Pre GE2025 Ntobi avuliwa Uenyekiti Mkoa wa Shinyanga kutokana na utovu wa maadili na nidhamu dhidi ya Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni "precedent" kwa sababu wengine walifanyiwa? Retribution imeanza. Kinachofuata ni kuwafukuza wale wote waliothubutu ku mcritise messiah.

Yetu macho.

Amandla..
Kwa Ntobi ilikuwa wazi Sana, hakuna heshima wala adabu, kwenye mdahalo alikuwa anazungumza kama kalewa, huwezi ona ccm kiongozi wa mkoa akimdhalilisha makamu mwenyekiti eti mropokaji au mpiga mikwara ya ovyo Sijui nn
 
Huyo hana masdili na hafai kuwa kiongozi. Avuliwe tu!
 
Kwa Ntobi ilikuwa wazi Sana, hakuna heshima wala adabu, kwenye mdahalo alikuwa anazungumza kama kalewa, huwezi ona ccm kiongozi wa mkoa akimdhalilisha makamu mwenyekiti eti mropokaji au mpiga mikwara ya ovyo Sijui nn
Kwa hiyo CDM ya Lissu itakuwa kama CCM? Kama sio mropokaji ana dhalilika vipi?

Amandla....
 
..lissu hakurupuki boss, ana cheza na maneno, ni mwanasheria yule, Ntobi aliingia live, huwezi sema makamu mwenyekiti Wako ni mropokaji
Kwa nini hawezi kusema Lissu ni mropokaji anaebebwa na diaspora feki? Au Lissu nae ni "dikteta uchwara"?

Amandla...
 
Unaweza kuta wanaandaa mazingira ya kuja kutaka kumvua Lissu uanachama. Tuwe makini sana.
Sidhani kama wanaweza kufanya hilo,litakuwa na madhara makubwa kwani itaonekana dhahiri amewashinda kwa namba tayari sasa wanamuengua ili wasiabike na hii itakuwa inadhirisha kuwa wanafuata maelekezo ya CCM ambao ndiyo waasisi wa kuengua wagombea wanaowaona wana nafasi kubwa ya kushinda. Anyway let's wait n see maana Waswahili wanasema sikio la kufa halisikii dawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…