Naja naja
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 747
- 1,454
Ukitaka kufanikiwa kimaisha anza kwa kununua daftari na peni.
Hakikisha kila siku kabla haujalala umeshapanga kesho yako ufanye nini na nini na matumizi gani muhimu uyafanye.
Nini ufanye ili uboreshe utendaji kazi wako, maslahi yako, elimu yako, biashara yako nk.
Kesho yake kabla muda wa kulala, angalia jambo lipi na lipi ulilolipanga jana yake umefanikiwa kulifanya na lipi haujafanikiwa kulifanya, matumizi yapi umeyafanya kwa siku nzima, je matumizi yote yalikuwa yana ulazima? Siku yako umeitumiaje??
Ukiishi hivi ndani ya mwezi tu utafika mbali sana kimafanikio na itakusaidia kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na utajua kuutumia muda wako vizuri.
Hakikisha kila siku kabla haujalala umeshapanga kesho yako ufanye nini na nini na matumizi gani muhimu uyafanye.
Nini ufanye ili uboreshe utendaji kazi wako, maslahi yako, elimu yako, biashara yako nk.
Kesho yake kabla muda wa kulala, angalia jambo lipi na lipi ulilolipanga jana yake umefanikiwa kulifanya na lipi haujafanikiwa kulifanya, matumizi yapi umeyafanya kwa siku nzima, je matumizi yote yalikuwa yana ulazima? Siku yako umeitumiaje??
Ukiishi hivi ndani ya mwezi tu utafika mbali sana kimafanikio na itakusaidia kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na utajua kuutumia muda wako vizuri.