Nukuu za wachambuzi maarufu Baada ya mechi ya Simba (wakimataifa)

Manzoki mechi ya Yanga hakucheza.

Bobosi na Manzoki hawakucheza mechi zote mbili za Vipers vs Mazembe. Mazembe wakang'ooka
Vipers ya bila bobosi. Manzoki ......kama ingecheza na ihefu...viper ingekula nyingi
 
Mananeo kwa wasahili ni jambo la kawaida, hata kanga zina maneno. Kwenye mpira mpira wa kmiguu au mchezo wowote ule, ushindi ni ushindi tu. Simba kashinda mwacheni asonge mbele.
 
Yaaaah mkuu.....hizi ni analysis zilizofanyika after match
Nakuuliza zimetolewa na Proffesional wepi? Unless neno Professional kwa sasa lina maana nyingine.Hivi kwetu hapa Bongo kuna professional analyst wa mpira kwenye hizi redio na TV stations zetu kweli?
 
Ni tatizo sana kwenye nafasi ya ushambuliaji.
 
Shaffih Dauda - Mchambuzi CLOUDS
"Ni bahati tu Simba SC imeikuta Vipers na yenyewe ikiwa dhaifu, pamoja na ushindi Simba imeonesha kiwango cha chini sana"
Ni kweli kabisa, Simba sio ya kuwa na takwimu hizi dhaifu kwa timu dhaifu iliyoifunga timu dhaifu

 
Mkuu umeona hizo takwimu?
Simba pasi 569 na zilizofika kwa usahihi ni 473, Vipers pasi 324 na zilizofika kwa usahihi ni 239, Yanga pasi 393 na zilizofika kwa usahihi ni 301, Bamako pasi 350 na zilizofika kwa usahihi ni 261
Pasi za Simba zilizofika kwa usahihi ni nyingi kuliko pasi zote zilizopigwa na timu nyingine yoyote katika hizi mechi mbili. Vivyo hivyo katika ball possession, total shots, shots on goal na dangerous attacks. Sijajua ni kipi kinaamua ubovu wa Simba
Kwa hisani ya Soccer24
Soccer24: Live Soccer Scores, Results. Online Football Results
 
Ushindi mwembamba mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…