Pesa za umma zinafanyiwa misappropriation.Kwa hyo tuseme TANZANIA [emoji1241] KUNA PESA NYINGI TU DU HIVYO KUMBE MAAANA WATU WANACHOTA MAPESA NA BADO YAPO
Wewe unaona ni nyingi kwa sababu zimefanyiwa matumizi ya mara moja kwa mkupuo ila sio nyingi sababu zimekuwa pooled sehemu moja tu
Na ukipigia hesabu pesa hiyo ingetatua changamoto ya maji maeneo mangapi yenye shida so hakuna pesa nyingi hapo.