Utanitumia akaunti na maelezo yake WhatsApp.Maana nimeshatuma sms.Nadhani njia A ni bora zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utanitumia akaunti na maelezo yake WhatsApp.Maana nimeshatuma sms.Nadhani njia A ni bora zaidi.
Jina | SpeedafMzigo unaonesha umefika Tanzania na umekabidhiwa kwa local delivery company ambayo hawajaitaja jina lake hiyo company.
Jina | Speedaf
Nini cha kufanya | Fika kwenye ofisi zao mikocheni ukiwa na kitambulisho chako , Wape tracking number na utapewa mzigo
View attachment 2625113
Angalia PM | Nimetuma maelezo.Asante sana hao Spedaf wapo mikocheni ipi?
> | Pitia hii thread > SPEEDAF Carrier na uhuni wenu wa kitoto mnaotufanyia
Angalia PM | Nimetuma maelezo.
Asante sana kwa taarifa mheshimiwa!Nimepokea malipo uliyofanya | TZS 711,450
- Nitakupa tracking number ya kila item baada ya muuzaji kuandaa na kutuma mzigo.
View attachment 2624898
TZS. 79,050 | Hii itakufaa
Kwahiyo hii 632,400 ni mpaka kuzipata?
Asante sana kwa taarifa!View attachment 2627305
Je nini kinafuata? | Baada ya siku chache,kati ya siku 3 hadi 5 | Muuzaji atatupatia tracking number | Nitakujulisha next week
Unafanya kazi kwa uaminifu mkubwa.Nimepokea malipo uliyofanya | TZS 711,450
- Nitakupa tracking number ya kila item baada ya muuzaji kuandaa na kutuma mzigo.