Nuh Mziwanda afunguka machungu ya Maisha adai akifa "asije baba, mama wala ndugu" kunizika! Aomba azikwe na Serikali

Nuh Mziwanda afunguka machungu ya Maisha adai akifa "asije baba, mama wala ndugu" kunizika! Aomba azikwe na Serikali

Ukiheshimu wazazi, ukawa unatoa ushirikiano mzuri,ukiwa msikivu kwa familia na wazazi,ukiwa unashaurika.

Utalaumu bureeee kila mtu ikiwa husiki la kuambiwa.

Mimi Kama mzazi siwezi bembeleza toto lisilo nitii
 
Hii story ni ngumu kuamini kama kweli ni maneno ya nuhu. Familia yao ni familia bora sana hasa mama yao. Ni mama ambaye ata sisi watoto wa jirani tu tulikua tunapewa ice cream za bure kutoka kwake leo hii asiwe na mapenzi na mwanae? Tena mtoto mwenyewe nuhu kipenzi cha mama yake?
Huyo mama alishapitia magumu yote ya dunia na bado akawa na roho ya utu. Ata baba yao kina nuhu mtu mwema sana. Kaka zake wote wawili na dada zake watu waungwana mno. Kama ni kweli ni maneno yake basi Nuhu ndo tatizo lakini sio familia yake
 
Hii story ni ngumu kuamini kama kweli ni maneno ya nuhu. Familia yao ni familia bora sana hasa mama yao. Ni mama ambaye ata sisi watoto wa jirani tu tulikua tunapewa ice cream za bure kutoka kwake leo hii asiwe na mapenzi na mwanae? Tena mtoto mwenyewe nuhu kipenzi cha mama yake?
Huyo mama alishapitia magumu yote ya dunia na bado akawa na roho ya utu. Ata baba yao kina nuhu mtu mwema sana. Kaka zake wote wawili na dada zake watu waungwana mno. Kama ni kweli ni maneno yake basi Nuhu ndo tatizo lakini sio familia yake
We umejuaje yote haya!
 
Msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda, ameibua hisia kali mitandaoni baada ya ku-share ujumbe wa kusikitisha kupitia ukurasa wake wa Instagram. Kupitia posti hiyo, Nuh alieleza machungu anayoyapitia, akifichua hali ngumu inayomkabili, hasa katika mahusiano yake na familia.

Katika ujumbe wake mzito, msanii huyo aliandika:

"Naomba sana kama nikifa asije mama, baba wala ndugu yangu yoyote (yeyote) kunizika mimi. Naomba nizikwe na serikali na mashabiki wangu. Naandika kwa uchungu sana, naamini Mungu anahisi maumivu yangu. Oya, hakuna kitu kibaya kama familia kukuacha na kukuona hauna maana wakati unaamini wao ndio furaha yako ya mwisho..."

Aliendelea kufunguka zaidi kwa kusema kuwa amejitahidi kuacha pombe, lakini kutokana na changamoto kubwa anazopitia, anaona hiyo ndiyo njia pekee inayoweza kumpa furaha kwa sasa.

"Mimi nateseka sio kiuchumi, kuna mengi napitia. Naomba umma ijue na iwe kama njia sahihi na mfano bora kwa vijana wanaopitia changamoto za kifamilia na kimapenzi."

Serikali imemsikia
 
Watu wasichokijua ni kwamba mambo yako yoteee unayopitia hakuna anayejali, hivyo ni jukumu lako ww kujiongeza, kujiongoza na kutumia akili yako kuishi na furaha ya kweli. Hakuna anayejali hivyo lazima uwe na ukomavu wa akili Ili uweze kuishi kwenye haya mapambano. Keep your head up.
 
Kuzaa watoto ni sawa na upatu mtanielewa siku moja ,Nuh Mziwanda anapata matatizo ila wazazi waliomzaa hawana msaada kwake kabisa ila wanategemea akikaa sawa awatunze hata hao ndugu zake ni hovyo.

Kiuhalisia ifike muda mtu kujiua iwe ni haki na huru kabisa kwa vile dunia haina maana , sometimes unajikuta huendani na mikazo ya dunia ...Kwa kweli wapitishe tu sheria hiyo hakuna ulazima wa kuendelea kushikilia maumivu hata wewe ulizaliwa bila ya ridhaa yako.

Ndio maana yule jamaa wa P square alisema bora kifo kuliko umaskini ,yuko sahihi kabisa kwa nini uendelee kuteseka simply jitoe uhai tu.​
Euthanasia
 
Oya element za ushoga wakati jamaa ana Watoto kadhaa huyo, hivi unaelewa unachokiandika ana Watoto Wanne na kila Mtoto na Mama yake, ushoga unaingiaje hapo shoga anazalisha shoga anatungisha mimba? Shoga si anapigwa bomba nyuma muda wote?

Unajua wakati mwingine msiangalie mionekano ya watu mkaanza kuwaweka watu kwenye makundi mnayoyataka nyinyi
Kwanini ujilembe kana demu
 
"Kunja ngumi ,hii ni smart area ,haya anza kuimba ,unatafuta kiki kwa pikipiki ,ama black ama white vipi?" - Afande Kichuya
 
Huyu jamaa analeta tabia za U last born, analia makusudi akijua lazima atabembelezwa
Zama hizi vijana wanakata tamaa ya maisha mapema sana inawezekana kuna sehem kwenye malezi wazazi tunakosea ama nini?
 
Kama mpaka mama yake amemtupa basi Nuh ndiye mwenye matatizo.
Usiombe yakakukuta ila kuna wamama wabayaaa dunian hapa acha, mpk unaweza uulize ni kakuzaa kweli au vp. Jamn kama umepata wamama wazuri mshukuru Mungu, yaan wanawake waonee tuu ila mama anaweza akuchukie mpka ukamshangaaa yaan anakuchukia chukio kuuu.....
 
Back
Top Bottom