kabla hawajauza, wewe na watoto wako mlikuwa mnamiliki nini kwenye yale majengo? au na wewe ni wale wasindikizaji tu?unaelewa nani huwa anafaidika na hayo mashirika? wewe ni mmoja wapo?