Nukuu ya Hayati Magufuli Kuhusu TRA

Nukuu ya Hayati Magufuli Kuhusu TRA

Wewe na wajinga wenzako wachache ndio mtahitaji ushahidi(ndio staili yenu ya kumtetea mungu wenu)lakini wenye akili wote wanajua jinsi gani aliwafanyia watu ubaya kwa sababu wafanyabiashara wengi walifikia hatua ya kuogopa kuweka hela benki na ilibidi Rais Samia afanye kazi kubwa kuwabembeleza kuweka pesa benki na hazitochukuliwa.
Ni juzi tu aliyekuwa mkurugenzi wa CRDB kaeleza jinsi akaunti za watu zilivyokuwa zikipigwa pini.
Sasa kwa nin unatukana kama kweli ww una akili😂😂😂
 
Leta ushahidi kama alivyoleta Mleta UZI tulinganishe na ikiwezekana akaunti na majina ya benk zilizochukuliwa pesa..
Sasa hata ushahidi wenyewe alete hapa ?Mpeleke mahakamani ili unachokitaka kifanikiwe ila hapa ni upuuuzi tu kudhania upo sahihi au yupo sahihi
 
Sasa hata ushahidi wenyewe alete hapa ?Mpeleke mahakamani ili unachokitaka kifanikiwe ila hapa ni upuuuzi tu kudhania upo sahihi au yupo sahihi
Mbona mwenzake kaweka ushahidi!? Kwani ushahidi unatakiwa Mahakamani tu!!?? Aachee usani aweke ushahidi,na Kama hana ushahidi bora akae kimya tu,na awapishe wenye ushahidi wao madhubuti kwa Jamii!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
"Siasa za kubembeleza mlizokua mmezizoea sitozisema mimi, mpaka nitamaliza muda wangu"

Hayat Rais J.P.Magufuli

" ....Nataka niwaambie ndugu zangu wa Ukerewe na Watanzania kwa ujumla, kwa haya tunayoyafanya, matokeo yake Mtayaona, Siku moja mtakuja kuzungumza, Kalikuwepo kaMagufuli, Ninawaambia ukweli!"

Hayat Rais J.P.Magufuli


mwisho wa kunukuu....hakika umati ulibaki kimya kuyatafakari hayo maneno aliyoyasema kwa muda, halafu akaendelea.

Kwa taarifa zaidi tafuta Magufuli Akiwa Ukerewe.

R.I.P
 
Waafrika (isomeke watu weusi duniani kote) hatujui tunachokitaka acha tu wazungu waendelee kutuibia na kututawala mpaka Yesu atakaporudi. Kila mtu anawaza kuiba na kujinufaisha yeye, familia yake na marafiki. There is no hope for Africans labda ifike mahali tubadili kabisa falsafa na mitazamo yetu. Na hii itachukua vizazi kadhaa.

JPM alikuwa kiongozi sahihi kuhusu ubabe wa kiuchumi na angekuwa savy na kuacha tu kutumia maguvu kwa waliomkosoa angeifikisha nchi hii pazuri sana. Hakukuwa na haja ya kuvunja haki za binadamu na kuchafua demokrasia namna ile. Angekuwa savy kama mama pengine angekuwa hai na tungekuwa tunasonga mbele
Magu alikua sawa kutumia ubabe maana nchi hii ilianza utumwa mamaboleo kwa baadhi ya vikundi kujitenenzea mfomo wa kiutawala..Na kutumika kwa baadhi ya mabepari kijrasimisha mali asili za nchi kwa visingizio vya utawala bora kumbe ni uhaini wa kimbinu, siku zote siasa za vyama ccm,chadema Act,na vinginevyo ni muungano vikundi ya watu wachache wenye kauli mbiu kutetea wanyonge kumbe lengo ni kujmilikisha mali asili za nchi, ndomana kuna msemo siasa sio uadui kwa maana humo hutegemeana wakiona maslahi yao wanaingiliwa na mmoja wa ndani ya kundi hushirikiana kufanya wanayoyafanya, baada ya tukio kila upande utajigawa kwa kisifia, wengine kuponda, ili kufunika kombe mambo yao yeende,
 
Wewe na wajinga wenzako wachache ndio mtahitaji ushahidi(ndio staili yenu ya kumtetea mungu wenu)lakini wenye akili wote wanajua jinsi gani aliwafanyia watu ubaya kwa sababu wafanyabiashara wengi walifikia hatua ya kuogopa kuweka hela benki na ilibidi Rais Samia afanye kazi kubwa kuwabembeleza kuweka pesa benki na hazitochukuliwa.
Ni juzi tu aliyekuwa mkurugenzi wa CRDB kaeleza jinsi akaunti za watu zilivyokuwa zikipigwa pini.
Leta majina na account number za watu waliofanyiwa, ukiikosa ndo leo ujuwe nini maana ya propaganda.
 
Waafrika (isomeke watu weusi duniani kote) hatujui tunachokitaka acha tu wazungu waendelee kutuibia na kututawala mpaka Yesu atakaporudi. Kila mtu anawaza kuiba na kujinufaisha yeye, familia yake na marafiki. There is no hope for Africans labda ifike mahali tubadili kabisa falsafa na mitazamo yetu. Na hii itachukua vizazi kadhaa.

JPM alikuwa kiongozi sahihi kuhusu ubabe wa kiuchumi na angekuwa savy na kuacha tu kutumia maguvu kwa waliomkosoa angeifikisha nchi hii pazuri sana. Hakukuwa na haja ya kuvunja haki za binadamu na kuchafua demokrasia namna ile. Angekuwa savy kama mama pengine angekuwa hai na tungekuwa tunasonga mbele
Jpm alikuwa sawa kwa kila idara,mkuu maendeleo na democrasia haviendani mkuu,lkn pia ni kipi jpm amekifanya kibaya kuhusu democrasia? Hizi nyimbo mnaimbishwa na kikaririshwa na watu waovu,wale waliokutana na jpm kwenye ulaji wao
 
Huyu mtu alikuwa bingwa wa unafiki anatangaza amani huku ameficha mapanga mgongoni,kama kweli alikuwa mwema kiasi hicho kwanini aliwabambikia kodi na kuwapora fedha kwenye akaunti zao benki!
Una ushahidi nani alibambikiwa kodi akanyang'anywa fedha kwenye account yake weka ushindi sio unabwatuka kwa udanganyifu na hila
 
Back
Top Bottom