Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ulizurumu..?😂Mimi last week nimepokea vifurushi kumi kwa mpigo huku vingine vikiwa tayari nimesharudishiwa hela
Cheki na mwl rct huku bei iko juunatafuta focusrite studio packView attachment 1521197
View attachment 1521198
View attachment 1521199
Cheki na mwl rct huku bei iko juuView attachment 1521210
Ngoja niepushe balaa lakipinzani niwe mpole kwa muda..😅Wee kichwa kibovu kweli ..nitakuwekea unachotaka
Wanapokea kupitia smart card yako
Alibaba ni vitu vya jumla, aliexpress ni vitu vya rejareja.
Hapana wamenirefund na kusema kama nikipokea basi iwe zawadi..kuna kitu kinaitwa buyer's protection..mara nyingi ni siku 60 zikipita hujapokea mzigo unarudishiwa hela yako ..mzigo ukifika baada ya hapo ni zawadiKwahiyo ulizurumu..?[emoji23]
Hapana wamenirefund na kusema kama nikipokea basi iwe zawadi..kuna kitu kinaitwa buyer's protection..mara nyingi ni siku 60 zikipita hujapokea mzigo unarudishiwa hela yako ..mzigo ukifika baada ya hapo ni zawadi
Sina hakika ..shida ya Alibaba ni wababaishaji sana wanakuwekea kitu kizuri kwa bei poa ukija kupokea ni majangandio maana mm nataka alibaba, maana bei zao ni poa sana. VP mwalimu kwani huduma yake imerejea??? naonawengi wanamtafuta
Hongera ila na pia hongera zaidi maana naona tunguli zako zimekuwa hadi ktk anga zakimataifa..😅Hapana wamenirefund na kusema kama nikipokea basi iwe zawadi..kuna kitu kinaitwa buyer's protection..mara nyingi ni siku 60 zikipita hujapokea mzigo unarudishiwa hela yako ..mzigo ukifika baada ya hapo ni zawadi
Hapana subiri nikipata kwa bei hiyo huku nitakujilisha
Acha wivu ukitaka njoo nikufundishe... Ebay niliwakimbia pia wana ujanja ujanja mwingiHongera ila na pia hongera zaidi maana naona tunguli zako zimekuwa hadi ktk anga zakimataifa..[emoji28]
Mi nilitumia eBay unaweza lipia hata kwa mpesa MasterCard!
Unifundishe tunguli..??😂😂Acha wivu ukitaka njoo nikufundishe... Ebay niliwakimbia pia wana ujanja ujanja mwingi
Vipi mkuu kihusu Kodi na gharama za TRAMimi last week nimepokea vifurushi kumi kwa mpigo huku vingine vikiwa tayari nimesharudishiwa hela
Haya ndo mambo..
Hauko sahihi hapa mkuu, Alibaba ni kwaajili ya large order pekee, au niseme ji vitu vya jumla tu , ile jumla yenyewe haswa .. Ukiagiza kitu utakuta min order labda ni items 1000Sitaki kuharibu biashara ya mtu lakini kulinishinda kule ...hata hivyo haya maduka mawili ya mtandaoni inaelekea mmiliki ni mmoja
Ilianza Alibaba ilipoharibu akaja na Aliexpress nadhani....kwakuwa icloud inasoma Alibaba
By the way ulikuwa unahitaji vitu gani?