Nuhu Mziwanda amechukua uamuzi mgumu juu ya penzi lake kwa Shilole

Nuhu Mziwanda amechukua uamuzi mgumu juu ya penzi lake kwa Shilole

Mmh mjini kuna mambo, ebu usinifanye nitoe masir ya watu na hizo tatoo maana siku iz nimeokoka sipend umbea

Tehtehteh, haya Mungu akubariki usitoke kwenye wokovu
 
Tehtehteh, haya Mungu akubariki usitoke kwenye wokovu

ubarikiwe mtumishi, nahis changamoto niliyonayo kwenye huu wokovu ni umbea, yaani apa yanahitajika maomb ya ziada kuishinda hii dhambi
 
Shilole alitakiwa awe na kina komba au machemlii,hebu niambie binam hako kavulana kanafanya kazi gani hapa mjiniii???

dah! sidhani kama unaishi bongo wewe may be afghanistan yaani humjui nuhu mziwanda?!!!!!
 
ubarikiwe mtumishi, nahis changamoto niliyonayo kwenye huu wokovu ni umbea, yaani apa yanahitajika maomb ya ziada kuishinda hii dhambi

Master Warumi, mshukuru Mungu kwa kukupa kipawa cha umbea.
 
Yaan huyu shilole hivi vitoto vitampeleka wapiii hapo tu ndio namshangaa vivulana saizi ya Lulu ye kang'ang'ana tu

Hivi haviumizi...anaogopa mipini iliyokomaaa maana atatolewa kamasi dadaaadekiii
 
Mwanamuzik na yeye, huyu shilole haon hata aibu, si lina watoto hili?? Hat aibu halion kabisa ***** zake kutoka na vitoto vidogo, young dee kapiga sanaa apa ,huyu atakuwa na mapepo c bure

Ha ha ha haha ha ha Warumi tulia bana, mi nadhani watu wataka twende sawa kwani Mbona bwana Machache na Mh. Mbunge mwenye mwil wanachukua dogo dogo, NGOMA DROOOOOOOOOO TU.
Upuuzi wa uyo dogo ni kujichora tattoo, naamini Hajutii leo ila hatakuja kujilaumu baadae
 
Yaan huyu shilole hivi vitoto vitampeleka wapiii hapo tu ndio namshangaa vivulana saizi ya Lulu ye kang'ang'ana tu

Wewe usicheze na dushelele, hivi Dinazarde unaanzaje kumuita mtu aliyezidi 18 mtoto, wakati uyo hata hata Mimba anakujaza, mkubwa uyo Bwana hamna cha Utoto, Shilole kashakolezwa hatoki tena. SEMA TU kafanya upuuzi kujichora
 
Mmh mjini kuna mambo, ebu usinifanye nitoe masir ya watu na hizo tatoo maana siku iz nimeokoka sipend umbea

Kwa hiyo na sie umbea tuache au nawe ushatishwa huko pm nini makubwaaa
 
Wewe usicheze na dushelele, hivi Dinazarde unaanzaje kumuita mtu aliyezidi 18 mtoto, wakati uyo hata hata Mimba anakujaza, mkubwa uyo Bwana hamna cha Utoto, Shilole kashakolezwa hatoki tena. SEMA TU kafanya upuuzi kujichora

Kwani wa saizi hawana dushe,ana watoto hawaonei aibu??
 
ubarikiwe mtumishi, nahis changamoto niliyonayo kwenye huu wokovu ni umbea, yaani apa yanahitajika maomb ya ziada kuishinda hii dhambi

Ukiacha umbea nahama Jamiii haki ya gwajima shahidi mbasha
 
dah! sidhani kama unaishi bongo wewe may be afghanistan yaani humjui nuhu mziwanda?!!!!!

Sio maarufu kivile,hata mm nilikuwa simjui kabla hajawa na shilole,na nipo mjini na mziki nafuatili..

All in all dogo kazngua..
 
Kwani wa saizi hawana dushe,ana watoto hawaonei aibu??

Dinazarde kwani Machache na Mh. Mbunge nao hawakuona size yao wakabeba hawa warembo wadogo???????Hakuna cha size anachopata Shilole anajua aisee hivi we ujiulizi
 
Back
Top Bottom