Nukuu tata kutoka kwenye tukio la kutekwa Hayati Ally Mohamed Kibao

Nukuu tata kutoka kwenye tukio la kutekwa Hayati Ally Mohamed Kibao

Niijibu comment yako hii aya kwa aya kuhakikisha siachi kitu.

Ninafanya hivyo katika moyo ule ule wa kuhakikisha miye kama mtoa mada sitoi nafasi kwa upotoshaji wowote:

Aya yako #1:

Umefanya vyema kuusoma uzi wote kama unavyosema mwenyewe. Hii ikizingatiwa kuwa wengine hatuandiki humu kupoteza muda au kishabiki.

Aya yako #2:

Originally mada ilikuwa chini ya title:

"Nukuu tata kutoka kwenye tukio la kutekwa marehemu mzee Kibao."

Sina hakika uliposoma wewe ilikuwa katika title ipi maana zimekuwapo 3 tofauti.

Moderator pia waliongeza reference ya kusoma ambayo haikuwamo originally.

Siku zote ninaamini maboresho yoyote ya Moderator ni ya nia njema.

Sielewi ni kipi kimekushangaza wewe kwenye mada hii niliyoiandika mimi kwa nia njema katika kumwomboleza tu, mzee huyu ambaye ni dhahiri kuwa amedhulumiwa.

Zingatia mada hii haina neno CDM wala uCDM popote. Sielewi wapi umeyaokota hayo.

Ieleweke miye siku zote ninaandika kwa mlengo wa haki.

Kwamba kwa kuona kwako nimekuwa nikiandika kwa mlengo wa CDM, labda ni kwa sababu miwili hiyo imekuwa ikikutana pamoja.

Hapa ni mfano wake:

Makamu wa Rais wa zamani, Cheney (Republican) kumpigia kura Kamala Harris

Aya yako #3:

Unakubaliana nami kuhusu lugha gongana ambayo ndicho pekee nilicho orodhesha. Laiti ungekuwa umesoma pote ungekuwa umeona maangalizo kama haya:

"Panapotokea jambo lenye kugusa jamii kila mtu husema lake."

Wapi umeona kuna kesi au hata kulaumiwa kwa mtu kusema lolote?

Kwamba nawe unakubaliana nami lugha hugongana sasa msingi wa kushangazwa kwako na hoja yangu kumbe ni upi ndugu?

Kwamba unasema wao wametaka uchunguzi huru? Uliona au kuelewa maana ya "which is which" kwenye hitimisho?

Kumbe wewe, mimi na yule kuongezea sauti kwenye hilo wewe inakukera?

Aya yako #3:

Title yangu inasomeka wazi. Contents zote ni nukuu. Indeed, hakuna swali hata moja.

Kumbe basi hivi unavyoviita "vimaswali vyako" ndiyo vidude gani au unaviona wapi ewe binti kiziwi?
Bado natafakari, Uzuri kadri unavyoandika mabandiko mengine tutaelewa tu.

Drifter
 
Mkuu hutakaa umuelewe mleta mada na hadi siku utakazipogundua dalili kuwa ana ulterior motives dhidi ya CDM na baadhi ya viongozi wake. Jipe mda. Msome kwa makini hasa katikati ya mistari.

Kwa kifupi kabisa nadiriki kusema kuwa mleta mada, pamoja na kujinasibisha na kambi ya upinzani (dhidi ya CCM), ana kero na CDM na hasa uongozi wake; kero ambazo anazokosa ujasiri wa kuziweka wazi. Sijui kwa nini?

Anaishia kuzungusha "utata" kila inapotokea fursa ya aina hii kwa matumaini ya kuibua mashaka kwa wadau kuhusu malengo halisi kuaminika na utendaji wa CDM kwa ujumla kama chama kikuu cha upinzani. (One theme: Rejea hoja ya kipropaganda inayoenezwa mara nyingi kuwa CDM na baadhi ya viongozi wake wakuu wanashrikiana na dola kuua upinzani nchini).

