Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Habari nisaidie kujua mpaka naipata gharama ni ngapi na itachukua muda gani?SEPTIC AIR PUMP
Screenshot_20180317-113003.jpeg
 
Habari nisaidie kujua mpaka naipata gharama ni ngapi

Kutakuwa na awamu tatu za malipo kwa kutegemea vipengele hivi vitatu, Kwa sasa hakuna ghalama kamili inayofahamika
  • 1. Manunuzi na kuufikisha mzigo hadi ofisini katika mji wa Kelsterbach (Germany), ndipo usafirishe kuja Tanzania
- Hii ghalama itajulikana baada ya kumhakikishia seller kuwa nitaununua huu mzigo, .
upload_2018-3-25_4-36-54.png

upload_2018-3-25_4-38-59.png

  • 2. Ghalama ya kusafirisha kutoka Germany kuja Tanzania - Hii itatokana na uzito wa package ya mzigo husika, item weigh inaonekana ni 7kg, ila haijafahamika ikiwa na vifungashio uzito utafika kilo ngapi?, Hivyo ghalama itajulikana baada ya mzigo kufika ofisini Kelsterbach (Germany)
upload_2018-3-25_4-41-8.png

  • 3. Kodi /VAT - Pia haifahamiki mamlaka husika itahitaji kodi kiasi gani; Ghalama itajulikana baada ya mzigo kufika nchini.
Hivyo iwapo uko tayari kufanya malipo kwa awamu tatu, mzigo nitaufikisha nchini.
itachukua muda gani?
MUDA: Mzigo utachukua wiki mbili kufika tanzania
 
Kutakuwa na awamu tatu za malipo kwa kutegemea vipengele hivi vitatu, Kwa sasa hakuna ghalama kamili inayofahamika
  • 1. Manunuzi na kuufikisha mzigo hadi ofisini katika mji wa Kelsterbach (Germany), ndipo usafirishe kuja Tanzania
- Hii ghalama itajulikana baada ya kumhakikishia seller kuwa nitaununua huu mzigo, .
View attachment 724501
View attachment 724502
  • 2. Ghalama ya kusafirisha kutoka Germany kuja Tanzania - Hii itatokana na uzito wa package ya mzigo husika, item weigh inaonekana ni 7kg, ila haijafahamika ikiwa na vifungashio uzito utafika kilo ngapi?, Hivyo ghalama itajulikana baada ya mzigo kufika ofisini Kelsterbach (Germany)
View attachment 724503
  • 3. Kodi /VAT - Pia haifahamiki mamlaka husika itahitaji kodi kiasi gani; Ghalama itajulikana baada ya mzigo kufika nchini.
Hivyo iwapo uko tayari kufanya malipo kwa awamu tatu, mzigo nitaufikisha nchini.

MUDA: Mzigo utachukua wiki mbili kufika tanzania
Nashukuru kwa ufafanuzi ,nipo tayari kwani nahihitaji hii kitu ,nipe utaratibu tunafanya vipi
 
Back
Top Bottom