Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anayeuza ni mkopeshaji AS Vita, Yanga anapewa taarifa tu
Imani imebaki kwa MAKOLO pekee. 😀😀Wa south Africa mpk Leo hawana imani tena na huyu jamaa tangu aandike kuhusu taarifa ya usajili wa Sipho Mbule kukamilisha usajili kwenda Mamelodi Sundowns
Alivyokuwa anawasifia mbona hamkumponda? Ila kagusa yalipo matumaini yenu visukari vimepanda juuNuhu anawalenga zaidi mbumbumbu mliopo Tz View attachment 2277278
anayeuza ni mkopeshaji AS Vita, Yanga anapewa taarifa tu
Alivyokuwa anawasifia mbona hamkumponda? Ila kagusa yalipo matumaini yenu visukari vimepanda juu
Luc hakukosea kuwaita manyani, uneducated mambwa mna bwek bweka hovyo yamejirudia leo sasa tweet moja vyura kibao wanalia hapo jangwaniSisi huku Jangwani hatuburudishi UONGO UONGO.
Haijalishi ulitusifia au la ukizingua UNAPEWA UKWELI.
Hakuna mkopo wa miaka 2 labda kama FIFA kwako hujui ina maana gani? Watu tunaowaheahimu msiwe mnatuangusha Kwa kutoa comment Sawa na mashabiki wa ndondo.anayeuza ni mkopeshaji AS Vita, Yanga anapewa taarifa tu
Hapa umesema kweli, yaani Mtu anaamka anaandika professional player amekopeshwa Kwa miaka 2?Nuhu kweli anakijiji chake cha Mazuzu Tz,na amewapa
Leta evidence hapa sio maneno matuu...maana wengine wanasema CEO wa kaizer kaongea mara ka tweet ...leta hapaa evidenceHaya ulikuwa unasema Kaizer chiefs hawajatoka kukanusha taarifa ya kumsajili Mayele
Trusted sports Journalist in South Africa:Lorenz Kohler kupitia account zake za twitter na Facebook anapatikana kwa jina hilo amefanya mazungumzo na mmiliki wa timu ya Kaizer chiefs anayeitwa Kaizer Moutang Jr,amekanusha taarifa hizo za kizushi na kipumbavu za mambumbumbu wa pale ukoloni
Kaizer chief wamemuuliza "Source".........amebaki analialiaHapa umesema kweli, yaani Mtu anaamka anaandika professional player amekopeshwa Kwa miaka 2?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya yote kasababisha Mpoleeee jana. Watu wana haraaa huko.NGUMU KUMEZA [emoji434]
Mashabiki wa Simba SC na viongozi wanahaki ya kumshangilia George Mpole kama achievement kwao kutokana na sababu kadhaa.
[emoji419] Msimu huu klabu ya Simba haina chochote cha kushindania kwenye ligi.
[emoji3502]Bingwa - Young Africans
[emoji3502]Unbeaten - Young Africans
[emoji3502]Timu ambayo haijafungwa magoli mengi ligi kuu - Young Africans.
[emoji3502]Mfungaji bora - George Mpole
[emoji3502]Mfungaji bora namba 2 - Mayele
[emoji3502]Timu iliyofunga magoli mengi zaidi msimu huu - Young Africans
Timu iliyopiga pasi nyingi zaidi msimu huu ligi kuu Tanzania bara :
1. [emoji3478] 11,564 - Young Africans
2. [emoji3478] 10,372 - Simba sc
3. [emoji3478] 9,427 - Azam fc
[emoji3502] Golikipa mwenye Cleansheets nyingi ligi kuu Tanzania bara - Diarra
[emoji3502] Golikipa namba mbili mwenye Cleansheets nyingi - Aboutwalib Mshery
[emoji3502]Timu yenye Cleansheets nyingi ligi kuu Tanzania bara - Young Africans.
[emoji3502]Makombe mengi msimu huu - Yanga
[emoji3502]Timu iliyoshinda michezo mingi msimu huu - Young Africans.
[emoji3502]Timu iliyotoa sare chache zaidi msimu huu - Young Africans SC
[emoji3502]Timu iliyoingiza mashabiki wengi viwanjani - Young Africans
[emoji3502] Mshambuliaji pekee ambaye hana goli katika top three ni - Mugalu.
[emoji419] Kwa hiyo ukitazama hapo sehemu pekee ambapo klabu ya Simba inaweza kupata tuzo ni sehemu moja tu,, Ni kwa GEORGE MPOLE.
Ukiacha Mayele kutetema, hizo ndo sababu kubwa zilizofanya mashabiki wengi wa Simba kufurahishwa na Mpole kutwaa tuzo.
Nuhu Adams alete source yake haraka sana kama Kaizer chief wenyewe hawajui hii habari inatoka wapi?
Hongera kwa kuchukua kombe la Mpole Cup[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya yote kasababisha Mpoleeee jana. Watu wana haraaa huko.
Reply ya nuhu ikasemaje mwisho?
Ww ndio uteletee hiyo reply ya mwisho ya NuhuReply ya nuhu ikasemaje mwisho?