Trying to make sense of this thread.
Mleta mada unajaribu kutuelekeza kwenye hoja kwamba "viongozi wa CHADEMA hasa Mbowe ni wahusika au washirika katika hili sakata"? Kwamba wanajua undani wake kuliko wanavyoeleza?
Viongozi wengi wa Chadema Wana Viapo Vya asili Kwa mfano Dr Slaa ni Padre
Mnyika ni Mseminari
Mbowe ni Mtumishi wa Umma Mstaafu
Sugu ni Afisa mbobezi
Nk.....nk π π π π π
Watoto wadogo hamjui mengiπ₯
Mwananchi: Tumekuja kumchukua Mtu wetu
Sawa. Speechless kwa jeuri na ukatili uliofanywa na watekaji/wauaji AU kwa kauli zilizopishana za viongozi wa CHADEMA na mashuhuda wengine? AU kwa vyote?
Peleka huu ushahidi polisi ili uwasaidie kwenye upelelezi wao unao endelea wa kujipeleleza wenyewe. Unaleta mada ya kiwaki wakati kuna mtanzania mwenzetu ametekwa na kuuawa na dola!!!
Peleka huu ushahidi polisi ili uwasaidie kwenye upelelezi wao unao endelea wa kujipeleleza wenyewe. Unaleta mada ya kiwaki wakati kuna mtanzania mwenzetu ametekwa na kuuawa na dola!!!
Mamlaka ambazo zimetenda huu unyama!! Mwamba anajaribu tu kuspin tukio tu,haijaleta hii mada kwa nia njema .
Kwani kuna nini limebadilika? Mzee kibao amefufuka? Waliomteka na kumuua wamekamatwa?Salamaleko ndugu, kukumbuka kungalipo?
Kwani kuna nini limebadilika? Mzee kibao amefufuka? Waliomteka na kumuua wamekamatwa?