wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,203
Duh this life isn't fair, wakati mtu ana billions kwa account yake, mimi kwangu inasoma 0.00,[emoji29][emoji29][emoji29]
Ongera ww wa 0.00 cc inasoma songesha elf 70,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh this life isn't fair, wakati mtu ana billions kwa account yake, mimi kwangu inasoma 0.00,[emoji29][emoji29][emoji29]
Acha kabisakwa nini wewe usingekwenda kuzinunua? Zimekuwepo kwenye mnada kwa kipindi kirefu tu.
Hayajui huyo hayo magofu yalivyoHizo ni computer generated pictures
Mrudishe viinua mgongo vyetu haraka! nyingine mnajikopesha, nyingine mnatengeneza miradi magumashi ya ulaji kama huu, nyingine mnakwiba na sasa mnatafuta za kuwalipa wenzi wa majizi viongozi.aisee tumekabidhi nchi majambazi ee mungu tusaidie!Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umesema hadi Oktoba 31, mwaka huu utakuwa umekamilisha hatua zote za uuzaji wa Mradi wa Dege Eco Village kwa karibu Dola 220 milioni za Marekani (zaidi ya Sh501 bilioni). Mradi huo uliopo Kigamboni, Dar unapata mteja ikiwa ni baada ya ujenzi wake kusimama kwa zaidi ya miaka saba tangu Januari 2016.
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Mshomba leo Septemba 25, 2023 amesema Mradi huo umeuzwa kama ulivyo bila kumtaja mnunuzi kutokana na taratibu kubana, ikiwa ni utekelezaji wa uamuzi wa Bodi ya Mfuko na Serikali ili kurudisha fedha za wanachama zilizowekezwa awali katika mradi huo.
Kwa mujibu wake, hadi uamuzi wa kuuzwa mradi huo unafikiwa tayari ulikuwa umeshatumia zaidi ya Sh330 bilioni huku akieleza kuwa kwa mnunuzi waliyempata watakuwa wamepata faida.
Mnunuzi hajafichwa ni MIMI HAPA KUDADEKI? 😯😯😯Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umesema hadi Oktoba 31, mwaka huu utakuwa umekamilisha hatua zote za uuzaji wa Mradi wa Dege Eco Village kwa karibu Dola 220 milioni za Marekani (zaidi ya Sh501 bilioni). Mradi huo uliopo Kigamboni, Dar unapata mteja ikiwa ni baada ya ujenzi wake kusimama kwa zaidi ya miaka saba tangu Januari 2016.
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Mshomba leo Septemba 25, 2023 amesema Mradi huo umeuzwa kama ulivyo bila kumtaja mnunuzi kutokana na taratibu kubana, ikiwa ni utekelezaji wa uamuzi wa Bodi ya Mfuko na Serikali ili kurudisha fedha za wanachama zilizowekezwa awali katika mradi huo.
Kwa mujibu wake, hadi uamuzi wa kuuzwa mradi huo unafikiwa tayari ulikuwa umeshatumia zaidi ya Sh330 bilioni huku akieleza kuwa kwa mnunuzi waliyempata watakuwa wamepata faida.
Walitangaza kuuza, kuwa anaetaka aende akanunue, tuwe wafuatiliaji banaKapatikanaje?
Kwani kuna shida muarabu akiwekezaWaarabu hao wanakuja kuwekeza kwenye real estate
Ukizingatia nssf ilishachotwa fedha ikabaki nyeupe na mafisadi awamu ya 5, hakuna sababu kutesa watumishi wanaosubiri haki zao, mradi uuzwe ili fedha za recovery zipatikane na lijisongesheKwani kuna shida muarabu akiwekeza
What about hio ardhi ? Ni ekari ngapi na kwa market value ya leo ni Bei gani ? Haya mambo ya kuuziana vitu kwa bei za ajabu alafu tunaambiana kupata faida tunasahau hio ardhi ? Je ardhi ilikuwa mali ya nani kabla, waliinunua kwa kiasi gani na leo market value yake ni kiasi gani....Kwa mujibu wake, hadi uamuzi wa kuuzwa mradi huo unafikiwa tayari ulikuwa umeshatumia zaidi ya Sh330 bilioni huku akieleza kuwa kwa mnunuzi waliyempata watakuwa wamepata faida.
