Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Yaan huyu shilole hivi vitoto vitampeleka wapiii hapo tu ndio namshangaa vivulana saizi ya Lulu ye kang'ang'ana tu
hiyo ndo tofauti ya mtoto wa kiume na mwanaume. a real man never dare to do such idiot kirahic rahic ivo. get up bro, umarioo huwa una expire!
Lulu mwenyew havitak ivo vivulana saiz yake anatak vya akina komba
Shilole alitakiwa awe na kina komba au machemlii,hebu niambie binam hako kavulana kanafanya kazi gani hapa mjiniii???
Mwanamuzik na yeye, huyu shilole haon hata aibu, si lina watoto hili?? Hat aibu halion kabisa ***** zake kutoka na vitoto vidogo, young dee kapiga sanaa apa ,huyu atakuwa na mapepo c bure
hiyo ndo tofauti ya mtoto wa kiume na mwanaume. a real man never dare to do such idiot kirahic rahic ivo. get up bro, umarioo huwa una expire!
Keshokutwa tu hapa warumi atakuja na thread ya kuachana kwa shilole na huyo sijui nani vile, sijui hiyo tattoo utaificha wapi