Nuh Mziwanda afunguka machungu ya Maisha adai akifa "asije baba, mama wala ndugu" kunizika! Aomba azikwe na Serikali

Walitaka mtoto ili kurahisisha mahitaji yao.
Hizo ni falsafa zako za kimasikini.

Si kila mtu anataka mtoto kurahisisha mahitaji yake.

Wengine kuwa na mtoto ndiyo kunaongeza ugumu katika maisha yao lakini wanaamua kuwa na mtoto kutimiza wajibu wa kijamii tu.

Acha kukariri kwamba kila mtu ni masikini anayetumia watoto kama mtaji wa kibiashara kama wewe.
 
Nmekuelewa mkuu
 
Mimi sio maskini uwezo wangu kama wazazi wako ...Ukionesha wazazi kweny list ya matajiri niko radhi kukulip kiasi unachotaka .

Nimekuuliza swali ili nione akili yako kumbe ni fyamba : Nilikuuliza wazazi wako wangepata shida(ugumu,tatizo) gani kama wasingekuzaa ? Ukajibu walitakaa kuendeleza kizazi.

Sasa nikachukua shida kuendeleza mjadala kwamba walikuwa na ugumu wa kuendeleza kizazi ndio maana ukazaliwa .

Sina falsafa za kimaskini ndio maana sina mda kuwa kuzunguka kama wewe na wazazi mlivyo.
 
Hata hilo swali unalosema uliniuliza hujaniuliza.

Una matatizo ya akili wewe.

Wewe mwenyewe huelewi unasema nini, mimi nitakueleeaje?
 
You have a very narrow mind and you think everybody thinks like you and live in your world of poverty.
Usiandike kingereza wewe ni mweusi kama kunguru ,tunajadili usineletee uzungu mimi ni race tofauti na huo ujinga wako.

Huelewi kitu unakimbilia lugha nyingine 🤣🤣
 
Upuuzi huu
 
Hata hilo swali unalosema uliniuliza hujaniuliza.

Una matatizo ya akili wewe.

Wewe mwenyewe huelewi unasema nini, mimi nitakueleeaje?
Mtu mzima acha pombe unapoteza kumbukumbu ndio maana nikajua ni mjinga wewe🤣🤣...Nikuoneshe au ushafuta?
 
Usiandike kingereza wewe ni mweusi kama kunguru ,tunajadili usineletee uzungu mimi ni race tofauti na huo ujinga wako.

Huelewi kitu unakimbilia lugha nyingine 🤣🤣
Usinipangie lugha ya kuandika kama wewe ngumbaru hilo ni tatizo lako, si langu.
 
Mtu mzima acha pombe unapoteza kumbukumbu ndio maana nikajua ni mjinga wewe🤣🤣...Nikuoneshe au ushafuta?
Sijagusa pombe yoyote tangu January 1 2024.

Wanaonifuatilia wanajua.

Wewe umeshindwa kujadili hoja, unaleta viroja.

This logical fallacy is called ad hominem.

You are not worth my shells.

Nakupeleka kwenye ignore list yangu.

Kuanzia hapa sitaona uharo unaoandika ambao hata wewe mwenyewe huuelewi.

Hujafikisha viwango vya kujibizana na mimi.
 
Usinipangie lugha ya kuandika kama wewe ngumbaru hilo ni tatizo lako, si langu.
Unalia nn sasa? Nimekuambia nioneshe wazazi wako kama ni matajiri nikulipe mbele za watu...Danganya wajinga wa huko kwenu sio mimi .

Kwenda hapo Marekani unajiona una pesa ,mtumwa wa kifikra ...Sio mjadala wa kingereza kuwa huru acha uoga...
 
Wewe mwenyewe masikini una thamani gani sasa ?🤣🤣🤣

Mimi na wewe ni race tofauti kaa pembeni haya ni maji marefu ...Sio mtumwa kama wewe na wazazi wako.
 


Naona ukimbilia mambo hayana uhusiano kabisa , mentality ya kimaskini ni pale wazazi wako walipopanga kukuzaa.
 
Wewe ndio fala kabisa hv unawajua mchicha mwiba wewe, saiv mbona kawaida mume wamtu kua mke wamtu pia
 
Kiranga bado mtoto mdogo sana hawezi kukuelewa 😁
 
Hao aliowataja ni sahihi kutokuhudhuria kwasababu hawakuzaa mtoto wa kike bali walizaa mtoto wa kiume huyo wa kike hawa mjui wa kwao wa kiume alishakufa siku nyingi.
 
Hata wewe inawezekana umesha left coz haueleweki muda mwingine.
 
Umeona eeeh
Madingi kama vile hawana roho ya mwanadamu Ila wamama wamejaa utu na huruma. Mama akikukacha jua wewe ndio chanzo
Hivi kumbe we ndo cacutee...??? Nashukuru kukufahamu.
 
K Kama uwezo wa kusaidia unao saidia mkuu, kuna leo na kesho. Hizi akili za kibepari zina wenyewe.. mawazo y kujitia mwamba kwa Tanzania hii matajri wengi ni vulnerable kitu kidogo kikiwateleza tu washarudi walipotoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…