Jamaa anajua nini anafanya, ukiwa ndio unaanza kufanya nae biashara unaweza kuwa na wasi wasi kweli lakini mkuu wala SIO tapeli na ana kauli nzuri kwa mateja wake.Mwl Rct nashukuru mzigo wangu wa simu ya xiaomi note 4 niliupata salama Na ndani ya muda ulioahidi.Nimependa unavyojibu maswali ya mteja Kwa haraka.Good job brother!
kweli kabisaJamaa anajua nini anafanya, ukiwa ndio unaanza kufanya nae biashara unaweza kuwa na wasi wasi kweli lakini mkuu wala SIO tapeli na ana kauli nzuri kwa mateja wake.
Karibu kiongozisubscribe
Mkuu nichekie hii hadi naivaa nalipa Tshs ngapi?Neno BID hutumika kwa bidhaa zilizo kwenye mnada.
Ambapo bei huanzia chini (starting Bid), na kupanda kadri dau la mnunuzi linavyopanda,
Hivyo ili ushinde manunuzi inatakiwa uweke dau kubwa zaidi ambapo hakuna mnunuzi mwingine wa kuweza kufikia hiko kiwango ndani ya muda wa muda kwisha.
Utafutapo bidhaa EBAY tafuta zile zenye kipengele cha BUY IT NOW
Itakufikia kwa TZS 94,458Mkuu nichekie hii hadi naivaa nalipa Tshs ngapi?
HD 1280*960 Spy Wrist 8gb DV Watch Video Hidden Camera DVR Waterproof Camcorder# | eBay
TZS 762,930Samsung SM/T813NZKFX Galaxy Tab S2 9.7" 64GB Tablet - Black 887276170022 | eBay
Mkuu habari?
Naihitaji hii kitu em nipe bei yake?
Nikilipia gharama hiyo mzigo utanifikia mpaka nilipo au kuna gharama nyingine itakayoongezeka...View attachment 801253
TZS 363,300
Hii ni ghalama ya kuufikisha mzigo Dar.Nikilipia gharama hiyo mzigo utanifikia mpaka nilipo au kuna gharama nyingine itakayoongezeka...
Dah! Hapo parefu mkuu..... Chini ya laki nne labda ntapatai ipi yenye 64 gb, 4g Wi-Fi na camera nzuri. Xiaomi au lenovo au brand yoyote yenye akili?TZS 762,930
Date 3G/4G Android 7.0 Tablet PC Tab Pad 10 Pouce IPS Octa Core 4 GB RAM 64 GB ROM Double Carte SIM Appel Téléphonique comprimés pcs 10 "10.1" de la boutique en ligne | Aliexpress mobileIngia aliexpress tafuta brand zisizo na majina makubwa utapata.
TZS 2,974,216Amazon product ASIN B0716LJSH7mkuu naweza pata bei
ya hii