Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

mkuu hapo na mambo ya kodi ni inclusive kwa bei hiyo??
Hapana
Mamlaka husika ndio uhutaja kiwango cha VAT au KODI kama itahitajika kwa huu mzigo wako, Itafahamika mzigo ukifika nchini.
Jukumu langu ni kununua na kukusafirishia hadi Tanzania, na kukujulisha iwapo mzigo umetozwa kodi au la pindi ufikapo.
 
View attachment 766110
Je kifaa umepata tayari?

Iwapo bado
- Hatua ya kwanza ni kufanya manunuzi: Bei ni TZS 149,420 (Manunuzi + kusafirisha toka USA )
- Hatua ya pili: Utachomeka kwenye TV yako kwa kutumia HDMI cable, na utafuatisha maelekezo ON Screen, ili kufanya initial setup na kuunga internet . Ni rahisi ndani ya dakika cahche unakuwa umekamilisha.

Hapo kifaa kinakuwa tayari kwa matumizi, na utaweza kupata TV channel yeyote utakayo ihitaji pamoja na filamu, Just kwa kutamka kwa sauti kwenye Remote (Alexa Voice Remote).

Mawasiliano: whatsapp 0784 496 856; kwa msaada zaidi ili kufanikisha kupata kifaa hiki.

KARIBU
Mkuu naitaka hii kitu nitakutafuta
 
Back
Top Bottom