Nisiache kuanza kwa kuandika umeandika upuuzi mtupu ndugu.

Nikuombe uweke ushahidi wa tuhuma yoyote popote dhidi yangu tafadhali.

Kwamba labda ungependa niandike upendavyo wewe?

Looh!

Ujasiri wa kujihesabia haki mnaupata wapi?

Kwamba unasoma between the lines wapi?

Looh!

Huko si ndiko kujihesabia haki ambao ni ujinga uliopitiliza!
 
Nisiache kuanza kwa kuandika umeandika upuuzi mtupu ndugu.

Nikuombe uweke ushahidi wa tuhuma yoyote popote dhidi yangu tafadhali.

Kwamba labda ungependa niandike upendavyo wewe?

Looh!

Ujasiri wa kujihesabia haki mnaupata wapi?

Kwamba unasoma between the lines wapi?

Looh!

Huko si ndiko kujihesabia haki ambao ni ujinga uliopitiliza!
Kuwa na amani. Relax. Jiulize jambo moja tu. Inakuwaje wengi wanao-comment kwenye mada yako hii na zingine wanapata tabu kuelewa unachotaka kusema hasa. Kwamba hoja yako ni nini?

As for me, mambo yako wazi na dhahiri kabisa. I said my word; I stand by it. Usisumbuke na mimi; hutaiona comment yangu tena.
 
Bado natafakari, Uzuri kadri unavyoandika mabandiko mengine tutaelewa tu.

Drifter

Naona umeita msaada ambao nao ni mweupe tu kama unavyouona mwenyewe.

Drifter au nasema uongo ndugu yangu?

Kama wewe kama yeye hamna lolote, popote dhidi yangu na hamtapata!

Kwamba labda ni uelewa mdogo, hilo ni jambo la kawaida.

Aliimba Chidumule: "hata watoto mapacha hutokea kutoelewana, sembuse miye nawe Neema?!"

Kumbuka washitaki wa Yesu bila shaka wakiwa na yao "between the lines," Pilato alipowatolea nje, wengine waliendelea na tafakuri kama wewe!

Kuna maswali kadhaa yalikuwamo kwenye jibu langu kwako.

Kwamba nilijibu yako yote ila hukujibu langu moja, unadhani niliyauliza yale bure?

Kwamba hukujibu lolote ni wazi sasa ninazo sababu za kuanza kukutilia shaka.

Nisiache kukwambia humu ni jukwaa huru ambako misimamo yetu wengine, kote kunapohusu haki inajulikana kwa waungwana wote.

Kwamba palipo na jumuiya na wasio waungwana wamo? Vipi hao kuwa tatizo kwangu?

Kwamba labda mngependa ku moderate maandiko humu? Kama ndivyo, kumbe wenda kuzimu itakuwa ni nini?

imhotep, Zawadini, MK254, johnthebaptist, Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah, na wote; pamoja na tofauti zetu si tulikubaliana hoja hupingwa kwa hoja?
 
Kuwa na amani. Relax. Jiulize jambo moja tu. Inakuwaje wengi wanao-comment kwenye mada yako hii na zingine wanapata tabu kuelewa unachotaka kusema hasa. Kwamba hoja yako ni nini?

Kuwa na amani. Relax.

Umeandika upuuzi mwingine ndugu.

Jiulize takwimu zako kunihusu miye vis a vis wewe ni kutokea wapi?

Kwamba, yote hii ni kwa sababu ya nukuu hizi tu, au kuna jingine?

Kwamba hoja yako ni nini?

As for me, mambo yako wazi na dhahiri kabisa. I said my word; I stand by it. Usisumbuke na mimi; hutaiona comment yangu tena.

Kumbe nani asiye wazi au dhahiri kabisa?

"Who isn't saying his words or standing by them?"

Hii sasa inaitwa "return to sender:

"Usisumbuke na mimi; hutaiona comment yangu tena."
 
Naona umeita msaada ambao nao ni mweupe tu kama unavyouona mwenyewe.

