Nukuu tata kutoka kwenye tukio la kutekwa Hayati Ally Mohamed Kibao

Nukuu tata kutoka kwenye tukio la kutekwa Hayati Ally Mohamed Kibao

Kwani unataka kusemaje? Kwamba polisi/usalama hawahusiki na huu utekaji? Kuna majambazi siku hizi wana jiamini na kutembea wakiteka watu kwa bunduki na pingu?Tena hadharani!!!

Umeona kuwa hizi ni nukuu zilizosikika ambapo ni katika kujiuliza which is which?

Kwamba hata hii ya Tashrif kumtelekeza mzee yule wakimjua vyema hutaki kujiuliza?

Kwamba ni nani mwenye dhamana yoyote kwenye lipi anaweza kujipa u halali upi?
 
Trying to make sense of this thread.

Mleta mada unajaribu kutuelekeza kwenye hoja kwamba "viongozi wa CHADEMA hasa Mbowe ni wahusika au washirika katika hili sakata"? Kwamba wanajua undani wake kuliko wanavyoeleza?
 
Trying to make sense of this thread.

Mleta mada unajaribu kutuelekeza kwenye hoja kwamba "viongozi wa CHADEMA hasa Mbowe ni wahusika au washirika katika hili sakata"? Kwamba wanajua undani wake kuliko wanavyoeleza?

Wapi unayasoma hayo ndugu?

Kwanini hutaki kuona kuwa speechless nimeamua kukusanya yenye utata tusaidiane kama ni miye ambaye sijaelewa?

Au kuna nukuu ambayo nimeikosea?
 
Story zitakuja nyingi sana lakini mwisho wa siku Mzee Kibao ameshapoteza maisha yake na ni ktk kipindi ambacho haya matukio yalikuwa yamezidi ajabu zaidi hatukuwahi kupewa warning yoyote na wanaojiita serikali kwamba kuna hali isiyokuwa ya kawaida wananchi tukae kwa tahadhari pia na-assume kwamba hata marehemu na waliokuwa wamemzunguka mule kwenye bus serikali yao ingekuwa imetoa tamko mapema kuhusu ishu ya watu kupotezwa wasingekubali tukio la kuchukuliwa kwake liwe rahisi kama lilivyokuwa.

Hata wale topper walikuwa kimya siyo serikalini siyo vyombo vya ulinzi ila baada ya kifo cha huyu katibu msaidizi nimemsikia hata Samia akitoa neno,of course inafikirisha inaonekana yapo maagizo fulani ya kutaka watu fulani fulani wasiwepo kwa sababu fulani za kipindi fulani lakini wale waliotumwa hiyo kazi wameichukulia so personal kiasi wamevuka mipaka na kwa damu za wale wanaouawa zimewakereketa waliowatuma na kuwasukuma kutoka hadharani japo kinafiki kutoa maagizo.
 
Wapo unayasoma hayo ndugu?

Kwanini hutaki kuona kuwa speechless nimeamua kukusanya yenye utata tusaidiane kama ni miye ambaye sijaelewa?

Au kuna nukuu ambayo nimeikosea?
Peleka huu ushahidi polisi ili uwasaidie kwenye upelelezi wao unao endelea wa kujipeleleza wenyewe. Unaleta mada ya kiwaki wakati kuna mtanzania mwenzetu ametekwa na kuuawa na dola!!!
 
Story zitakuja nyingi sana lakini mwisho wa siku Mzee Kibao ameshapoteza maisha yake na ni ktk kipindi ambacho haya matukio yalikuwa yamezidi ajabu zaidi ni hatukuwahi kupewa warning yoyote na wanaojiita serikali kwamba kuna hali isiyokuwa ya kawaida.

Hata wale topper walikuwa kimya siyo serikalini siyo vyombo vya ulinzi ila baada ya kifo cha huyu katibu msaidizi nimemsikia hata Samia akitoa neno,of course inafikirisha inaonekana yapo maagizo fulani ya kutaka watu fulani fulani wasiwepo kwa sababu fulani za kipindi fulani lakini wale waliotumwa hiyo kazi wameichukulia so personal kiasi wamevuka mipaka na kwa damu za wale wanaouawa zimewakereketa waliowatuma na kuwasukuma kutoka hadharani japo kinafiki kutoa maagizo.

Nakubaliana nawe kuwa tuko kama wafa maji kuwa Kila mtu atasema lake.

Hata hivyo ukweli ni muhimu ujulikane tena live bila chenga.

Hili halipaswi kupita hivi hivi tu.
 
Kitu kibaya ni kuwa hayupo tena.

Kitu kibaya zaidi ni mateso mpaka kufa kwake.

Kitu kibaya sana ni vile wauaji ni vijana tu , sometimes muwe na huruma.

Wangemchoma tu sindano afe bila mateso.

Taaluma nyeti hazisitaafu,

ngoja niishie hapa
 
Peleka huu ushahidi polisi ili uwasaidie kwenye upelelezi wao unao endelea wa kujipeleleza wenyewe. Unaleta mada ya kiwaki wakati kuna mtanzania mwenzetu ametekwa na kuuawa na dola!!!

Huo si ushahidi hizo ni nukuu tena ziko hadharani.

Zimekuwapo kwenye TVs, Twitter na magazeti Moja wapo likiwa mwananchi:

https://www.mwananchi.co.tz/mw/haba...ada-chadema-alivyotekwa-ndani-ya-basi-4755112

Kwani polisi hawasomi au kusikiliza huko hadi kuhitaji kupelekewa nukuu hizi ndugu?

