Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,733
- 6,469
Kaharibu kujichora tu, Dinazarde cheki kijana alivyoshika kiuno, we bado unamuita mtotoKwani wa saizi hawana dushe,ana watoto hawaonei aibu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaharibu kujichora tu, Dinazarde cheki kijana alivyoshika kiuno, we bado unamuita mtotoKwani wa saizi hawana dushe,ana watoto hawaonei aibu??
Mmh mjini kuna mambo, ebu usinifanye nitoe masir ya watu na hizo tatoo maana siku iz nimeokoka sipend umbea
Muache amuambukize goma vizuri then ajue mjini kunani,shilole lazima ambwage huyo zunde hana kazi na wala show hapati anashindaga tu huku mtaani sasa sijui atawezaje kumuhudimia huyo demu
Ukiacha umbea nahama Jamiii haki ya gwajima shahidi mbasha
Ndio raha ya kudate vijitoto vya kiume
Muache amuambukize goma vizuri then ajue mjini kunani,shilole lazima ambwage huyo zunde hana kazi na wala show hapati anashindaga tu huku mtaani sasa sijui atawezaje kumuhudimia huyo demu
Unamfahamu vzr Nuhu? Unamjua Kenny?
Just like the old days
Kaharibu kujichora tu, Dinazarde cheki kijana alivyoshika kiuno, we bado unamuita mtoto
kweli wewe mmbea yaani umbea upo kwenye damu yako kabisa kama vp tuombe kwa mod uwe mode wa jukwaa hili!!!!!
Dinazarde kwani Machache na Mh. Mbunge nao hawakuona size yao wakabeba hawa warembo wadogo???????Hakuna cha size anachopata Shilole anajua aisee hivi we ujiulizi
ubarikiwe mtumishi, nahis changamoto niliyonayo kwenye huu wokovu ni umbea, yaani apa yanahitajika maomb ya ziada kuishinda hii dhambi
Mkuu mi sidhani kama Shilole kafata kuhudumiwa hapo, Ushasema hpo kwenye red uyu mtu hana kazi,ivyo kama huyu demu angetaka kuhudumiwa ange deal na mapedesheee hapo mjini, Mi nadhani Shilole KACHIZIKA TU