Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Anatumia jina lipi nataka nijoin

Sent from my KIICAA POWER using JamiiForums mobile app
Jina hilo
IMG_20200609_215148.jpg
 
Wakuu kuna mtu yeyote aliyeagiza mzigo kati ya mwezi wa pili mpaka may mwaka huu kupitia kwa huyu MWL.RCT. anipatie feedback ya mzigo wake.
Sababu mimi niliagiza ila hapatikani hewan kabisa
 
Wakuu kuna mtu yeyote aliyeagiza mzigo kati ya mwezi wa pili mpaka may mwaka huu kupitia kwa huyu MWL.RCT. anipatie feedback ya mzigo wake.
Sababu mimi niliagiza ila hapatikani hewan kabisa
Nenda ofisini kwao mkuu kama uko Dar, hata kama hauko dar lkn una mtu kule unaweza kumuomba akakusaidia kufatilia. At least wangekupa taarifa ya mzigo kudelay kutokana na hali ya corona ilivyosababisha mambo kusimama.
 
Nenda ofisini kwao mkuu kama uko Dar, hata kama hauko dar lkn una mtu kule unaweza kumuomba akakusaidia kufatilia. At least wangekupa taarifa ya mzigo kudelay kutokana na hali ya corona ilivyosababisha mambo kusimama.
Mkuu ukienda utanpa feedback bze sipo dar
 
Back
Top Bottom