luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Kwa mujibu wa vyanzo , Mwana habari Nuhu Adam amevujisha habari ya Mchezaji Fiston Mayele kusaini kandarasi mpya na club ya Kaizer Chief ya S.A.
===
Katika ukurasa wake rasmi wa Instagram mwandishi huyu ameandika:
South African giants @kcfcofficial 🇿🇦 have completed the signing of @yangasc 🇹🇿 striker Fiston Kalala Mayele (28) on a three-year contract, announcement soon.
Mayele was 2nd highest scorer in the Tanzania Premier League this season with 16 goals.
Kwa Kiswahili
Vigogo wa soka nchini Afrika Kusini Kaizer Chiefs 🇿🇦 wamekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Yangasc 🇹🇿 Fiston Kalala Mayele (28) kwa mkataba wa miaka mitatu, tangazo rasmi kuja hivi karibuni.
Mayele amekuwa mfungaji bora wa 2 kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu akiwa amefunga mabao 16.
===
Katika ukurasa wake rasmi wa Instagram mwandishi huyu ameandika:
South African giants @kcfcofficial 🇿🇦 have completed the signing of @yangasc 🇹🇿 striker Fiston Kalala Mayele (28) on a three-year contract, announcement soon.
Mayele was 2nd highest scorer in the Tanzania Premier League this season with 16 goals.
Kwa Kiswahili
Vigogo wa soka nchini Afrika Kusini Kaizer Chiefs 🇿🇦 wamekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Yangasc 🇹🇿 Fiston Kalala Mayele (28) kwa mkataba wa miaka mitatu, tangazo rasmi kuja hivi karibuni.
Mayele amekuwa mfungaji bora wa 2 kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu akiwa amefunga mabao 16.