Drifter au nasema uongo ndugu yangu?

Kama wewe kama yeye hamna lolote, popote dhidi yangu na hamtapata!

Kwamba labda ni uelewa mdogo, hilo ni jambo la kawaida.

Aliimba Chidumule: "hata watoto mapacha hutokea kutoelewana, sembuse miye nawe Neema?!"

Kumbuka washitaki wa Yesu bila shaka wakiwa na yao "between the lines," Pilato alipowatolea nje, wengine waliendelea na tafakuri kama wewe!

Kuna maswali kadhaa yalikuwamo kwenye jibu langu kwako.

Kwamba nilijibu yako yote ila hukujibu langu moja, unadhani niliyauliza yale bure?

Kwamba hukujibu lolote ni wazi sasa ninazo sababu za kuanza kukutilia shaka.

Nisiache kukwambia humu ni jukwaa huru ambako misimamo yetu wengine, kote kunapohusu haki inajulikana kwa waungwana wote.

Kwamba palipo na jumuiya na wasio waungwana wamo? Vipi hao kuwa tatizo kwangu?

Kwamba labda mngependa ku moderate maandiko humu? Kama ndivyo, kumbe wenda kuzimu itakuwa ni nini?

imhotep, Zawadini, MK254, johnthebaptist, Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah, na wote; pamoja na tofauti zetu si tulikubaliana hoja hupingwa kwa hoja?
Mhhhh aiseee! Haya.
 
Ninachokiona hata hao watekaji na wauaji bado ni novice na washamba, kama ilikuwa shida kumteka, kumuhoji na kumuua, ilikuwa lazima wakateke bus? Mbona huyo Mzee anaonekana hana ulinzi wowote na unaweza kumpata popote pale, wangeweza hata kwenda pale kwake Tanga ambapo ni nyumba yakawaida inayoingilika kiurahisi, wangeweza hata kutengeneza fake appointment naye wakamhoji na hata kumpoison na kumuhesabia siku, naamini Mzee huwa anaprivate car anatembelea nalo,unaweza hata kutengeneza fake accident na game ikamalizikia hapo.

Kama ni watu wetu basi inaonekana bado si wakomavu kwenye hizo kazi za elimination, hizi ni style za street gangs wasio kuwa na confidence na muda wote wako kwenye rush ya kukimbia polisi, lakini pia kwa Tanzania hakuna gangs lenye uwezo wa kuteka bus na kuteka mtu kumuua na kumtupa ununio.

Inawezekana pia kusudi ilikuwa sio kuua Bali kutesa na kutisha na kuacha somo kama tunaweza kufanya chochote wakati wowote, kwenye harakati za mateso Mzee akapoteza maisha.

All in all alale salama Mzee, InshaAllah mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake na kumuondolea adhabu kaburi.. Mwenyezi Mungu mjuzi anajua Kila cha gizani
 
Ninachokiona hata hao watekaji na wauaji bado ni novice na washamba, kama ilikuwa shida kumteka, kumuhoji na kumuua, ilikuwa lazima wakateke bus? Mbona huyo Mzee anaonekana hana ulinzi wowote na unaweza kumpata popote pale, wangeweza hata kwenda pale kwake Tanga ambapo ni nyumba yakawaida inayoingilika kiurahisi, wangeweza hata kutengeneza fake appointment naye wakamhoji na hata kumpoison na kumuhesabia siku, naamini Mzee huwa anaprivate car anatembelea nalo,unaweza hata kutengeneza fake accident na game ikamalizikia hapo.

Kama ni watu wetu basi inaonekana bado si wakomavu kwenye hizo kazi za elimination, hizi ni style za street gangs wasio kuwa na confidence na muda wote wako kwenye rush ya kukimbia polisi, lakini pia kwa Tanzania hakuna gangs lenye uwezo wa kuteka bus na kuteka mtu kumuua na kumtupa ununio.

