Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 2,209
- 4,769
Kwa sheria ipi mkuuKwani muarabu hana haki ya kuimiliki sehemu ya ardhi ya Tanzania [emoji1241]?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sheria ipi mkuuKwani muarabu hana haki ya kuimiliki sehemu ya ardhi ya Tanzania [emoji1241]?
Kwa akili gani waliyonayo zaidi ya kuwaza 10%Hakuna faida hapo zaidi ya ujinga? wangekuwa wamenunua government bonds za 330B 2015 leo wangepata zaidi ya 1T
Utajiri wa kupewa tena kwa njia za mkato hauna maisha! HaudumuSamia Suluhu Hassan the female billionaire of our age...
Right
Dola wakati huo bei gani na sasa bei gani?Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umesema hadi Oktoba 31, mwaka huu utakuwa umekamilisha hatua zote za uuzaji wa Mradi wa Dege Eco Village kwa karibu Dola 220 milioni za Marekani (zaidi ya Sh501 bilioni). Mradi huo uliopo Kigamboni, Dar unapata mteja ikiwa ni baada ya ujenzi wake kusimama kwa zaidi ya miaka saba tangu Januari 2016.
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Mshomba leo Septemba 25, 2023 amesema Mradi huo umeuzwa kama ulivyo bila kumtaja mnunuzi kutokana na taratibu kubana, ikiwa ni utekelezaji wa uamuzi wa Bodi ya Mfuko na Serikali ili kurudisha fedha za wanachama zilizowekezwa awali katika mradi huo.
Kwa mujibu wake, hadi uamuzi wa kuuzwa mradi huo unafikiwa tayari ulikuwa umeshatumia zaidi ya Sh330 bilioni huku akieleza kuwa kwa mnunuzi waliyempata watakuwa wamepata faida.
Kama sio makamba basi mwigulu ndo aliyeuza bila shakaMfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umesema hadi Oktoba 31, mwaka huu utakuwa umekamilisha hatua zote za uuzaji wa Mradi wa Dege Eco Village kwa karibu Dola 220 milioni za Marekani (zaidi ya Sh501 bilioni). Mradi huo uliopo Kigamboni, Dar unapata mteja ikiwa ni baada ya ujenzi wake kusimama kwa zaidi ya miaka saba tangu Januari 2016.
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Mshomba leo Septemba 25, 2023 amesema Mradi huo umeuzwa kama ulivyo bila kumtaja mnunuzi kutokana na taratibu kubana, ikiwa ni utekelezaji wa uamuzi wa Bodi ya Mfuko na Serikali ili kurudisha fedha za wanachama zilizowekezwa awali katika mradi huo.
Kwa mujibu wake, hadi uamuzi wa kuuzwa mradi huo unafikiwa tayari ulikuwa umeshatumia zaidi ya Sh330 bilioni huku akieleza kuwa kwa mnunuzi waliyempata watakuwa wamepata faida.
USD220m sio sawa na TZS 50b ni zaidiMfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umesema hadi Oktoba 31, mwaka huu utakuwa umekamilisha hatua zote za uuzaji wa Mradi wa Dege Eco Village kwa karibu Dola 220 milioni za Marekani (zaidi ya Sh501 bilioni). Mradi huo uliopo Kigamboni, Dar unapata mteja ikiwa ni baada ya ujenzi wake kusimama kwa zaidi ya miaka saba tangu Januari 2016.
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Mshomba leo Septemba 25, 2023 amesema Mradi huo umeuzwa kama ulivyo bila kumtaja mnunuzi kutokana na taratibu kubana, ikiwa ni utekelezaji wa uamuzi wa Bodi ya Mfuko na Serikali ili kurudisha fedha za wanachama zilizowekezwa awali katika mradi huo.
Kwa mujibu wake, hadi uamuzi wa kuuzwa mradi huo unafikiwa tayari ulikuwa umeshatumia zaidi ya Sh330 bilioni huku akieleza kuwa kwa mnunuzi waliyempata watakuwa wamepata faida.
Ukiona hivyo ujue kuna shida na itakuja kubumbulika halafu media zinahongwa kujafunika kimbeHapa ni lazima kuna rafu mbaya sana sana ndiyo maana mambo hayawekwi wazi. Tuombe Mungu tu kuna siku atakuja kuingia Rais mzalendo na tutajua kila kitu.
Safi sana ,weendeleze Sasa huu mradi maana Jiwe alisababisha hasara nyingi sana kwenye miradi ya mashirika ya Umma.Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umesema hadi Oktoba 31, mwaka huu utakuwa umekamilisha hatua zote za uuzaji wa Mradi wa Dege Eco Village kwa karibu Dola 220 milioni za Marekani (zaidi ya Sh501 bilioni). Mradi huo uliopo Kigamboni, Dar unapata mteja ikiwa ni baada ya ujenzi wake kusimama kwa zaidi ya miaka saba tangu Januari 2016.
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Mshomba leo Septemba 25, 2023 amesema Mradi huo umeuzwa kama ulivyo bila kumtaja mnunuzi kutokana na taratibu kubana, ikiwa ni utekelezaji wa uamuzi wa Bodi ya Mfuko na Serikali ili kurudisha fedha za wanachama zilizowekezwa awali katika mradi huo.
Kwa mujibu wake, hadi uamuzi wa kuuzwa mradi huo unafikiwa tayari ulikuwa umeshatumia zaidi ya Sh330 bilioni huku akieleza kuwa kwa mnunuzi waliyempata watakuwa wamepata faida.
Hiyo sio hoja Cha msingi pesa imerudi na Cha pili mradi utaendelezwa baada ya nssf KushindwaAchilia mbali kufichwa, lakini je huyo mnunuzi alipatikanaje?
Likely itakuwa ni kampuni imenunua sio mtu.Duh this life isn't fair, wakati mtu ana billions kwa account yake, mimi kwangu inasoma 0.00,😓😓😓
Ndio Afrika hiyo maana unaweza Kuta hata hizo pesa hazipo ila watu wamejikopesha 🤣🤣Hivi mbona nchi zilizoendelea vitu vinafanyika kwa uwazi sana.
Njoo huku sasa, mikataba siri, uwekezaji kama ule mnunuzi anafichwa. Hatuwezi kufanya mambo kwa uwazi tu, kama mlifanya mchakato kwa siri basi hata kusema tu aliyefanikiwa.
Utakatishaji fedha hauwezi kutuacha salama. Nahakika ni mafisadi tu baada ya kuzichanga kwa haraka wameamua kujimilikisha hilo eneo.
Hata hiyo bei bado inatia mashaka sana, subirieni matokeo ya hilo eneo ndani ya muda mfupi hapo. Nchi ya janja janja sana hii.
Sasa gharama ya ujenzi ni finishing au hata nyumba huna? 😁😁Faida tupu wallah.. Jamaa wanakuja kufanya finishing tuuView attachment 2761852View attachment 2761853
Sent using Jamii Forums mobile app
Alaumiwe Mwendazake aliyekwapua pesa za nssf wakashindwa Kuendeleza mradiNilijua tu huu mradi ulianzishwa maksudi ili uje uishie hapa.
A failed state state will never accomplish such a valuable project rather than benefiting few group of FISADIs.
Bil.500USD220m sio sawa na TZS 50b ni zaidi
yote maisha cha muhimu pumzi tuHatari thana...
AIP01SBV0DQ Imethibitishwa.Umepokea Tsh50.00 kutoka 219777 - M-PESA FAIDA tarehe 25/9/23 saa 12:39 AM Salio lako ni M-Pesa ni Tsh70.30.