Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Ana haki gani? Muarabu anahaki kumiliki ardhi ya Tanzania? Umeshiba ushuzi au?Kwani muarabu hana haki ya kuimiliki sehemu ya ardhi ya Tanzania [emoji1241]?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana haki gani? Muarabu anahaki kumiliki ardhi ya Tanzania? Umeshiba ushuzi au?Kwani muarabu hana haki ya kuimiliki sehemu ya ardhi ya Tanzania [emoji1241]?
Kwa mujibu wake, hadi uamuzi wa kuuzwa mradi huo unafikiwa tayari ulikuwa umeshatumia zaidi ya Sh330 bilioni huku akieleza kuwa kwa mnunuzi waliyempata watakuwa wamepata faida.[emoji848][emoji2827]Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umesema hadi Oktoba 31, mwaka huu utakuwa umekamilisha hatua zote za uuzaji wa Mradi wa Dege Eco Village kwa karibu Dola 220 milioni za Marekani (zaidi ya Sh501 bilioni). Mradi huo uliopo Kigamboni, Dar unapata mteja ikiwa ni baada ya ujenzi wake kusimama kwa zaidi ya miaka saba tangu Januari 2016.
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Mshomba leo Septemba 25, 2023 amesema Mradi huo umeuzwa kama ulivyo bila kumtaja mnunuzi kutokana na taratibu kubana, ikiwa ni utekelezaji wa uamuzi wa Bodi ya Mfuko na Serikali ili kurudisha fedha za wanachama zilizowekezwa awali katika mradi huo.
Kwa mujibu wake, hadi uamuzi wa kuuzwa mradi huo unafikiwa tayari ulikuwa umeshatumia zaidi ya Sh330 bilioni huku akieleza kuwa kwa mnunuzi waliyempata watakuwa wamepata faida.
DpwAchilia mbali kufichwa, lakini je huyo mnunuzi alipatikanaje?
hana haki! una JINGINE??Kwani muarabu hana haki ya kuimiliki sehemu ya ardhi ya Tanzania [emoji1241]?
Pole ndio maisha ndugu,ila kupambana kusikome😂Duh this life isn't fair, wakati mtu ana billions kwa account yake, mimi kwangu inasoma 0.00,😓😓😓
NSSF watapata ngapiNi jambo jema kama amepatikana mmiliki mpya. Sema tu hawana sababu ya kumficha huyo mnunuzi. Maana ni suala tu la muda kabla hajafahamika rasmi.
Uko sawa maana hawa majamaa ukiweka mambo hadharani wanachonga sanaSiku hizi tumeona njia ya kimya kimya, ndiyo nzuri! Si umeona hata kwenye ishu ya bandari na DP WORLD?
Kodi piaNSSF watapata ngapi
Dalali atapata ngapi
Chama ukizingatia kuna uchaguzi mkuu kitapata ngapi
Washika dau
Wazee watapata ngapi
Chawa watapata ngapi
Maokoto ni kuokoteza..! Kuna mifereji maji yake yanapita usiku tukiwa tumelala..(yazinkieyo nakio yaeemee kutekwa)
Sent using Jamii Forums mobile app
Royal tour, anuani za makazi vyote vimekufa watu wamepiga pesa wakakaa pembeniYani mnashangaa mnununzi kutotajwa?
Marehemu Abel Motika " Mr Ebbo" kwenye kibao chake cha maneno mbofu mbofu aliimba watoto wanafundishwa historia kuwa mzungu aitwaye Rebman ndio aligundua mlima Kilimanjaro na wakati kina Mangi walikuwepp hapo kila siku.
Kama watoto wanaanza kujazwa uongo kuhusu historia ya nchi wataachaje kudanganya mnununzi.
Igizo la royal tour tuliambiwa liligharimu bilion 7 eti zilichangwa na wadau ambao hawatajwi ila ukichunguza kiundani utajua kulikuwepo upigaji wa hali ya juu na hizo ni kodi za wananchi.
Hakuna faida hapo zaidi ya ujinga? Wangekuwa wamenunua government bonds za 330B 2015, leo wangepata zaidi ya 1T
Rostam AziziMnunuzi kashindanishwa???
Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umesema hadi Oktoba 31, mwaka huu utakuwa umekamilisha hatua zote za uuzaji wa Mradi wa Dege Eco Village kwa karibu Dola 220 milioni za Marekani (zaidi ya Sh501 bilioni). Mradi huo uliopo Kigamboni, Dar unapata mteja ikiwa ni baada ya ujenzi wake kusimama kwa zaidi ya miaka saba tangu Januari 2016.
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Mshomba leo Septemba 25, 2023 amesema Mradi huo umeuzwa kama ulivyo bila kumtaja mnunuzi kutokana na taratibu kubana, ikiwa ni utekelezaji wa uamuzi wa Bodi ya Mfuko na Serikali ili kurudisha fedha za wanachama zilizowekezwa awali katika mradi huo.
Kwa mujibu wake, hadi uamuzi wa kuuzwa mradi huo unafikiwa tayari ulikuwa umeshatumia zaidi ya Sh330 bilioni huku akieleza kuwa kwa mnunuzi waliyempata watakuwa wamepata faida.
Hapa ni lazima kuna rafu mbaya sana sana ndiyo maana mambo hayawekwi wazi. Tuombe Mungu tu kuna siku atakuja kuingia Rais mzalendo na tutajua kila kitu.Kapatikanaje?