High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,134
Nipe link ya model uliyochagua.
Angalia Aliexpress
Habari za siku kiongozi naomba namba zinazopatikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe link ya model uliyochagua.
Angalia Aliexpress
Hii link haipatikani.unique aircargo sasa waanzisha huduma bei rahisi kuliko ali express na alibaba unique aircargo sasa waanzisha huduma bei rahisi kuliko ali express na alibaba
Telegram anajibu sms on timeMwl umekua kimya , wiki ya pili sikupati hewani
Anatumia jina lipi nataka nijoinTelegram anajibu sms on time
Telegram anajibu sms on time
Jina hilo
Location-Dar es Salaam.Mwenye uhitaji wa Hellobox V5 HD,ninaiuza 75'000 cash! Ni mpya na haijatumika!if in need,kindly pm me.
Chukua mawasiliani yangu 0767427770 nichek tufanye miujzanauli 10,000
Niwasafirishaji siyo wauzaji
Mku hata mimi nikiagiza mzigo tangu mwezi wa tatu hapatikani labda mizigo ameifuataNamtafuta pia tangu june 2 yuko offline na hapatikani kwa simu.
Msaada wakuu mwenye taarifa zake.
Whatsapp anaingia mara moja moja text zina deliver ila hazisomi wala kujibu.Mku hata mimi nikiagiza mzigo tangu mwezi wa tatu hapatikani labda mizigo ameifuata
Nenda ofisini kwao mkuu kama uko Dar, hata kama hauko dar lkn una mtu kule unaweza kumuomba akakusaidia kufatilia. At least wangekupa taarifa ya mzigo kudelay kutokana na hali ya corona ilivyosababisha mambo kusimama.Wakuu kuna mtu yeyote aliyeagiza mzigo kati ya mwezi wa pili mpaka may mwaka huu kupitia kwa huyu MWL.RCT. anipatie feedback ya mzigo wake.
Sababu mimi niliagiza ila hapatikani hewan kabisa
Mkuu ukienda utanpa feedback bze sipo darNenda ofisini kwao mkuu kama uko Dar, hata kama hauko dar lkn una mtu kule unaweza kumuomba akakusaidia kufatilia. At least wangekupa taarifa ya mzigo kudelay kutokana na hali ya corona ilivyosababisha mambo kusimama.