Hizo ni falsafa zako za kimasikini.Walitaka mtoto ili kurahisisha mahitaji yao.
Nmekuelewa mkuuKuzaa watoto ni sawa na upatu mtanielewa siku moja ,Nuh Mziwanda anapata matatizo ila wazazi waliomzaa hawana msaada kwake kabisa ila wanategemea akikaa sawa awatunze hata hao ndugu zake ni hovyo.
Kiuhalisia ifike muda mtu kujiua iwe ni haki na huru kabisa kwa vile dunia haina maana , sometimes unajikuta huendani na mikazo ya dunia ...Kwa kweli wapitishe tu sheria hiyo hakuna ulazima wa kuendelea kushikilia maumivu hata wewe ulizaliwa bila ya ridhaa yako.
Ndio maana yule jamaa wa P square alisema bora kifo kuliko umaskini ,yuko sahihi kabisa kwa nini uendelee kuteseka simply jitoe uhai tu.
You have a very narrow mind and you think everybody thinks like you and live in your world of poverty.Sasa umepewe jibu mra ngapi ?Nimeunganisha na mda husika .
Mimi sio maskini uwezo wangu kama wazazi wako ...Ukionesha wazazi kweny list ya matajiri niko radhi kukulip kiasi unachotaka .Hizo ni falsafa zako za kimasikini.
Si kila mtu anataka mtoto kurahisisha mahitaji yake.
Wengine kuwa na mtoto ndiyo kunaongeza ugumu katika maisha yao lakini wanaamua kuwa na mtoto kutimiza wajibu wa kijamii tu.
Acha kukariri kwamba kila mtu ni masikini anayetumia watoto kama mtaji wa kibiashara kama wewe.
Hata hilo swali unalosema uliniuliza hujaniuliza.Mimi sio maskini uwezo wangu kama wazazi wako ...Ukionesha wazazi kweny list ya matajiri niko radhi kukulip kiasi unachotaka .
Nimekuuliza swali ili nione akili yangu kumbe fyamba : Nilikuuza wazazi wako wangepata shida(ugumu,tatizo) gani kama wasingekuzaa ? Ukajibu walitakaa kuendeleza kizazi.
Sasa nikachukua shida kuendeleza mjadala kwamba walikuwa na ugumu wa kuendeleza kizazi ndio maana ukazaliwa .
Sina falsafa za kimaskini ndio maana sina mda kuwa kuzunguka kama wewe na wazazi mlivyo.
Usiandike kingereza wewe ni mweusi kama kunguru ,tunajadili usineletee uzungu mimi ni race tofauti na huo ujinga wako.You have a very narrow mind and you think everybody thinks like you and live in your world of poverty.
Upuuzi huuMsanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda, ameibua hisia kali mitandaoni baada ya ku-share ujumbe wa kusikitisha kupitia ukurasa wake wa Instagram. Kupitia posti hiyo, Nuh alieleza machungu anayoyapitia, akifichua hali ngumu inayomkabili, hasa katika mahusiano yake na familia.
Katika ujumbe wake mzito, msanii huyo aliandika:
"Naomba sana kama nikifa asije mama, baba wala ndugu yangu yoyote (yeyote) kunizika mimi. Naomba nizikwe na serikali na mashabiki wangu. Naandika kwa uchungu sana, naamini Mungu anahisi maumivu yangu. Oya, hakuna kitu kibaya kama familia kukuacha na kukuona hauna maana wakati unaamini wao ndio furaha yako ya mwisho..."
Aliendelea kufunguka zaidi kwa kusema kuwa amejitahidi kuacha pombe, lakini kutokana na changamoto kubwa anazopitia, anaona hiyo ndiyo njia pekee inayoweza kumpa furaha kwa sasa.
"Mimi nateseka sio kiuchumi, kuna mengi napitia. Naomba umma ijue na iwe kama njia sahihi na mfano bora kwa vijana wanaopitia changamoto za kifamilia na kimapenzi."
Mtu mzima acha pombe unapoteza kumbukumbu ndio maana nikajua ni mjinga wewe🤣🤣...Nikuoneshe au ushafuta?Hata hilo swali unalosema uliniuliza hujaniuliza.
Una matatizo ya akili wewe.
Wewe mwenyewe huelewi unasema nini, mimi nitakueleeaje?
Usinipangie lugha ya kuandika kama wewe ngumbaru hilo ni tatizo lako, si langu.Usiandike kingereza wewe ni mweusi kama kunguru ,tunajadili usineletee uzungu mimi ni race tofauti na huo ujinga wako.
Huelewi kitu unakimbilia lugha nyingine 🤣🤣
Saidieni ndugu zenu wazee msijifanye mabepariAnatishia nyau...
Sijagusa pombe yoyote tangu January 1 2024.Mtu mzima acha pombe unapoteza kumbukumbu ndio maana nikajua ni mjinga wewe🤣🤣...Nikuoneshe au ushafuta?
Unalia nn sasa? Nimekuambia nioneshe wazazi wako kama ni matajiri nikulipe mbele za watu...Danganya wajinga wa huko kwenu sio mimi .Usinipangie lugha ya kuandika kama wewe ngumbaru hilo ni tatizo lako, si langu.