Inawezekana pia kusudi ilikuwa sio kuua Bali kutesa na kutisha na kuacha somo kama tunaweza kufanya chochote wakati wowote, kwenye harakati za mateso Mzee akapoteza maisha.

All in all alale salama Mzee, InshaAllah mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake na kumuondolea adhabu kaburi.. Mwenyezi Mungu mjuzi anajua Kila cha gizani

Kuyaongelea kwa uhakika ya mabedui hao kwa usahihi kabisa hakuwezi kuwa rahisi.

Kama ilivyo siku zote kila mtu atasema lake.

Uchunguzi huru ndio pekee ambao ungetanzua hili, labda na yote ya nyuma.

Haipo shaka kuwa hili ni genge lile lile pasua kichwa la siku zote.
 
Aliyosema Mnyika:

Basi lilikuwa blocked na Land Cruiser hard top 2. Watu wawili wenye silaha walibaki nje na wawili wakaingia kwenye basi.

Hawakujitambulisha kama polisi.

Walikuwa na bunduki zitumiwazo na usalama wa taifa. Waliomchukua watakuwa usalama wa taifa.

"Hawa hawakuwa polisi." Alisisitiza Mnyika.

Walimchukua wa nguvu na kumpiga sana.

Wakitoka naye kwenye basi kuna mwenzao wa tatu aliongezeka. Kwamba huyo naye alikuwa abiria.

Alichoandika almaarufu X-mayor:

Tofauti na Mnyika, huyu anasema Hawa watu walijitambulisha kuwa ni polisi.

Kwamba alichukuliwa na polisi.

Kuwa Mzee Kibao alikuwa ni msafiri mfahamika mno na Tashrif.

Walichoandika mwananchi:

View attachment 3092200

Kwamba walisema wamekuja kumchukua mtu wao. Kuwa marehemu alishuka mwenyewe kwa kuongozana nao ya kuwa ilikuwa kama walikuwa wanajuana.

Kuna ongezeko la gari ya tatu, V8 pia hapa.

Beberu anasema:

"Which is which?"

Soma Pia: Umoja wa Ulaya watoa wito kwa Rais Samia kuanzisha uchunguzi wa haraka kubaini watekaji nchini
Kuna youtube inamaongezi ya mwakilishi wa mmiliki wa basi anasema
  • Basi lilizuiwa na magari mawili moja kwa mbele na jingine nyuma
  • basi liliposimama kondakta akatelemka kupakia abiria
  • watu wawili wakatoka kwenye gari wakaamaru apishe; wakaingia ndani ya gari na kuwaacha wenzao wawili nje
Kwa maelezo haya basi lilisimama kuchukua abiria na siyo kwa kulazimishwa kusimama
 
Aliyosema Mnyika:

Basi lilikuwa blocked na Land Cruiser hard top 2. Watu wawili wenye silaha walibaki nje na wawili wakaingia kwenye basi.

Hawakujitambulisha kama polisi.

Walikuwa na bunduki zitumiwazo na usalama wa taifa. Waliomchukua watakuwa usalama wa taifa.

"Hawa hawakuwa polisi." Alisisitiza Mnyika.

Walimchukua wa nguvu na kumpiga sana.

Wakitoka naye kwenye basi kuna mwenzao wa tatu aliongezeka. Kwamba huyo naye alikuwa abiria.

Alichoandika almaarufu X-mayor:

Tofauti na Mnyika, huyu anasema Hawa watu walijitambulisha kuwa ni polisi.

Kwamba alichukuliwa na polisi.

Kuwa Mzee Kibao alikuwa ni msafiri mfahamika mno na Tashrif.

Walichoandika mwananchi:

View attachment 3092200

Kwamba walisema wamekuja kumchukua mtu wao. Kuwa marehemu alishuka mwenyewe kwa kuongozana nao ya kuwa ilikuwa kama walikuwa wanajuana.

Kuna ongezeko la gari ya tatu, V8 pia hapa.

Beberu anasema:

"Which is which?"