Kulikoni makasiriko yako kwangu?

Kwani kuna nukuu hizi zilipokugusa ndugu?
 
Lema kasema ni polisi mnyika kasema siyo polisi taarifa zipi ni za kweli?
Hata hivyo hakuna mtekaji atakaekuja kuteka na aseme yeye ni mtekaji lazima atajivisha mamlaka halali ya uongo ili aaminiwe

Inasikitisha sana.
 
Wapi unayasoma hayo ndugu?

Kwanini hutaki kuona kuwa speechless nimeamua kukusanya yenye utata tusaidiane kama ni miye ambaye sijaelewa?

Au kuna nukuu ambayo nimeikosea?
I'm just thinking aloud - just like you.

Hakuna nukuu uliyoikosea. The content is all bonafide genuine. I'm particularly interested in the context. Nafuatilia uzi kuona hitimisho lake. Basi.
 
Kitu kibaya ni kuwa hayupo tena.

Kitu kibaya zaidi ni mateso mpaka kufa kwake.

Kitu kibaya sana ni vile wauaji ni vijana tu , sometimes muwe na huruma.

Wangemchoma tu sindano afe bila mateso.

Taaluma nyeti hazisitaafu,

ngoja niishie hapa

Waliosema fainali uzeeni walikosea.

Fainali kwa Mungu.

Huko kama ilivyoandikwa, "itakuwa ni vilio na kusaga meno!"
 
I'm just thinking aloud - just like you.

Hakuna nukuu uliyoikosea. The content is all bonafide genuine. I'm particularly interested in the context. Nafuatilia uzi kuona hitimisho lake. Basi.

I am also thinking aloud. As I said, like others: "I am speechless."

Utasema nini? Kumbe nani yuko salama?
 
I am also thinking aloud. As I said, like others: "I am speechless."

Utasema nini? Kumbe nani yuko salama?
Sawa. Speechless kwa jeuri na ukatili uliofanywa na watekaji/wauaji AU kwa kauli zilizopishana za viongozi wa CHADEMA na mashuhuda wengine? AU kwa vyote?
 
Hakuna jicho la tatu hapo na hayupo mwenye kulihitaji.

Kudai uwajibikaji badala ya kuomba uwajibikaji ndiyo njia pekee.

Bila hivyo wamasai wasingekuwa ngorongoro leo ndugu.

Kwani kwenye nukuu hizo ipo moja ngeni kwako?

Zaidi sana haka kakujitoa ufahamu na kuwanyooshea wengine vidole ni utoto uliopitiliza.

Kuwa wenye kujisahau sisi, kwani wewe nani uliyemkamilifu hivyo ndugu?
Hakuna mtu anayeweza kumnyooshea kidole mtu asiyehusika, mnona hawatajwi wale ndugu zetu wa Ngome, Lugalo na kwingineko? au hata machinga, walimu na viongozi wa dini kuhusika na haya mauchafu? Na kama sio wao basi watuonyeshe kwa mujibu wa majukumu yao ya kazi. Yaani watu wafanye matukio ya kuwachafua halafu wao wapo tu ofisini wanalipwa kufanya kazi gani kama jukumu lao la msingi wameshindwa kulifanya?
Ukitumia akili utajua sema sasa tatizo lipo kwa baadhi yenu kuwa haya mnayofanyua ni sehemu ya kazi zenu. Mnaweza kupoata tarifa za hatar kwenye mikutano ya Chadema ila hamkuwahi kupata taarifa za hatar za Kibao kutekwa, Lisu kupigwa risasi, kina Ben na Azory kupotea na hao wengine.
 
Sawa. Speechless kwa jeuri na ukatili uliofanywa na watekaji/wauaji AU kwa kauli zilizopishana za viongozi wa CHADEMA na mashuhuda wengine? AU kwa vyote?

Kwani umeona kuna nukuu za Chadema hapo?
 
Hakuna mtu anayeweza kumnyooshea kidole mtu asiyehusika, mnona hawatajwi wale ndugu zetu wa Ngome, Lugalo na kwingineko? au hata machinga, walimu na viongozi wa dini kuhusika na haya mauchafu? Na kama sio wao basi watuonyeshe kwa mujibu wa majukumu yao ya kazi. Yaani watu wafanye matukio ya kuwachafua halafu wao wapo tu ofisini wanalipwa kufanya kazi gani kama jukumu lao la msingi wameshindwa kulifanya?
Ukitumia akili utajua sema sasa tatizo lipo kwa baadhi yenu kuwa haya mnayofanyua ni sehemu ya kazi zenu. Mnaweza kupoata tarifa za hatar kwenye mikutano ya Chadema ila hamkuwahi kupata taarifa za hatar za Kibao kutekwa, Lisu kupigwa risasi, kina Ben na Azory kupotea na hao wengine.

Tofautisha kuwanyooshea vidole watekaji, polisi au hata serikali na wajumbe wenye kutoa mawazo yao huru humu JF kwenye uandishi wako.

Shuleni tukiambiwa: "improve your communication skills."
 
mzimu uko HQ ya chama,
picha ya mwanzo wameitoa na picha ya mwisho wameitoa...

kuna uwezekano wa A to Z wa alichotendewa kamanda Ally Mohamed kibao wakawa nayo HQ Ya chama kujiridhisha uchunguzi ufanyike tu🐒

Tutakapoamka kudai uwajibikaji badala ya kuomba uwajibikaji kwa tuliowapa dhamana, yote yatafahamika.

Long live wamasai wa Loliondo!
 
Back
Top Bottom