Nukuu ya Hayati Magufuli Kuhusu TRA

Tatizo kubwa ulilo nalo wewe si elimu,ni malezi yako,kukosa kwako maadili ndiko kunakufanya umchukie jpm,watu woote wema hawana tatizo na jpm,lkn watu waovu kama wewe ni lazima ujenge chuki na jpm
 
Magufuli aliifaidisha familia yako na nini watoto wa watu wanataabika mpaka leo mitaani baada ya kuwakosesha ajira. Kamfuate kuzimu mbwa we
 
"Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'SACRIFICE' MAISHA YANGU kwa ajili ya Watanzania maskini" ~

Hayati. John Magufuli.
we zumbukuku endelea kudanganywa na hayo maneno ya kitapeli. Alisacrifice maisha yake kwa ajili yake, familia yake na genge lake we ngedere
 
we zumbukuku endelea kudanganywa na hayo maneno ya kitapeli. Alisacrifice maisha yake kwa ajili yake, familia yake na genge lake we ngedere
Matusi ya nn sasa mkuu?

Comment kistaarabu maisha yaendelee
 
Point yako ni ipi?? Tunahitaji kiongozi kama JPM au kama huyu wa Sasa,?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…