Ntobi: Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa

Ntobi: Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa

😏
1000017805.jpg
 
Halotel GB mwez 🔥🔥

GB 13 Kwa 14000
GB 14 Kwa 15000
GB 15 Kwa 16000
GB 16 Kwa 17000
GB 18 Kwa 19000
GB 20 Kwa 21000
GB 30 Kwa 29000
GB 33 Kwa 32000

Mwenye uhitaji na hizo GB za halotel inbox
 
Huyu Ntobi huwa anasema/kutenda kabla ya kufikiri. Soon atatoka hadharani na kuomba radhi kama alivyofanya kwa Lisu.

Ni mzee wa kukurupuka.
Chadema hukuna mwenye busara Wala maadili ya kiuongozi
 
Nduli anaweza pata kura 1 kati ya kura 1200 halafu akatangazwa kuwa yeye ndiye mshindi
Hapana, hapo sasa unaonyesha chuki badala ya kuweka facts. Unataka watu wakuamini kwamba Mbowe hawezi kushinda kwa kura, jambo ambalo pengine ni kunyume chake.

Kumbuka, wanaopiga kura ni wajumbe wa mkutano wa uchaguzi!
 
View attachment 3184923

Ntobi, mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga na Kijana mtiifu wa Mbowe ameendelea kushambulia wasiomuunga mkono Mbowe.

Safari hii anasema kuwa John Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa.

Heche ambaye amewai kuwa mwenyekiti wa bavicha taifa, diwani na mbunge. Kwa sasa vijana wa Mbowe wanatuambia hana sifa za kuwa hata mwenyekiti wa mtaa.
Ntobi ni mpuuzi amemua kujitoa ufahamu kabisa.
 
Hapana, hapo sasa unaonyesha chuki badala ya kuweka facts. Unataka watu wakuamini kwamba Mbowe hawezi kushinda kwa kura, jambo ambalo pengine ni kunyume chake.

Kumbuka, wanaopiga kura ni wajumbe wa mkutano wa uchaguzi!
Kwani Chacha Wangwe na Zitto walifikia hata hatua ya kupigiwa kura?
 
Kwani Chacha Wangwe na Zitto walifikia hata hatua ya kupigiwa kura?
Wote hao Lissu na Dr. Slaa wameelezea kuwa walitaka kufanya mapinduzi, hawakutaka uchaguzi
 
View attachment 3184923

Ntobi, mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga na Kijana mtiifu wa Mbowe ameendelea kushambulia wasiomuunga mkono Mbowe.

Safari hii anasema kuwa John Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa.

Heche ambaye amewai kuwa mwenyekiti wa bavicha taifa, diwani na mbunge. Kwa sasa vijana wa Mbowe wanatuambia hana sifa za kuwa hata mwenyekiti wa mtaa.
Another fululufululu character za chakademus zinazoharibu fhama

Kulikua na haja ya thread for this lunatic stray person?

Time imekua master mzuri sana wa kuimaliza saccos

Mmetumika sana…. Muda sahihi wanaume kubadilika approach to politics

Naona most of chakademus fanatics ni frustrated young people with tough economic issues

Tuhamie kwenye utendaji na ufanisi… hivi vyama vya siasa, iwe chama chochote kila havitatujenga kiuchumi individually
 
Ile kuitana kamanda inaeaharibu. Wanatumia ukamanda kila mahala.
Ukishakula nyama ya mtu huwezi acha walishazoea siasa za kuchafua watu Sasa wanaanza kuchafuana wao Kwa wao
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom