ila jaribu kuangalia na quality pia mkuu...Asante mkuu, ila bei naona kama haipishani sana na hapa tz. Maana hapo maeneo ya posta wanauza 110,000.
Ngoja zoezi nilimalizie hapa hapa tz, tutakutana kwny bidhaa nyengine
Mkuu, nimekusomaila jaribu kuangalia na quality pia mkuu...
Hizo frequency za 4g za hii simu zinakubali huku Afrika mkuu?Tazama majaribio ya hii simu
Ifahamu zaidi kupitia hii link
JE UMEIPENDA NA UNAIHITAJI HII SIMU?
WEKA ORDER SASA KWA TZS 405,000 TU
KARIBU