Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema hukuna mwenye busara Wala maadili ya kiuongoziHuyu Ntobi huwa anasema/kutenda kabla ya kufikiri. Soon atatoka hadharani na kuomba radhi kama alivyofanya kwa Lisu.
Ni mzee wa kukurupuka.
Hapana, hapo sasa unaonyesha chuki badala ya kuweka facts. Unataka watu wakuamini kwamba Mbowe hawezi kushinda kwa kura, jambo ambalo pengine ni kunyume chake.Nduli anaweza pata kura 1 kati ya kura 1200 halafu akatangazwa kuwa yeye ndiye mshindi
Huyo matiko Sasa yupo wapi chadema ukiwa tishio Kwa uongozi wa juu lazima uanze kishughurikiwa mapema
Ntobi ni mpuuzi amemua kujitoa ufahamu kabisa.View attachment 3184923
Ntobi, mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga na Kijana mtiifu wa Mbowe ameendelea kushambulia wasiomuunga mkono Mbowe.
Safari hii anasema kuwa John Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa.
Heche ambaye amewai kuwa mwenyekiti wa bavicha taifa, diwani na mbunge. Kwa sasa vijana wa Mbowe wanatuambia hana sifa za kuwa hata mwenyekiti wa mtaa.
Kwani Chacha Wangwe na Zitto walifikia hata hatua ya kupigiwa kura?Hapana, hapo sasa unaonyesha chuki badala ya kuweka facts. Unataka watu wakuamini kwamba Mbowe hawezi kushinda kwa kura, jambo ambalo pengine ni kunyume chake.
Kumbuka, wanaopiga kura ni wajumbe wa mkutano wa uchaguzi!
Wote hao Lissu na Dr. Slaa wameelezea kuwa walitaka kufanya mapinduzi, hawakutaka uchaguziKwani Chacha Wangwe na Zitto walifikia hata hatua ya kupigiwa kura?
Tunathibitisha vipi wakati hawakuachwa kura ziamue?Wote hao Lissu na Dr. Slaa wameelezea kuwa walitaka kufanya mapinduzi, hawakutaka uchaguzi
Hawakuachwa au hawakusubiri muda ufike kama alivyosubiri Lissu?Tunathibitisha vipi wakati hawakuachwa kura ziamue?
Another fululufululu character za chakademus zinazoharibu fhamaView attachment 3184923
Ntobi, mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga na Kijana mtiifu wa Mbowe ameendelea kushambulia wasiomuunga mkono Mbowe.
Safari hii anasema kuwa John Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa.
Heche ambaye amewai kuwa mwenyekiti wa bavicha taifa, diwani na mbunge. Kwa sasa vijana wa Mbowe wanatuambia hana sifa za kuwa hata mwenyekiti wa mtaa.
Ile kuitana kamanda inawaharibu. Wanatumia ukamanda kila mahala.Chadema hukuna mwenye busara Wala maadili ya kiuongozi
Ukishakula nyama ya mtu huwezi acha walishazoea siasa za kuchafua watu Sasa wanaanza kuchafuana wao Kwa waoIle kuitana kamanda inaeaharibu. Wanatumia ukamanda kila mahala.
Mwaka huu Mtemi Mbowe amekamatwa pabayaHuyo Ntobi anaidharau Sana. Eti wajumbe wa Mkutano Mkuu tumeahatamba na Wenje. Leo CHADEMA wanamuona mwana CCM Wenje wa maana kuliko Heche.