Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nitakutafuta ukiwa na ofisi maalumu kwa sasa naogopa Mimi
stop wishing start doing
- Ipo ofisi kwa ajiri ya kuchukua mizigo tu.
- Taratibu zingine zote ni kama nilivyo elekeza posti namba moja.
- Kwa msaada zaidi call/sms 0717 54 57 62 au 0768 92 48 41
 
kwa sasa naogopa Mimi
Hupaswi kuogopa
Ingia mtandaoni na ujifunze zaidi.

Mfano: Kwa mataifa yalio endelea huduma kama hii ni ya kawaida sana.
Mtu anapata huduma/ bidhaa yeyote ile kwa mawasiliano tu kwa njia ya Simu/ email/ skype bila tatizo lolote. Japo kuwa kwa Tanzania hili swala bado ni geni kidogo.

Ulimwengu wa sasa sio wa jana.

Karibu
 
Ndio utachukua mikononi mwangu. Baada ya kukagua na kuhakiki kuwa mzigo ni wenyewe

Iwapo muuzaji ametuma mzigo ambao si wenyewe au mzigo unakasoro
  • Hautopaswa kuuchukua, Mzigo utabaki kwangu na nitashughulikia hili swala kwa ukaribu
  • Kumbuka muuzaji hupewa fedha baada ya kuthibitisha kuwa mzigo nimepokea na uko sawa.
Kwa kila manunuzi yafanyikayo baada ya mzigo kutumwa huwa kuna hizi option pichani
View attachment 461951
Option ya pili kutoka juu, Ndicho kipengele kinachotuhusu, na sababu zetu ni moja kati ya hizi (nimezungushia kwa blue)
View attachment 461954

Hivyo ondoa shaka. Katika hili uko salama

Nimekuelewa sana, ila ukiwa KEVIN ISAYA hakika utalipa gharama mara 2, pesa yangu haipotei
 
Nimekuelewa sana, ila ukiwa KEVIN ISAYA hakika utalipa gharama mara 2, pesa yangu haipotei
Kwa Mwl.RT nimeshapokea mizigo miwili, kwa Kevin Isaya nishapokea Mzigo mmoja , mingine kapotea nayo. Nadhani Kev kuna haja ya kumshughulikia ndugu, ikiwezekana kuanzisha Uzi wa kuhusu yeye, ili wahanga wa huduma yake wajitokeze wote ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi Yake. Serikali itamleta toka alipo
 
Naomba gharama kwa tshs..

total hadi unanipa mzigo wangu...
Habari

Gharama ya kuufikisha mzigo DSM - TZ ni: 2,190,060TZS

NB:
- Kiwango tajwa ni nje ya kodi/ VAT, Iwapo mamlaka husika itakutaka ulipie kodi/ VAT.
- Kiwango cha Kodi/ VAT, mamlaka husika ndio itatupa hesabu yake baada ya mzigo kufika na kukaguliwa
- Utawajibika kulipia kodi/ VAT.

Malipo:
- Malipo yote ni kwa njia ya Benki.
- Kuna njia mbili za kuweka fedha benki
(a) Physically kwenda benki na kuweka kiasi husika, au
(b) Kutumia Mobile Banking - Kwa utaratibu nilioweka kwenye post #1

upload_2017-1-21_5-9-11.png


KARIBU
 
TV BOX
Code:
 https://www.aliexpress.com/item/3GB-32GB-H96-Pro-Amlogic-S912-Octa-core-Android-6-0-TV-BOX-H-265-4K/32760495585.html?shortkey=fQJZriuA&addresstype=600
upload_2017-1-22_14-30-33.png


upload_2017-1-22_14-31-7.png


upload_2017-1-22_14-31-36.png


NAPOKEA ORDER KWA WANAOHITAJI KIFAA HIKI
- Bei TSH 205,000
- Muda wa kusubiri mzigo kufika Wiki 3

- Mawasiliano 0717 54 57 62
 
Mkuu.
Kama mzigo umetumiwa kupitia singapore post lazima upitie kenya au mingine inakuja moja kwa moja to dar?
 
Mkuu.
Kama mzigo umetumiwa kupitia singapore post lazima upitie kenya au mingine inakuja moja kwa moja to dar?
- Sio lazima upitie Kenya.
- Mizigo hupitia kenya iwapo hakuna usafiri wa moja kwa moja hadi TZ
upload_2017-1-22_20-12-3.png

Pichani, Ni mzigo wangu nitakao upokea hivi karibuni.
 
Mkuu mzigo wang wakwanza ulipitia kenya sasahv nimeagiza mwinginr kupitia singapore ila nimeona wameandika tracking via aliexpress wanaonyesha unakuja dsm ndo nikajiuliza inakuaje.
 
Mkuu mzigo wang wakwanza ulipitia kenya sasahv nimeagiza mwinginr kupitia singapore ila nimeona wameandika tracking via aliexpress wanaonyesha unakuja dsm ndo nikajiuliza inakuaje.
Utaupa, Ondoa shaka
- Sababu kwa china huwa kuna tatizo la kutuma mizigo moja kwa moja kuja nchi za kiafrica.
- hivyo mizigo hupitishiwa Netherland au Singapore ndipo ije huku.
 
