TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Kwa ukubwa gani walionao...si ndio mana hatuwataki machinga wa kiarabu😕DP world hawawezi Dili na vijimiradi vya kimachinga hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ukubwa gani walionao...si ndio mana hatuwataki machinga wa kiarabu😕DP world hawawezi Dili na vijimiradi vya kimachinga hivyo
Akianza kulima bangi? af ss bangi ni madawa ya 🤣🤣Kwani muarabu hana haki ya kuimiliki sehemu ya ardhi ya Tanzania [emoji1241]?
Ushamaliza salary tichaDuh this life isn't fair, wakati mtu ana billions kwa account yake, mimi kwangu inasoma 0.00,😓😓😓
Mpaka tukuvalishe bangili ya mguu ndio ujue ni mwarabu wa Dubei!?Ni wale wale wa Dubai?
Kwa hyo tuseme TANZANIA [emoji1241] KUNA PESA NYINGI TU DU HIVYO KUMBE MAAANA WATU WANACHOTA MAPESA NA BADO YAPOYani mnashangaa mnununzi kutotajwa?
Marehemu Abel Motika " Mr Ebbo" kwenye kibao chake cha maneno mbofu mbofu aliimba watoto wanafundishwa historia kuwa mzungu aitwaye Rebman ndio aligundua mlima Kilimanjaro na wakati kina Mangi walikuwepp hapo kila siku.
Kama watoto wanaanza kujazwa uongo kuhusu historia ya nchi wataachaje kudanganya mnununzi.
Igizo la royal tour tuliambiwa liligharimu bilion 7 eti zilichangwa na wadau ambao hawatajwi ila ukichunguza kiundani utajua kulikuwepo upigaji wa hali ya juu na hizo ni kodi za wananchi.
Mm hata hiyo hela ya kufungulia akaunt SinaDuh this life isn't fair, wakati mtu ana billions kwa account yake, mimi kwangu inasoma 0.00,😓😓😓
Hamna kitu,yaaani ni kuganga njaa tu,Ushamaliza salary ticha
Hakuna wa kumvisha kengere. CCM yote ni corrupt na mfumo unawaruhusu hadi katiba yenyewe inawabeba.Alaumiwe Mwendazake aliyekwapua pesa za nssf wakashindwa Kuendeleza mradi
Huenda mnunuzi ni mtumishi wa umma chini ya joka la kijañiMfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umesema hadi Oktoba 31, mwaka huu utakuwa umekamilisha hatua zote za uuzaji wa Mradi wa Dege Eco Village kwa karibu Dola 220 milioni za Marekani (zaidi ya Sh501 bilioni). Mradi huo uliopo Kigamboni, Dar unapata mteja ikiwa ni baada ya ujenzi wake kusimama kwa zaidi ya miaka saba tangu Januari 2016.
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Mshomba leo Septemba 25, 2023 amesema Mradi huo umeuzwa kama ulivyo bila kumtaja mnunuzi kutokana na taratibu kubana, ikiwa ni utekelezaji wa uamuzi wa Bodi ya Mfuko na Serikali ili kurudisha fedha za wanachama zilizowekezwa awali katika mradi huo.
Kwa mujibu wake, hadi uamuzi wa kuuzwa mradi huo unafikiwa tayari ulikuwa umeshatumia zaidi ya Sh330 bilioni huku akieleza kuwa kwa mnunuzi waliyempata watakuwa wamepata faida.
Hongera sana mkuu mimi wananitumiaga Sh 16. Tena walivyokuwa wenu wanatuma saa 6 usikuHatari thana...
AIP01SBV0DQ Imethibitishwa.Umepokea Tsh50.00 kutoka 219777 - M-PESA FAIDA tarehe 25/9/23 saa 12:39 AM Salio lako ni M-Pesa ni Tsh70.30.
Watu wanakosa Imani na Waarabu kutokana na ule mkataba mbovu waKwani muarabu hana haki ya kuimiliki sehemu ya ardhi ya Tanzania [emoji1241]?
Naona mmebaki na maneno ya kwenye kanga tu sasa. Hongereni.......Ni wale wale wa Dubai?
DPWNi jambo jema kama amepatikana mmiliki mpya. Sema tu hawana sababu ya kumficha huyo mnunuzi. Maana ni suala tu la muda kabla hajafahamika rasmi.