Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Mwl.RCT
hongera kwa maarifa unayoweka hapa!
Naomba kujua, nimejaribu kufanya manunuzi ya bidhaa kwa Jumla - Alibaba, kitu kiachouzwa USD 6 nimejaribu kuweka Order ya 6 psc, Shipping pekeake naambiwa TSHs 360,000+ huko! Hii inakuwaje!
 
Alibaba, kitu kiachouzwa USD 6 nimejaribu kuweka Order ya 6 psc, Shipping pekeake naambiwa TSHs 360,000+
Alibaba - Ni maalum kwa wafanya biashara wakubwa, wanao chukua mzigo mkubwa kwa jumla, mfano 500pcs or above.

Alibaba waweza kuwa unahitaji 1pcs ya item fuani inayouzwa US $4, wewe ukasema idadi ni 1 - 5pcs, wanachukulia kuwa unahitaji sample,

Hiyo sample hutumwa kwa njia ya express, ambapo minimum kwa express shipping huwa kati ya $40 hadi $60 kutegemea ain ya bidha husika.

Hivyo kwa upande wako, ni sawa kabisa, kwa item ya $6 kutakiwa kulipia TZS. 360,000 ( wnachukulia wewe ni mfanya biashara mkubwa na unahitaji sample kwa hara)

Je nini unatakiwa kufanya.
  • Tumia retail stor kama | aliexpress.com
  • ambapo shipping cost huwa iko wazi na ni nafuu san.
 
1686657517792.png

Nashukuru sana!
 
Anayeuz jez toreo jipya Kam vile arsenal na man u
Zinapatikana ebay kwa kila timu utakayohitaji, ia kwenye officia website ya timu husika

Mfano kwa ebay
1686807058043.png

Kwa US $53 + $18 = Manunuzi yatakuwa yamefanyika
=
Kwa officia store ni kama hii | Manchester United Online Store, Official Man United Clothing, Manchester United Merchandise | United Direct
1686807189666.png

=
1686807284781.png

=
Unachotakiwa kufanya
1. Tembelea ebay au officia store ya tmu husika
2. Chagua kwa kadri ya mahitaji.
3. Nipe link nitakupa ghalama ya kufikisha hapa nchini.
 
1686824446934.png

Code:
https://www.dubuy.com/tz-en/computer-electronics/cp
 
Alibaba - Ni maalum kwa wafanya biashara wakubwa, wanao chukua mzigo mkubwa kwa jumla, mfano 500pcs or above.

Alibaba waweza kuwa unahitaji 1pcs ya item fuani inayouzwa US $4, wewe ukasema idadi ni 1 - 5pcs, wanachukulia kuwa unahitaji sample,

Hiyo sample hutumwa kwa njia ya express, ambapo minimum kwa express shipping huwa kati ya $40 hadi $60 kutegemea ain ya bidha husika.

Hivyo kwa upande wako, ni sawa kabisa, kwa item ya $6 kutakiwa kulipia TZS. 360,000 ( wnachukulia wewe ni mfanya biashara mkubwa na unahitaji sample kwa hara)

Je nini unatakiwa kufanya.
  • Tumia retail stor kama | aliexpress.com
  • ambapo shipping cost huwa iko wazi na ni nafuu san.
Hao Alibaba wameniuliza Kama Nina agent China wanitumie parcel kule kwa Bei nafuu.
Hii imekaaje
 
Hii imekaaje
- Utalipia usafirishaji kwa awamu mbili.

1. Toka kwa muuzaji hadi kwa agent wako ( baada ya kumpa anwani husika)
2. Utalipa ghalama ya agent ya kukusafirishia hadi tanzania ( kila agent huwa na gahrama zake kutegemea ukubwa wa mzigo na uzzito wa mzigo)

- Bada ya mzigo kufika nchini iwapo kuna swala la kodi utalipia pia agnt wako atafuatilia na kukupa mchanganuo wa gharama.
 
1687627383467.png

Code:
https://www.cat-fahrerclub.de/en/clothing/cat-polo-brian-caterpillar.htm#/2-size-m
 
Mwl.RCT Nahitaji kununua hii bidhaa ipo mnadani .


Je utaweza kuwahi?

Inatakiwa ndani ya masaa 3, Niwe nimekamilisha deal, Ni check whatsapp 0788 203 160

Mwl.RCT Nahitaji kununua hii bidhaa ipo mnadani .


1688046586952.png

  • Item iko kwenye mnada.
  • Muda uliobakia 3hrs
  • Je utaweza kuwahi huu muda?
 
Back
Top Bottom