Unakaribishwa kwenda kununua ardhi kigamboni wahi sasa maneno hayakuwahi kusaidia lolote.What about hio ardhi ? Ni ekari ngapi na kwa market value ya leo ni Bei gani ? Haya mambo ya kuuziana vitu kwa bei za ajabu alafu tunaambiana kupata faida tunasahau hio ardhi ? Je ardhi ilikuwa mali ya nani kabla, waliinunua kwa kiasi gani na leo market value yake ni kiasi gani....
Naona sawa tu pia, kuliko magofu hayo kukaa nayo.Waarabu hao wanakuja kuwekeza kwenye real estate
Mjuwe mkamuibie [emoji1]Duh mnunuzi kama ananunua bangi bana [emoji23][emoji23]
Wao si ndiyo wanapesaAkili inaniambia aliyenunua ni mwarabu....ndio maana mnunuzi kafichwa maana angesemwa ingezidisha maneno mtaani....ndio maana mwarabu anatetewa sana maana kanunua vingi...tuendelee mtori nyama zinaanza kuonekana...SASA KILICHOBAKI KILICHOPO MBELE NI BUNGE KUPITISHA SHERIA YA ARDHI ILI WAMILIKI KABISA IWE YAO.
Kwa hali hii basi na nyinyi mnatakiwa mlipie zile tende na nyama ya kondoo mnazopewa bure wakati wa mfungo, na pia sikukuu ya Eid.Atakua mwarabu,naona hawataki makelele ya Wala Bure wenye kinyaa na waarabu kule madhabahuni
Sisi sheikh na imam Wana shughuli zao za kuwaingizia vipato,na bado nao wanatoa zaka na sadaka,hao wako hawatoi wanakula tu,wanaume hawali kwa jasho Wala masista hawazai kwa uchungu...tunapigwa!!Kwa hali hii basi na nyinyi mnatakiwa mlipie zile tende na nyama ya kondoo mnazopewa bure wakati wa mfungo, na pia sikukuu ya Eid.
Uzuri wa nchi hizo kama Uingereza nk ni nguvu ya uchumi nchi yenyewe iliyokuwa nayo dhidi ya hao wawekezaji ambao ni wachache mno kuweza kuiyumbisha nchi wenyeji. Pili miundo mbinu Yao ya kiylizi na Kodi IPO vizuri , hivyo kuweka uiano mzuri Kati ya wawekezaji na wenyeji.Kwan vibaya? Hivi ingekua huko ulaya wana mind set mbov kama yetu wasingeuza timu zile kwa matajiri wa kiarabu. Nasema waarabu waje wanunue kila kitu kwan pesa wanayo
Kwahiyo tumetumia Trillion 5 kujenga, halafu tunauza kwa bilioni 500?! 😅😅😅Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umesema hadi Oktoba 31, mwaka huu utakuwa umekamilisha hatua zote za uuzaji wa Mradi wa Dege Eco Village kwa karibu Dola 220 milioni za Marekani (zaidi ya Sh501 bilioni). Mradi huo uliopo Kigamboni, Dar unapata mteja ikiwa ni baada ya ujenzi wake kusimama kwa zaidi ya miaka saba tangu Januari 2016.
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Mshomba leo Septemba 25, 2023 amesema Mradi huo umeuzwa kama ulivyo bila kumtaja mnunuzi kutokana na taratibu kubana, ikiwa ni utekelezaji wa uamuzi wa Bodi ya Mfuko na Serikali ili kurudisha fedha za wanachama zilizowekezwa awali katika mradi huo.
Kwa mujibu wake, hadi uamuzi wa kuuzwa mradi huo unafikiwa tayari ulikuwa umeshatumia zaidi ya Sh330 bilioni huku akieleza kuwa kwa mnunuzi waliyempata watakuwa wamepata faida.