NSSF yauza Dege Eco Village Kigamboni kwa bilioni 501, mnunuzi afichwa

Kwa mujibu wake, hadi uamuzi wa kuuzwa mradi huo unafikiwa tayari ulikuwa umeshatumia zaidi ya Sh330 bilioni huku akieleza kuwa kwa mnunuzi waliyempata watakuwa wamepata faida.[emoji848][emoji2827]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jambo jema kama amepatikana mmiliki mpya. Sema tu hawana sababu ya kumficha huyo mnunuzi. Maana ni suala tu la muda kabla hajafahamika rasmi.
NSSF watapata ngapi
Dalali atapata ngapi
Chama ukizingatia kuna uchaguzi mkuu kitapata ngapi
Washika dau
Wazee watapata ngapi
Chawa watapata ngapi

Maokoto ni kuokoteza..! Kuna mifereji maji yake yanapita usiku tukiwa tumelala..(yazinkieyo nakio yaeemee kutekwa)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kodi pia
 
Royal tour, anuani za makazi vyote vimekufa watu wamepiga pesa wakakaa pembeni
 
 

Attachments

  • 704A2A67-752B-49F2-B20C-34D7B87C36D6.jpeg
    31.4 KB · Views: 5
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…