Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Unaulizwa A unajibu C [emoji23]Kama umeanza hizo mishe kitambo Kwa nini umeshindwa kununua hiyo dege?
Machadomo Kila kitu ni kupinga.Role model wenu huko Zambia ameanza kuweweseka,mara alakamike kupinduliwa nk
Wa Kenya haeleweki anachofanya probably atakuwa one term president.
Huko Ghana walikoshinda Wapinzani pamoja na Katiba Mpya Nchi imefilisika [emoji1787][emoji1787], Katiba Mpya imeshindwa kuleta ugali mezani Kwa watu.
Kiufupi Wapinzani hususani nyie ndio hata na sera na msiojua mnachosimamia ni watu wa hovyo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app