Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙄🙄🙄🙄umetumia kidhungu mkuu😪😪All inclusive mkuu
Niko njiani safarini ngoja nifike nitakujibu kwa utulivuNaomba kuuliza kuhusu suala la kodi. Nitajuaje kuwa kitu hicho kipo registered na hakitachajiwa kodi?
Na kingine kuhusiana na usafirishaji, je ni kampuni gani inasafirisha kwa bei ya wastani na kwa muda mfupi?
Nimekua mteja mzuri wa Aliexpr kutokana na andiko lako hili...shukrani sana...Jmaa waaminifu kwakiasi kikubwaWapendwa wa familia kubwa ya JamiiForums. Waswahel wanasema KIZURI KULA NA NDUGUYO.
Tunaingia kwenye zama za biashara na manunuzi mitandaoni, yaani muuzaji na mnunuzi hamfahamiani kabisa bali kuna mtu wa kati anayewakutanisha (dalali).
Huyu dalali amejenga uaminifu pande zote mbili kati ya muuzaji na mnunuzi, hivyo atapokea malipo ya mnunuzi atamjulisha muuzaji kuwa malipo yake anayo, muuzaji atatuma bidhaa husika. Mnunuzi akiipokea atathibitisha kuwa amepokea na dalali atapeleka malipo kwa muuzaji.
Nitaweka baadhi ya bidhaa nionazo ni unique kila wakati na utakayoipenda utaingia mtandaoni mwenyewe ama kupitia wakala.
Vilele nakaribisha maswali kuhusu manunuzi ya mtandaoni. App ninayotumia mimi ni Aliexpress lakini pia ziko nyingine nyingi.
View attachment 1521165View attachment 1521166View attachment 1521167
Kweli kbs Mkuu...nakiri hiloHata bidhaa zao ziko vizuri na handling ya mteja pia
Alibaba wanauza sana large quantity Alibaba unanunua ata kamojaSitaki kuharibu biashara ya mtu lakini kulinishinda kule ...hata hivyo haya maduka mawili ya mtandaoni inaelekea mmiliki ni mmoja
Ilianza Alibaba ilipoharibu akaja na Aliexpress nadhani....kwakuwa icloud inasoma Alibaba
By the way ulikuwa unahitaji vitu gani?
Alibaba wanauza sana large quantity Alibaba unanunua ata kamoja
Unaambatanisha na namba ya simu hivyo utapigiwa na mzigo unaweza kukaa posta hadi wiki 8naomba kuuliza kama umeagiza mzigo na postal address uloandika mwanzo haupo tena hapo nikimaanisha umehama eneo Hilo.
je kuna mfumo wa online wa posta ambao unaweza kuulizia mzigo wako kama umefika pale posta?
Soma hapo kwenye shipping fee..subiri niko safarinimshana, nahitaji hii kitu. Nipe gharama hadi napokea mkononi
https://m.aliexpress.com/item/32933...er_id=e1db1708f42c449ea988b29a6f6619c7&is_c=N
Soma hapo kwenye shipping fee..subiri niko safariniView attachment 1521313