Mr Adam Gella
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,327
- 664
hahaha bweni la mkapa ilkua daika 0 tu kutorokea Swea,,nakumbuka by 2009 nafika nsumba advance yalkuepo tayar hayo mabweni mawili la mkapa na lile jingne kwa juu yake (nmelisahau jina) yenye structure tofauti na yale mengine ya juu[emoji3]Kulijengwa mabweni mengine? Ndo yakaitwa Mkapa na Mengi? Au yalibadilishwa majina yale ya zamani kama Mondlane...[emoji3]
Sent from my HUAWEI VNS-L21 using JamiiForums mobile app