Nukuu tata kutoka kwenye tukio la kutekwa Hayati Ally Mohamed Kibao

Nukuu tata kutoka kwenye tukio la kutekwa Hayati Ally Mohamed Kibao

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Aliyosema Mnyika:

Basi lilikuwa blocked na Land Cruiser hard top 2. Watu wawili wenye silaha walibaki nje na wawili wakaingia kwenye basi.

Hawakujitambulisha kama polisi.

Walikuwa na bunduki zitumiwazo na usalama wa taifa. Waliomchukua watakuwa usalama wa taifa.

"Hawa hawakuwa polisi." Alisisitiza Mnyika.

Walimchukua wa nguvu na kumpiga sana.

Wakitoka naye kwenye basi kuna mwenzao wa tatu aliongezeka. Kwamba huyo naye alikuwa abiria.

Alichoandika almaarufu X-mayor:

Tofauti na Mnyika, huyu anasema Hawa watu walijitambulisha kuwa ni polisi.

Kwamba alichukuliwa na polisi.

Kuwa Mzee Kibao alikuwa ni msafiri mfahamika mno na Tashrif.

Walichoandika mwananchi:

IMG_20240910_080342.jpg


Kwamba walisema wamekuja kumchukua mtu wao. Kuwa marehemu alishuka mwenyewe kwa kuongozana nao ya kuwa ilikuwa kama walikuwa wanajuana.

Kuna ongezeko la gari ya tatu, V8 pia hapa.

Beberu anasema:

"Which is which?"

Soma Pia: Umoja wa Ulaya watoa wito kwa Rais Samia kuanzisha uchunguzi wa haraka kubaini watekaji nchini
 
Mie nauliza kuna watu bongo wanamiliki silaha za kivita? And the goverment is there chilling out au sio sasa ngoja atekwe mtt wa masauni au mtoto wa mhagama tuone watasemaje manake ndo ikiwa hvyo tutaenda sawa tuone na wao waseme wamejiteka
 
Mie nauliza kuna watu bongo wanamiliki silaha za kivita? And the goverment is there chilling out au sio sasa ngoja atekwe mtt wa masauni au mtoto wa mhagama tuone watasemaje manake ndo ikiwa hvyo tutaenda sawa tuone na wao waseme wamejiteka

Haya yote kwao ni dua la kuku.

Kipi kitokee wapi wasijue wao?

Ndiyo maana hawana hofu.
 
Lema kasema ni polisi mnyika kasema siyo polisi taarifa zipi ni za kweli?
Hata hivyo hakuna mtekaji atakaekuja kuteka na aseme yeye ni mtekaji lazima atajivisha mamlaka halali ya uongo ili aaminiwe
 
Aliyosema Mnyika:

Basi lilikuwa blocked na Land Cruiser hard top 2. Watu wawili wenye silaha walibaki nje na wawili wakaingia kwenye basi.

Hawakujitambulisha kama polisi.

Walikuwa na bunduki zitumiwazo na usalama wa taifa. Waliomchukua watakuwa usalama wa taifa.

"Hawa hawakuwa polisi." Alisisitiza Mnyika.

Walimchukua wa nguvu na kumpiga sana.

Wakitoka naye kwenye basi kuna mwenzao wa tatu aliongezeka. Kwamba huyo naye alikuwa abiria.

Alichoandika almaarufu X-mayor:

Tofauti na Mnyika, huyu anasema Hawa watu walijitambulisha kuwa ni polisi.

Kwamba alichukuliwa na polisi.

Kuwa Mzee Kibao alikuwa ni msafiri mfahamika mno na Tashrif.

Walichoandika mwananchi:

View attachment 3092200

Kwamba walisema wamekuja kumchukua mtu wao. Kuwa marehemu alishuka mwenyewe kwa kuongozana nao ya kuwa walikuwa wanajuana.

Kuna ongezeko la gari ya tatu, V8 pia hapa.

Beberu anasema:

"Which is which?"
mzimu uko HQ ya chama,
picha ya mwanzo wameitoa na picha ya mwisho wameitoa...

kuna uwezekano wa A to Z wa alichotendewa kamanda Ally Mohamed kibao wakawa nayo HQ Ya chama kujiridhisha uchunguzi ufanyike tu🐒
 
Hahaha 😂 Baba hapa mboni chachafya Land cruiser ndio hio hio V8, usivurugwe Gari zilikua 2 zote ni Cruiser, usiseme Cruiser na V8 ni Gari tofauti mwandishi tu amekupeleka puta
Amesema kulikuwa na LC hardtop pamoja na LC V8.
 
Hahaha 😂 Baba hapa mboni chachafya Land cruiser ndio hio hio V8, usivurugwe Gari zilikua 2 zote ni Cruiser, usiseme Cruiser na V8 ni Gari tofauti mwandishi tu amekupeleka puta

Nilichoandika hapo ni nukuu tu.

Kwamba tunaendelea kukusanya nukuu, ni muhimu kujua hatutatoka kwenye reli.
 
Back
Top Bottom