Soma Pia: Umoja wa Ulaya watoa wito kwa Rais Samia kuanzisha uchunguzi wa haraka kubaini watekaji nchini
Bunge la hovyo sana,
 
Kipindi cha Magufuli tulikuwa tunasikia kwamba kulikuwa na mauwaji sana watu hawana amani, ila navyoona sasa jinsi watu wanavyokizungumzia na kuguswa na hiki kifo hii inaonyesha kipindi cha Magufuli waliwouwawa wengi walikuwa ni watu wasiojulikana.
 
Aliyosema Mnyika:

Basi lilikuwa blocked na Land Cruiser hard top 2. Watu wawili wenye silaha walibaki nje na wawili wakaingia kwenye basi.

Hawakujitambulisha kama polisi.

Walikuwa na bunduki zitumiwazo na usalama wa taifa. Waliomchukua watakuwa usalama wa taifa.

"Hawa hawakuwa polisi." Alisisitiza Mnyika.

Walimchukua wa nguvu na kumpiga sana.

Wakitoka naye kwenye basi kuna mwenzao wa tatu aliongezeka. Kwamba huyo naye alikuwa abiria.

Alichoandika almaarufu X-mayor:

Tofauti na Mnyika, huyu anasema Hawa watu walijitambulisha kuwa ni polisi.

Kwamba alichukuliwa na polisi.

Kuwa Mzee Kibao alikuwa ni msafiri mfahamika mno na Tashrif.

Walichoandika mwananchi:

View attachment 3092200

Kwamba walisema wamekuja kumchukua mtu wao. Kuwa marehemu alishuka mwenyewe kwa kuongozana nao ya kuwa ilikuwa kama walikuwa wanajuana.

Kuna ongezeko la gari ya tatu, V8 pia hapa.

Beberu anasema:

"Which is which?"

Soma Pia: Umoja wa Ulaya watoa wito kwa Rais Samia kuanzisha uchunguzi wa haraka kubaini watekaji nchini
Kama wote hao wangetoa kauli hizo huku ikiwa walikuwepo kwenye eneo la tukio, naweza kukubaliana na wewe kuwa inatosha kujengea hoja utofauti wa kauli zao.

Kwa matukio yanayotokea hadharani huwa na namna hizi za maelezo ya hapa na pale, lakini bila kuathiri hoja ya msingi kuwa Kibao alichukuliwa akiwa kwenye Tashriff.

Kwa wote hao watatu, tunaona kuwa wameeleza kwa walivyoambiwa na vyanzo mbalimbali vilivyokuwepo katika eneo la tukio, sio kwamba nao walikuwepo pale .

Mnyika ameeleza kulingana na aina ya silaha walizokuwa nazo watu hao hazikuwa miongoni mwa silaha ambazo hutumiwa na jeshi la polisi kiutaratibu.

Ikumbukwe kuwa, Mnyika alikuwa wa kwanza, hivyo, ni wazi baadaye taarifa zaidi zinaweza kukusanywa kuhusu tukio hilo. Na uzuri zaidi, hazikanushi hoja ya msingi.

Ova
 
Kama wote hao wangetoa kauli hizo huku ikiwa walikuwepo kwenye eneo la tukio, naweza kukubaliana na wewe kuwa inatosha kujengea hoja utofauti wa kauli zao.

Kwa matukio yanayotokea hadharani huwa na namna hizi za maelezo ya hapa na pale, lakini bila kuathiri hoja ya msingi kuwa Kibao alichukuliwa akiwa kwenye Tashriff.

Kwa wote hao watatu, tunaona kuwa wameeleza kwa walivyoambiwa na vyanzo mbalimbali vilivyokuwepo katika eneo la tukio, sio kwamba nao walikuwepo pale .

Mnyika ameeleza kulingana na aina ya silaha walizokuwa nazo watu hao hazikuwa miongoni mwa silaha ambazo hutumiwa na jeshi la polisi kiutaratibu.

