Nsumba Secondary School!-Mwanza

Nsumba Secondary School!-Mwanza

My school 2000~2003.... Enzi za Msasa, Makson, Kagua, Mgambo, Kengele.... Etc

Room 6, Sokoine!.... Enzi hizo Daniel Oduogi ni GS.... Hakuna kuspeak kiswahili



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasoma Nsumba ila hawa Braza angu kapita Hapo....Aseeh miaka ya 2005 km sikosei Vijana waifanya fujo hapo wapongo wakawadaka wa kutosha tu nimeingia BUTIMBA Magereza nakuta Vijana wamesweka mpaka Huruma....

KIMEO CHANGU
 
Zakeo Zuma alinipga suspension ya miezi 6. Siku naludi nikachelewa siku moja akaniongeza tena miezi 6 akiwa na Kobuteba. Wakati huo Nsumba ilikua zaidi ya Jeshi kipindi cha HM Msasa na Zuma msaidizi. Chakula kibovu sn ole wako uongee Zuma na Msasa wame jaza puppets wapata taarifa utajuta. Tuliwahi fanya mgomo Msasa akaondolewa baadhi ya mateso yakapungua. Wakati huo, GS Kateisaki alikua na power zaidi ya Mwalimu. Nsumba sintasahau jmn.
Enzi za mgomo huo mwaka huo nami nilikuwepo hapo Nsumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasoma Nsumba ila hawa Braza angu kapita Hapo....Aseeh miaka ya 2005 km sikosei Vijana waifanya fujo hapo wapongo wakawadaka wa kutosha tu nimeingia BUTIMBA Magereza nakuta Vijana wamesweka mpaka Huruma....

KIMEO CHANGU
Kweli hilo tukio lilitokea, nilipoenda kuanza shule nilikuta athari zake hasa kwenye uharibifu wa majengo hususani madirisha kuvunjwa vioo
 
Wana Nsumba mpo?
Nilikuwa Nsumba Sec toka 1981-1984!
It was nice experience and great school ever attended!Walimu wetu wakina Michapo,Bia ,Kikuli na wengineo.Mshikaji ,Mdundo etc.Bila kumsahau Mama Manyanda!Na Mtera vile vile

Mgoha alipoingia kuwa Headmaster aliibadilisha shule kidogo!wakati mzuri ulikuwa jioni,kwenda ziwani kuoga etc.Bila kusahau Visiting-Nganza au Bwiru wakati wa baadhi ya Jumapili!Oh na Disco vile vile siku maalum kati ya Nsumba au Bwiru Girls!

Tupeana fresh memories kama uliattend Nsumba miaka hiyo!
 
Hello Wana Nsumba sekodari 1981 to 1984.

Habari zenu.

Mimi naitwa Remigius Mushenga (shuleni nilijulikana kwa jina la Lwizaki)

Bweni langu lilikuwa Lumumba chumba 3. Jamani Nsumba ilikuwa Nsumba kweli kweli.

Mnamkumbuka jamaa 1 alikuwa anaitwa Anko akiwa mlemavu wa mkono. Alikuwa gangwe kweli.
Mnakumbuka akina Maendeka, Nashoni, Mafuru nk . Walikuwa senior kwetu.

Sisi tulikuwa akina Maendeleo Lufurisha, Jackson Boniface, Deo Max.

Mnawakumbuka walimu:
Watoto, Headmaster Kibona, Kikuli, alikuwepo mwl akitaniwa kama Kibororonyi, Biye mzee wa Paper chromatograph (chemistry)
Manyanda bila kumsahau headmaster wetu Mtera.
Mnakumbuka mradi wa Nguruwe "Kila leo" Mnakumbuka mpishi aliitwa Pima?

Karibuni Mkoani Pwani, it is a great time to have this moment to meet on this platform.
 
Wana Nsumba mpo?
Nilikuwa Nsumba Sec toka 1981-1984!
It was nice experience and great school ever attended!Walimu wetu wakina Michapo,Bia ,Kikuli na wengineo.Mshikaji ,Mdundo etc.Bila kumsahau Mama Manyanda!Na Mtera vile vile

Mgoha alipoingia kuwa Headmaster aliibadilisha shule kidogo!wakati mzuri ulikuwa jioni,kwenda ziwani kuoga etc.Bila kusahau Visiting-Nganza au Bwiru wakati wa baadhi ya Jumapili!Oh na Disco vile vile siku maalum kati ya Nsumba au Bwiru Girls!

Tupeana fresh memories kama uliattend Nsumba miaka hiyo!
Mnamkumbuka Kamote?
Alikuwa headmistress wa Nganza.
Je mnakumbuka Mgomo wa chakula uliopelekea FFU kuvamia shule usiku, wanafunzi tulikimbia hadi kwenye ufukwe wa ziwa tulikokuwa tukichota maji.
 
hahaha bweni la mkapa ilkua daika 0 tu kutorokea Swea,,nakumbuka by 2009 nafika nsumba advance yalkuepo tayar hayo mabweni mawili la mkapa na lile jingne kwa juu yake (nmelisahau jina) yenye structure tofauti na yale mengine ya juu[emoji3]

Sent from my HUAWEI VNS-L21 using JamiiForums mobile app
Lilikuwa linaitwa Kambarage
 
Hello Wana Nsumba sekodari 1981 to 1984.

Habari zenu.

Mimi naitwa Remigius Mushenga (shuleni nilijulikana kwa jina la Lwizaki)

Bweni langu lilikuwa Lumumba chumba 3. Jamani Nsumba ilikuwa Nsumba kweli kweli.

Mnamkumbuka jamaa 1 alikuwa anaitwa Anko akiwa mlemavu wa mkono. Alikuwa gangwe kweli.
Mnakumbuka akina Maendeka, Nashoni, Mafuru nk . Walikuwa senior kwetu.

Sisi tulikuwa akina Maendeleo Lufurisha, Jackson Boniface, Deo Max.

Mnawakumbuka walimu:
Watoto, Headmaster Kibona, Kikuli, alikuwepo mwl akitaniwa kama Kibororonyi, Biye mzee wa Paper chromatograph (chemistry)
Manyanda bila kumsahau headmaster wetu Mtera.
Mnakumbuka mradi wa Nguruwe "Kila leo" Mnakumbuka mpishi aliitwa Pima?

Karibuni Mkoani Pwani, it is a great time to have this moment to meet on this platform.
Nilikuwa bado sijazaliwa aisee enzi unaondoka Nsumba[emoji2][emoji2][emoji2].
 
Back
Top Bottom