Nuh Mziwanda afunguka machungu ya Maisha adai akifa "asije baba, mama wala ndugu" kunizika! Aomba azikwe na Serikali

Nuh Mziwanda afunguka machungu ya Maisha adai akifa "asije baba, mama wala ndugu" kunizika! Aomba azikwe na Serikali

kwani akijiua bila sheria kupitishwa kuna shida gani
Failed suicidal attempt 🤣🤣 unajikuta kweny mikono ya sheria...Kuna mwana alijaribu nusu aende jela ila wamuweka nyuma ya nondo kama wiki hivi.
 
Kaka mkubwa sijiulizi familia yangu inanifanyia nini.

Najiuliza mimi ninaifanyia nini familia yangu.
Ni sawa ukiingia kweny upatu unaanza kuambiwa kazi yako sasa ni lazima kualika wengine , automatically unaanza kuingiza wengine mkenge🤣🤣.

Kwani usingezaliwa hiyo familia wangeshindwa kujipambania?
 
Ni sawa ukiingia kweny upatu unaanza kuambiwa kazi yako sasa ni lazima kualika wengine , automatically unaanza kuingiza wengine mkenge🤣🤣.

Kwani usingezaliwa hiyo familia wangeshindwa kujipambania?
Sijasema wangeshindwa kujipambania, nimetoa falsafa yangu ya maisha tu.

Na falsafa hiyo hainiruhusu kuilalamikia familia yangu.

Na kwa falsafa hiyo nimeishi vizuri sana kwa kujiinua mwenyewe bila kutegemea familia yangu.
 
Sijasema wangeshindwa kujipambania, nimetoa falsafa yangu ya maisha tu.

Na falsafa hiyo hainiruhusu kuilalamikia familia yangu.

Na kwa falsafa hiyo nimeishi vizuri sana kwa kujiinua mwenyewe bila kutegemea familia yangu.
Falsafa za ukubwani yaani ukiwa mtoto unaona unaishi tu bila wasiwasi ,mwishoe hatma ya maisha yako ni wewe mwenyewe waliokuleta wanataka kunufaika kupitia wewe.

Ahadi kedekede ; maliza kusoma utalala utakavyo 🤣,ukimaliza sasa hamna kumpumzika tena unabeba risk kubwa ukifanya kosa utajuta.
 
Msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda, ameibua hisia kali mitandaoni baada ya ku-share ujumbe wa kusikitisha kupitia ukurasa wake wa Instagram. Kupitia posti hiyo, Nuh alieleza machungu anayoyapitia, akifichua hali ngumu inayomkabili, hasa katika mahusiano yake na familia.

Katika ujumbe wake mzito, msanii huyo aliandika:

"Naomba sana kama nikifa asije mama, baba wala ndugu yangu yoyote (yeyote) kunizika mimi. Naomba nizikwe na serikali na mashabiki wangu. Naandika kwa uchungu sana, naamini Mungu anahisi maumivu yangu. Oya, hakuna kitu kibaya kama familia kukuacha na kukuona hauna maana wakati unaamini wao ndio furaha yako ya mwisho..."

Aliendelea kufunguka zaidi kwa kusema kuwa amejitahidi kuacha pombe, lakini kutokana na changamoto kubwa anazopitia, anaona hiyo ndiyo njia pekee inayoweza kumpa furaha kwa sasa.

"Mimi nateseka sio kiuchumi, kuna mengi napitia. Naomba umma ijue na iwe kama njia sahihi na mfano bora kwa vijana wanaopitia changamoto za kifamilia na kimapenzi."

😿😿😿 afya ya akili akiuzuria dozi atakawa sawa huyo n msongo wa mawazo apelekwe hospital haraka sana
 
Kwa niliyoyaskia Kwa waliokaribu nae,

Tatzo la uyu dogo Ni Kisirani.

Dogo anaamini suala ya kusaidiwa yeye ni haki yake na lazima asaidiwe Kwa MDA anaoutaka yeye, vinginevyo anakununia na mtagombana.

Dogo Anaamini kisa TU Wewe Ni ndugu yake WA damu na uwezo huo unao, unapaswa kusitisha bajeti zako ili kutatua matatzo yanayomkabili.

Hii tabia aliianzisha Kwa wasanii wenzie, hawalalamiki Ila asilimia kubwa anapowahitaji wanamkwepa ili kuepusha migogoro + visirani.

Ni tabia ya hovyo Sana hii Kwa vijana.
 
Falsafa za ukubwani yaani ukiwa mtoto unaona unaishi tu bila wasiwasi ,mwishoe hatma ya maisha yako ni wewe mwenyewe waliokuleta wanataka kunufaika kupitia wewe.

Ahadi kedekede ; maliza kusoma utalala utakavyo 🤣,ukimaliza sasa hamna kumpumzika tena unabeba risk kubwa ukifanya kosa utajuta.
Mkuu,

Mimi binafsi walionileta hawana shida ndogondogo na kamwe hawawezi kutaka kunufaika na mimi.

Na mimi nawaenzi kwa kuhakikisha nawajali hata pale ambapo najua hawahitaji sana msaada wangu.
 
Aliendelea kufunguka zaidi kwa kusema kuwa amejitahidi kuacha pombe, lakini kutokana na changamoto kubwa anazopitia, anaona hiyo ndiyo njia pekee inayoweza kumpa furaha kwa sasa.
Hiyo fedha anayonunulia heleni si angenunua chakula kama maisha ni magumu?
 
Kwa uelewa wangu mimi,
Familia inayojielewa na yenye maadili mema, kamwe haiwez ruhusu kijana Aishi mjini Kwa biashara ya "msingi kiuno" - yaani kuikaza mishangazi.

Yaani kijana unaikaza mishangazi, mishangazi ikikuzingua, makofi juu na kukufukuza, unarudi kwenye familia Yako ikusaidie urudiane na mshangazi wako.

Sidhani Kama Kuna familia ya kiafrika inayojielewa inaweza kaa kikao kusuluhisha upumbavu Kama huu.
 
Mkuu,

Mimi binafsi walionileta hawana shida ndogondogo na kamwe hawawezi kutaka kunufaika na mimi.

Na mimi nawaenzi kwa kuhakikisha nawajali hata pale ambapo najua hawahitaji sana msaada wangu.
So kama hawana shida na wewe kuna sababu gani ya kukuleta 🤣🤣...Binadamu wote ni wabinafsi so ukiona umeleta wewe ndio furaha yao hapo ndipo wananufaika.
 
So kama hawana shida na wewe kuna sababu gani ya kukuleta 🤣🤣...Binadamu wote ni wabinafsi so ukiona umeleta wewe ndio furaha yao hapo ndipo wananufaika.
Si kila mzazi anazaa kwa kuwa na shida.

Wengine wanazaa kwa kutimiza wajibu wa kijamii wa kuendeleza kizazi.
 
🤣
Hiyo ipo ulaya tu, huku bongo ukiwa maarufu unaanza kurogwa na ndugu, anafuata girl/boyfriend, mke/mume alafu bado wewe mwenyewe ukaroge.
Huu mchanganyiko ahauwezi kukuacha salama
 
Back
Top Bottom