Ikumbukwe kuwa, Mnyika alikuwa wa kwanza, hivyo, ni wazi baadaye taarifa zaidi zinaweza kukusanywa kuhusu tukio hilo. Na uzuri zaidi, hazikanushi hoja ya msingi.

Ova

Umeandika vyema na hakuna mwenye ubishi na hilo.

Kuwa:

"Kwenye matukio yenye kuigusa jamii kama hili kila mtu husema lake."

Kwamba ni hivyo hata kwa waliokuwa kwenye basi sembuse aliyeambiwa?

"Zaidi sana, wala hakuna panapojengewa hoja kwenye hilo."

Msingi wa hoja ni umuhimu wa uchunguzi huru kuujua ukweli kwa hatua thabiti dhidi ya wakora hao, kutokea hapo.
 
Ni muhimu sana kutofautisha utekaji na ukamataji.

Labda una maana wananchi tuelewane tu, ni lini tusikubali kuchukuliwa na awaye yote

Ni muhimu sana kutofautisha utekaji na ukamataji.

Labda una maana wananchi tuelewane tu, ni lini tusikubali kuchukuliwa na awaye yote?
Ndoivo maana naona nchi hii ni kama ukiwa mtuhumiwa inakua Hunan haki ya msingi.

Unapelekwa pelekwa tu na vile elimu wengi hawana nao wanaenda tu kama mang'ombe bila kujua haki zao
 
Bado natafakari, Uzuri kadri unavyoandika mabandiko mengine tutaelewa tu.

Drlfter

Vipi bado unatafakari niliyoandika au sasa hivi rasmi kina Drifter wako chobingo?

GgSj1L0WkAEMYn_.jpeg


binti kiziwi, JokaKuu, imhotep waliokuwamo na wasiokuwamo yale madhara yetu ya ujuaji uliopitiliza!
 
Nimesoma uzi wote comment kwa comment, unajaribu kufanya nini kwenye huu uzi wako brazaj

Umenishangaza zaidi ulivyozungumzia kuwa CDM na kuwa CDM zaidi, lengo la huu mjadala nini? Nafahamu siku zote unaandika unaandika kwa mlengo wa CDM. Sasa hili la uCDM na UCDM zaidi?????

Sote tunafahamu utoaji wa taarifa na nukuu, hakuna aliyepewa written document kati ya hao ambayo ingewaguide chakusema, lengo la msingi: Wote wametoa taarifa ile ile, na bila shaka wote wanakubali ufanyike uchunguzi huru.

Lengo la title ya uzi wako na content yake na vimaswali unavyouliza kwenye comments ni ipi?

IMG_20211016_132442_593.jpg
 
Mkuu hutakaa umuelewe mleta mada na hadi siku utakazipogundua dalili kuwa ana ulterior motives dhidi ya CDM na baadhi ya viongozi wake. Jipe mda. Msome kwa makini hasa katikati ya mistari.

Kwa kifupi kabisa nadiriki kusema kuwa mleta mada, pamoja na kujinasibisha na kambi ya upinzani (dhidi ya CCM), ana kero na CDM na hasa uongozi wake; kero ambazo anazokosa ujasiri wa kuziweka wazi. Sijui kwa nini?

Anaishia kuzungusha "utata" kila inapotokea fursa ya aina hii kwa matumaini ya kuibua mashaka kwa wadau kuhusu malengo halisi kuaminika na utendaji wa CDM kwa ujumla kama chama kikuu cha upinzani. (One theme: Rejea hoja ya kipropaganda inayoenezwa mara nyingi kuwa CDM na baadhi ya viongozi wake wakuu wanashrikiana na dola kuua upinzani nchini).

Wazikumbuka comment zako? Au Tena ndiyo kumetokea fursa nyingine?

JokaKuu, binti kiziwi, imhotep na dream team nzima, yale mambo yetu uchawa dhidi ya hoja:

IMG_20250109_175045.jpg


Bila shaka sasa tutakuwa tunakumbuka mashuka kabla ya kulala.
 
Back
Top Bottom