Ntobi sidhani kama ana akili timamu!! Matamshi yake yanaashiria uwepo wa tatizo kubwa zaidi kichwani mwake. Sidhani kama anastahili kupewa nafasi yoyote ya uongozi.Vizuri sana, ila Ntobi alipaswa kufutwa uanachama kabisa kwa upumbavu wake
Hata kama mtu una akili ndogo, hiyo hiyo ndogo uitumie kwa umakini.Na Kamati Kuu ya Chadema ikumfuta Lissu uwanachama kwa makosa hayo hayo msije humu kuloloma kaonewa. Msumeno unakata kwa kwenda mbele na kurudi nyuma!
Ahahahahaha!Hata kama mtu una akili ndogo, hiyo hiyo ndogo uitumie kwa umakini.
Ntobi amesimamishwa kutokana na lugha za matusi, Lisu hajawahi kumtukana mtu yeyote.
Wewe inaonekana hujaelewa hata kwa nini Ntobi amesimamishwa!!! Pole sana kwa uelewa mdogo. Rudia tena kuisoma mada, huenda utaelewa sababu za Ntobi kusimamishwa.
Nje ya mada swali lako, elewa neno" kanda"Kwani Serengeti ndio mji mkuu wa Shinyanga ?
Ccm hakuna matusi?Kutakuwa na wizara ya matusi.
Lissu kamtukana nani!?Kanuni hiyo hiyo itumike kumtimua Lisu
.Yale yaliyosenwa na Ntobi yalikuwa live Sana, mbaya zaidi yalifanywa na kiongozi verified wa mkoa sio sawa.Aliendeleza hata kwenye mdahaloit is either a move to remove Lissu, au kufanya Chadema waanze mgogoro wa Wazi
Lissu kakosea nn ukilinganisha na Ntobi? Mambo yaliyofanywa na Ntobi yalikuwa yanamtia aibu mpaka mbowe, badala ya kujenga hoja yeye ni kejeli na kudhalilisha watugentleman,
ni muhimu ukawa mtulivu wa fikra,
naona unaweweseka na masuala ya taasisi nyingine kabisa isiyohusika dhidi ya hoja tofauti mno mezani.
Chukua point hiyo ya muhimu sana,
kwamba anaefuata ni mropokaji Tundu Lisu kuchukuliwa hatua za kinidhamu 🐒
Yaani ukimsikiliza unajisikia aibu mpaka unayesikiliza, nafasi Ile ya kupiga kura imepotea sasa aliyotambia kwenye mdahalo😂Ntobi sidhani kama ana akili timamu!! Matamshi yake yanaashiria uwepo wa tatizo kubwa zaidi kichwani mwake. Sidhani kama anastahili kupewa nafasi yoyote ya uongozi.
Ni "precedent" kwa sababu wengine walifanyiwa? Retribution imeanza. Kinachofuata ni kuwafukuza wale wote waliothubutu ku mcritise messiah.