Mwl.RCT , vipi kuhusu ''Alibaba'', mbona hauitaji kwenye manunuzi online?
Kuna bidhaa nataka nikupe link afu you pay4me and buy4me. Ipo Alibaba. Nimeku-PM.
Angalia link nyingineHSABAT 0 Cycle 100% New 6100mAh BM50 Battery for Xiaomi Mi Max 2 II Max2 free shipping
HSABAT 0 Cycle 100% New 6100mAh BM50 Battery for Xiaomi Mi Max 2 II Max2 free shipping-in Mobile Phone Batteries from Cellphones & Telecommunications on Aliexpress.com | Alibaba Group
kama hii bei gan mpaka mkononi?
ALIBABA - Inafaa kwa manunuzi ya mzigo mkubwa, ni order direct toka kwa mzalishaji. Mfano: Hitaji kama ni simu kwa idadi ya 1000pcs basi alibaba ndio mahala pake.
Na kwa alibaba hata ukihitaji bidhaa husika zije kwa nembo yako, wanakuwekea iwapo tu idadi ya mzigo ni kubwa.
ALIEXPRESS - Bidha kwa bei ya reja reja.
Hivyo kwa manunuzi ya bidhaa ALIEXPRESS ndio inatufaa zaidi.
- Mzalishaji ni mmoja.Yaani mfano ninunue Xiaomi Redmi Note 4 kutoka supplier aliyepo China, kisha ninunue Xiaomi Redmi Note 4 kutoka supplier aliyepo UK ama USA, hizo simu zitakuwa na same quality?
Ni jukumu letu, Ni wajibu wetu kulipa kodi kwa maendeleo ya Taifa letu.Mimi ninachoogopa ni kodi tuu,
Sio kila kifaa cha electronics kinalipiwa kodi. Kuna vifaa vingine havina kodi, MfanoEmbu nipe uzoefu kwenye electronics
- Ghalama ya kodi kwa kifaa husika hutokana na HS tariff code, ya hicho kifaa.kodi iko vip!?? Maana kifaa kinaweza fika halafu ukashindwa kukilipia kodi
Ukunipatia bei zote 2 itakuwa poa zaidi.
128GB = TZS 1,407,150
64GB = TZS 1,216,350
Muda: Ndani ya wiki Tatu (3).
Optional: Iwapo utahitaji mzigo uje kwa njia ya haraka ( siku 5 hadi 10) ghalama inaongezeka kwa TZS 52,470
Hili swali ni kama lina macho matatu. Fanya kupitia ukurasa wa TRA.Okay hapa kodi inaweza kuwa kiasi gani!??
TZS 570,0153.xiaomi redmi 6 pro 64 gb
TZS 493,695Xiaomi redmi 6 pro 32 gb
Chagua rangi hapa: Parts4repair.Com kisha nipe link yake1.display ya samsung galaxy J7 ya 2016