Mkuu kweny mizigo ya china mzigo uliowah kufika kwa kutumia sku chache ni wastan ni siku ngap?
 
Kazi yake nini mwl
Android TV box
- Ni kifaa unachounganisha kwenye TV yako ya kawaida kama jinsi unavyounganisha kingamuzi cha kawaida.
- Ambapo utaweza kutazama TV channel kutoka mahala popote duniani kupitia internet ( IPTV ),
- Waweza tumia application tofauti tofauti kwenye TV BOX, kama ambazo huwa unatumia kwenye SIMU YAKO moja kwa moja kupitia TV yako - Hivyo unakuwa na SMART TV, baadhi ya application pendwa kwenye smart TV ni kama YOUTUBE, MOBDRO, SHOWBOX, NETFLIX, KODI etl.
- Kupitia hizo application unapata TV channel za HABARI, MPIRA, FILAMU, KATUNI, MAKALA MBALIMBALI yaani kama ilivyo kwa Vingamuzi vya kawaida kama cha DSTV - ila wewe utatumia internet
- Kwa baadhi ya mataifa yaliyo endelea walisha acha kutumia vingamuzi vya kawaida na wanatumia hizi TV Box.

Pitia hii thread
>> Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)
Kila kilichojadiliwa kwenye hiyo thread waweza kukifanya kupitia TV BOX hiyo pichani.

KARIBU BANGO JEUPE
 
Android TV box
- Ni kifaa unachounganisha kwenye TV yako ya kawaida kama jinsi unavyounganisha kingamuzi cha kawaida.
- Ambapo utaweza kutazama TV channel kutoka mahala popote duniani kupitia internet ( IPTV ),
- Waweza tumia application tofauti tofauti kwenye TV BOX, kama ambazo huwa unatumia kwenye SIMU YAKO moja kwa moja kupitia TV yako - Hivyo unakuwa na SMART TV, baadhi ya application pendwa kwenye smart TV ni kama YOUTUBE, MOBDRO, SHOWBOX, NETFLIX, KODI etl.
- Kupitia hizo application unapata TV channel za HABARI, MPIRA, FILAMU, KATUNI, MAKALA MBALIMBALI yaani kama ilivyo kwa Vingamuzi vya kawaida kama cha DSTV - ila wewe utatumia internet
- Kwa baadhi ya mataifa yaliyo endelea walisha acha kutumia vingamuzi vya kawaida na wanatumia hizi TV Box.

Pitia hii thread
>> Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)
Kila kilichojadiliwa kwenye hiyo thread waweza kukifanya kupitia TV BOX hiyo pichani.

KARIBU BANGO JEUPE
Safi sana mkuu kwa hiyo Hata nikiwa na tv ya chogo inapiga kazi?
Alafu bundle zetu hizi za internet inakua gharama kwa hii kitu
 
Android TV box
- Ni kifaa unachounganisha kwenye TV yako ya kawaida kama jinsi unavyounganisha kingamuzi cha kawaida.
- Ambapo utaweza kutazama TV channel kutoka mahala popote duniani kupitia internet ( IPTV ),
- Waweza tumia application tofauti tofauti kwenye TV BOX, kama ambazo huwa unatumia kwenye SIMU YAKO moja kwa moja kupitia TV yako - Hivyo unakuwa na SMART TV, baadhi ya application pendwa kwenye smart TV ni kama YOUTUBE, MOBDRO, SHOWBOX, NETFLIX, KODI etl.
- Kupitia hizo application unapata TV channel za HABARI, MPIRA, FILAMU, KATUNI, MAKALA MBALIMBALI yaani kama ilivyo kwa Vingamuzi vya kawaida kama cha DSTV - ila wewe utatumia internet
- Kwa baadhi ya mataifa yaliyo endelea walisha acha kutumia vingamuzi vya kawaida na wanatumia hizi TV Box.

Pitia hii thread
>> Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)
Kila kilichojadiliwa kwenye hiyo thread waweza kukifanya kupitia TV BOX hiyo pichani.

KARIBU BANGO JEUPE
Safi sana mkuu kwa hiyo Hata nikiwa na tv ya chogo inapiga kazi?
Alafu bundle zetu hizi za internet inakua gharama kwa hii kitu
 
Hata nikiwa na tv ya chogo inapiga kazi?
Ndio inafanya kazi

Ila utahitaji kuwa na "HDMI to AV Video Converter Adapter" inauzwa tsh 25,000
upload_2017-1-23_7-36-21.png


upload_2017-1-23_7-36-47.png


Alafu bundle zetu hizi za internet inakua gharama kwa hii kitu
- Kwa wengine kutumia TV Box inakuwa amepunguza ghalama ya kila mwezi
- Pitia hii thread: Wenye mabanda ya kuonyesha mpira tushauriane hapa
- Kinachojadiliwa kwenye hiyo thread ni njia mbadala za kupunuza ghalama ya kila mwezi kwa content husika

KARIBU
 
Back
Top Bottom