Wewe mwenyewe masikini una thamani gani sasa ?🤣🤣🤣Sijagusa pombe yoyote tangu January 1 2024.
Wanaonifuatilia wanajua.
Wewe umeshindwa kujadili hoja, unaleta viroja.
This logical fallacy is called ad hominem.
You are not worth my shells.
Nakupeleka kwenye ignore list yangu.
Kuanzia hapa sitaona uharo unaoandika ambao hata weee mwenyeee huuelewi.
Hujafikisha viwango vya kujibizana na mimi.
Sijagusa pombe yoyote tangu January 1 2024.
Wanaonifuatilia wanajua.
Wewe umeshindwa kujadili hoja, unaleta viroja.
This logical fallacy is called ad hominem.
You are not worth my shells.
Nakupeleka kwenye ignore list yangu.
Kuanzia hapa sitaona uharo unaoandika ambao hata wewe mwenyewe huuelewi.
Hujafikisha viwango vya kujibizana na mimi.
Wewe ndio fala kabisa hv unawajua mchicha mwiba wewe, saiv mbona kawaida mume wamtu kua mke wamtu piaOya element za ushoga wakati jamaa ana Watoto kadhaa huyo, hivi unaelewa unachokiandika ana Watoto Wanne na kila Mtoto na Mama yake, ushoga unaingiaje hapo shoga anazalisha shoga anatungisha mimba? Shoga si anapigwa bomba nyuma muda wote?
Unajua wakati mwingine msiangalie mionekano ya watu mkaanza kuwaweka watu kwenye makundi mnayoyataka nyinyi
Kiranga bado mtoto mdogo sana hawezi kukuelewa 😁Falsafa za ukubwani yaani ukiwa mtoto unaona unaishi tu bila wasiwasi ,mwishoe hatma ya maisha yako ni wewe mwenyewe waliokuleta wanataka kunufaika kupitia wewe.
Ahadi kedekede ; maliza kusoma utalala utakavyo 🤣,ukimaliza sasa hamna kumpumzika tena unabeba risk kubwa ukifanya kosa utajuta.
Hao aliowataja ni sahihi kutokuhudhuria kwasababu hawakuzaa mtoto wa kike bali walizaa mtoto wa kiume huyo wa kike hawa mjui wa kwao wa kiume alishakufa siku nyingi.Msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda, ameibua hisia kali mitandaoni baada ya ku-share ujumbe wa kusikitisha kupitia ukurasa wake wa Instagram. Kupitia posti hiyo, Nuh alieleza machungu anayoyapitia, akifichua hali ngumu inayomkabili, hasa katika mahusiano yake na familia.
Katika ujumbe wake mzito, msanii huyo aliandika:
"Naomba sana kama nikifa asije mama, baba wala ndugu yangu yoyote (yeyote) kunizika mimi. Naomba nizikwe na serikali na mashabiki wangu. Naandika kwa uchungu sana, naamini Mungu anahisi maumivu yangu. Oya, hakuna kitu kibaya kama familia kukuacha na kukuona hauna maana wakati unaamini wao ndio furaha yako ya mwisho..."
Aliendelea kufunguka zaidi kwa kusema kuwa amejitahidi kuacha pombe, lakini kutokana na changamoto kubwa anazopitia, anaona hiyo ndiyo njia pekee inayoweza kumpa furaha kwa sasa.
"Mimi nateseka sio kiuchumi, kuna mengi napitia. Naomba umma ijue na iwe kama njia sahihi na mfano bora kwa vijana wanaopitia changamoto za kifamilia na kimapenzi."
Hata wewe inawezekana umesha left coz haueleweki muda mwingine.Nikiona tu Mwanaume anavaa Hereni huwa natamani yale Magumu anayoyapitia yawe maradufu kwakuwa naamini Mwanaume akivaa Hereni ni dalili tosha kuwa 'ameshalefti' Kitambo mno katika 'Grupu' letu la Masela Original likiongozwa nami Admin Tukuka GENTAMYCINE.
Hivi kumbe we ndo cacutee...??? Nashukuru kukufahamu.Umeona eeeh
Madingi kama vile hawana roho ya mwanadamu Ila wamama wamejaa utu na huruma. Mama akikukacha jua wewe ndio chanzo
Kama uwezo wa kusaidia unao saidia mkuu, kuna leo na kesho. Hizi akili za kibepari zina wenyewe.. mawazo y kujitia mwamba kwa Tanzania hii matajri wengi ni vulnerable kitu kidogo kikiwateleza tu washarudi walipotokaKwa niliyoyaskia Kwa waliokaribu nae,
Tatzo la uyu dogo Ni Kisirani.
Dogo anaamini suala ya kusaidiwa yeye ni haki yake na lazima asaidiwe Kwa MDA anaoutaka yeye, vinginevyo anakununia na mtagombana.
Dogo Anaamini kisa TU Wewe Ni ndugu yake WA damu na uwezo huo unao, unapaswa kusitisha bajeti zako ili kutatua matatzo yanayomkabili.
Hii tabia aliianzisha Kwa wasanii wenzie, hawalalamiki Ila asilimia kubwa anapowahitaji wanamkwepa ili kuepusha migogoro + visirani.
Ni tabia ya hovyo Sana hii Kwa vijana.