Nukuu ya Hayati Magufuli Kuhusu TRA

Nukuu ya Hayati Magufuli Kuhusu TRA

Wewe na wajinga wenzako wachache ndio mtahitaji ushahidi(ndio staili yenu ya kumtetea mungu wenu)lakini wenye akili wote wanajua jinsi gani aliwafanyia watu ubaya kwa sababu wafanyabiashara wengi walifikia hatua ya kuogopa kuweka hela benki na ilibidi Rais Samia afanye kazi kubwa kuwabembeleza kuweka pesa benki na hazitochukuliwa.
Ni juzi tu aliyekuwa mkurugenzi wa CRDB kaeleza jinsi akaunti za watu zilivyokuwa zikipigwa pini.
Tatizo kubwa ulilo nalo wewe si elimu,ni malezi yako,kukosa kwako maadili ndiko kunakufanya umchukie jpm,watu woote wema hawana tatizo na jpm,lkn watu waovu kama wewe ni lazima ujenge chuki na jpm
 
Magufuli aliifaidisha familia yako na nini watoto wa watu wanataabika mpaka leo mitaani baada ya kuwakosesha ajira. Kamfuate kuzimu mbwa we
Waafrika (isomeke watu weusi duniani kote) hatujui tunachokitaka acha tu wazungu waendelee kutuibia na kututawala mpaka Yesu atakaporudi. Kila mtu anawaza kuiba na kujinufaisha yeye, familia yake na marafiki. There is no hope for Africans labda ifike mahali tubadili kabisa falsafa na mitazamo yetu. Na hii itachukua vizazi kadhaa.

JPM alikuwa kiongozi sahihi kuhusu ubabe wa kiuchumi na angekuwa savy na kuacha tu kutumia maguvu kwa waliomkosoa angeifikisha nchi hii pazuri sana. Hakukuwa na haja ya kuvunja haki za binadamu na kuchafua demokrasia namna ile. Angekuwa savy kama mama pengine angekuwa hai na tungekuwa tunasonga mbelli
 
"Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'SACRIFICE' MAISHA YANGU kwa ajili ya Watanzania maskini" ~

Hayati. John Magufuli.
we zumbukuku endelea kudanganywa na hayo maneno ya kitapeli. Alisacrifice maisha yake kwa ajili yake, familia yake na genge lake we ngedere
 
we zumbukuku endelea kudanganywa na hayo maneno ya kitapeli. Alisacrifice maisha yake kwa ajili yake, familia yake na genge lake we ngedere
Matusi ya nn sasa mkuu?

Comment kistaarabu maisha yaendelee
 
Waafrika (isomeke watu weusi duniani kote) hatujui tunachokitaka acha tu wazungu waendelee kutuibia na kututawala mpaka Yesu atakaporudi. Kila mtu anawaza kuiba na kujinufaisha yeye, familia yake na marafiki. There is no hope for Africans labda ifike mahali tubadili kabisa falsafa na mitazamo yetu. Na hii itachukua vizazi kadhaa.

JPM alikuwa kiongozi sahihi kuhusu ubabe wa kiuchumi na angekuwa savy na kuacha tu kutumia maguvu kwa waliomkosoa angeifikisha nchi hii pazuri sana. Hakukuwa na haja ya kuvunja haki za binadamu na kuchafua demokrasia namna ile. Angekuwa savy kama mama pengine angekuwa hai na tungekuwa tunasonga mbele
Point yako ni ipi?? Tunahitaji kiongozi kama JPM au kama huyu wa Sasa,?
 
Back
Top Bottom