Nukuu tata kutoka kwenye tukio la kutekwa Hayati Ally Mohamed Kibao

Nukuu tata kutoka kwenye tukio la kutekwa Hayati Ally Mohamed Kibao

Of cour
Msingi wa mada ni kuwa panapo jambo kila mtu anaweza kusema lake kama dondoo zinavyosomeka.

Haipo kesi hapo ila tuishie hapo bila maelezo yote kunyooshwa?

Isingekuwa haki kuwa na uchunguzi huru Ili kama ni mbwai na iwe mbwai?
Of course, jambo likitokea maneno ya kuongea yanakuwa mengi. Wewe na mimi tunabaki tu watu wa kutoa maoni. Watekelezaji ni wengine: sisi tunabaki tu huyu anaona hivi na yule vile.
 
Jamaa unamlaumu bure mwana,mshikaji kaleta nukuu tu za baadhi ya mashahidi kupitia mitandao,sasa wwe unamkasirikia badala ya kutafakari tukio zima na taarifa zake kwa kutumia ubongo wako uliobarikiwa na Mungu huku tukisubiri official statement kutoka mamlaka husika!!
Mamlaka ambazo zimetenda huu unyama!! Mwamba anajaribu tu kuspin tukio tu,haijaleta hii mada kwa nia njema .
 
Vyovyote iwavyo kwenye hayo mauaji vyombo vya dola havina namna ya kujitoa uhusika wao.
 
mzimu uko HQ ya chama,
picha ya mwanzo wameitoa na picha ya mwisho wameitoa...

kuna uwezekano wa A to Z wa alichotendewa kamanda Ally Mohamed kibao wakawa nayo HQ Ya chama kujiridhisha uchunguzi ufanyike tu🐒
Spika mtarajiwa 🤣🤣🤣
 
Lema kasema ni polisi mnyika kasema siyo polisi taarifa zipi ni za kweli?
Hata hivyo hakuna mtekaji atakaekuja kuteka na aseme yeye ni mtekaji lazima atajivisha mamlaka halali ya uongo ili aaminiwe
Tumezoea watekaji wakuu huwa ni polisi na salama wa Taifa , JWTZ na JKT wao huwa wanakupa kichapo hapo wanakutandika weweee halafu wanakuacha ukauguze majeraha yako.
 
Kwani unataka kusemaje? Kwamba polisi/usalama hawahusiki na huu utekaji? Kuna majambazi siku hizi wana jiamini na kutembea wakiteka watu kwa bunduki na pingu?Tena hadharani!!!
Haya majama ni majinga sana yanajifanya hayajielewi uchawa umezidi hadi umepitiliza wamejitoa ufahamu
 
Mie nauliza kuna watu bongo wanamiliki silaha za kivita? And the goverment is there chilling out au sio sasa ngoja atekwe mtt wa masauni au mtoto wa mhagama tuone watasemaje manake ndo ikiwa hvyo tutaenda sawa tuone na wao waseme wamejiteka
Ukweli ni kwamba kuna kikosi kazi kimeundwa kipo juu ya Sheria... Kitawamaliza wa nje alafu kitarejea ndani hadi vyumbani
 
Kitu kibaya ni kuwa hayupo tena.

Kitu kibaya zaidi ni mateso mpaka kufa kwake.

Kitu kibaya sana ni vile wauaji ni vijana tu , sometimes muwe na huruma.

Wangemchoma tu sindano afe bila mateso.

Taaluma nyeti hazisitaafu,

ngoja niishie hapa
Umeniacha njia Panda, hasa kwenye kauli ya Taaluma nyeti hazistaafu! Unataka kusema Kibao alikuwa TISS??
 
mzimu uko HQ ya chama,
picha ya mwanzo wameitoa na picha ya mwisho wameitoa...

kuna uwezekano wa A to Z wa alichotendewa kamanda Ally Mohamed kibao wakawa nayo HQ Ya chama kujiridhisha uchunguzi ufanyike tu🐒
Labda chama cha kijjani
Ufipa kama wanamiliki silaha za kivita basi wapewe nchi maana IGP kazi imemshinda
 
Nimesoma uzi wote comment kwa comment, unajaribu kufanya nini kwenye huu uzi wako brazaj

Umenishangaza zaidi ulivyozungumzia kuwa CDM na kuwa CDM zaidi, lengo la huu mjadala nini? Nafahamu siku zote unaandika unaandika kwa mlengo wa CDM. Sasa hili la uCDM na UCDM zaidi?????

Sote tunafahamu utoaji wa taarifa na nukuu, hakuna aliyepewa written document kati ya hao ambayo ingewaguide chakusema, lengo la msingi: Wote wametoa taarifa ile ile, na bila shaka wote wanakubali ufanyike uchunguzi huru.

Lengo la title ya uzi wako na content yake na vimaswali unavyouliza kwenye comments ni ipi?
 
Mamlaka ambazo zimetenda huu unyama!! Mwamba anajaribu tu kuspin tukio tu,haijaleta hii mada kwa nia njema .

Nia njema ina pimwa je ndugu?

Ujinga uliopitiliza ni kujihesabia haki zaidi ya binadamu wengine.
 
Nimesoma uzi wote comment kwa comment, unajaribu kufanya nini kwenye huu uzi wako brazaj

Umenishangaza zaidi ulivyozungumzia kuwa CDM na kuwa CDM zaidi, lengo la huu mjadala nini? Nafahamu siku zote unaandika unaandika kwa mlengo wa CDM. Sasa hili la uCDM na UCDM zaidi?????

Sote tunafahamu utoaji wa taarifa na nukuu, hakuna aliyepewa written document kati ya hao ambayo ingewaguide chakusema, lengo la msingi: Wote wametoa taarifa ile ile, na bila shaka wote wanakubali ufanyike uchunguzi huru.

Lengo la title ya uzi wako na content yake na vimaswali unavyouliza kwenye comments ni ipi?

Niijibu comment yako hii aya kwa aya kuhakikisha siachi kitu.

Ninafanya hivyo katika moyo ule ule wa kuhakikisha miye kama mtoa mada sitoi nafasi kwa upotoshaji wowote:

Aya yako #1:

Umefanya vyema kuusoma uzi wote kama unavyosema mwenyewe. Hii ikizingatiwa kuwa wengine hatuandiki humu kupoteza muda au kishabiki.

Aya yako #2:

Originally mada ilikuwa chini ya title:

"Nukuu tata kutoka kwenye tukio la kutekwa marehemu mzee Kibao."

Sina hakika uliposoma wewe ilikuwa katika title ipi maana zimekuwapo 3 tofauti.

Moderator pia waliongeza reference ya kusoma ambayo haikuwamo originally.

Siku zote ninaamini maboresho yoyote ya Moderator ni ya nia njema.

Sielewi ni kipi kimekushangaza wewe kwenye mada hii niliyoiandika mimi kwa nia njema katika kumwomboleza tu, mzee huyu ambaye ni dhahiri kuwa amedhulumiwa.

Zingatia mada hii haina neno CDM wala uCDM popote. Sielewi wapi umeyaokota hayo.

Ieleweke miye siku zote ninaandika kwa mlengo wa haki.

Kwamba kwa kuona kwako nimekuwa nikiandika kwa mlengo wa CDM, labda ni kwa sababu miwili hiyo imekuwa ikikutana pamoja.

Hapa ni mfano wake:

Makamu wa Rais wa zamani, Cheney (Republican) kumpigia kura Kamala Harris

Aya yako #3:

Unakubaliana nami kuhusu lugha gongana ambayo ndicho pekee nilicho orodhesha. Laiti ungekuwa umesoma pote ungekuwa umeona maangalizo kama haya:

"Panapotokea jambo lenye kugusa jamii kila mtu husema lake."

Wapi umeona kuna kesi au hata kulaumiwa kwa mtu kusema lolote?

Kwamba nawe unakubaliana nami lugha hugongana sasa msingi wa kushangazwa kwako na hoja yangu kumbe ni upi ndugu?

Kwamba unasema wao wametaka uchunguzi huru? Uliona au kuelewa maana ya "which is which" kwenye hitimisho?

Kumbe wewe, mimi na yule kuongezea sauti kwenye hilo wewe inakukera?

Aya yako #3:

Title yangu inasomeka wazi. Contents zote ni nukuu. Indeed, hakuna swali hata moja.

Kumbe basi hivi unavyoviita "vimaswali vyako" ndiyo vidude gani au unaviona wapi ewe binti kiziwi?
 
Labda chama cha kijjani
Ufipa kama wanamiliki silaha za kivita basi wapewe nchi maana IGP kazi imemshinda
ni mpaka uwe muhusika wa udhalimu huo uliepitia mafunzo ya ukatili wa kutumia silaha ndio uweze kujiua hii ni silaha ya kivita....

eehe,
gentleman, ni mafunzo gani ya kigaidi umeyapitia hata ukaweza kujua hii ni silaha ya kivita ama laa?

na kwanini umekiuka sheria za Kimataifa kuitumia silaha za kivita mahali ambapo hakuna vita?🐒
 
Akashuka mwenyewe wakati amefungwa pingu. Nonsense kabisa kichwa ni muhimu kwa umuhimu wake.
Pls Share hilo andiko lako na Hon Minister Masauni utakuwa umemsaidia sana.

Ulitambua hiyo ilikuwa ni nukuu?
 
Nimesoma uzi wote comment kwa comment, unajaribu kufanya nini kwenye huu uzi wako brazaj

Umenishangaza zaidi ulivyozungumzia kuwa CDM na kuwa CDM zaidi, lengo la huu mjadala nini? Nafahamu siku zote unaandika unaandika kwa mlengo wa CDM. Sasa hili la uCDM na UCDM zaidi?????

Sote tunafahamu utoaji wa taarifa na nukuu, hakuna aliyepewa written document kati ya hao ambayo ingewaguide chakusema, lengo la msingi: Wote wametoa taarifa ile ile, na bila shaka wote wanakubali ufanyike uchunguzi huru.

Lengo la title ya uzi wako na content yake na vimaswali unavyouliza kwenye comments ni ipi?
Mkuu hutakaa umuelewe mleta mada na hadi siku utakazipogundua dalili kuwa ana ulterior motives dhidi ya CDM na baadhi ya viongozi wake. Jipe mda. Msome kwa makini hasa katikati ya mistari.

Kwa kifupi kabisa nadiriki kusema kuwa mleta mada, pamoja na kujinasibisha na kambi ya upinzani (dhidi ya CCM), ana kero na CDM na hasa uongozi wake; kero ambazo anazokosa ujasiri wa kuziweka wazi. Sijui kwa nini?

Anaishia kuzungusha "utata" kila inapotokea fursa ya aina hii kwa matumaini ya kuibua mashaka kwa wadau kuhusu malengo halisi kuaminika na utendaji wa CDM kwa ujumla kama chama kikuu cha upinzani. (One theme: Rejea hoja ya kipropaganda inayoenezwa mara nyingi kuwa CDM na baadhi ya viongozi wake wakuu wanashrikiana na dola kuua upinzani nchini).
 
Back
Top Bottom