Nunua na Aliexpress: Tuelimishane manunuzi mtandaoni

Nunua na Aliexpress: Tuelimishane manunuzi mtandaoni

Hauko sahihi hapa mkuu, Alibaba ni kwaajili ya large order pekee, au niseme ji vitu vya jumla tu , ile jumla yenyewe haswa .. Ukiagiza kitu utakuta min order labda ni items 1000

wakati Ali Express ni kwaajili ya akina sie, hata kitu kimoja ukitaka unapata , hiyo ndio tofauti tu mkuu na sii vinginevyo

Alibaba hata one unit kunabaadhi ya supplier wanauza
 
Sitaki kuharibu biashara ya mtu lakini kulinishinda kule ...hata hivyo haya maduka mawili ya mtandaoni inaelekea mmiliki ni mmoja
Ilianza Alibaba ilipoharibu akaja na Aliexpress nadhani....kwakuwa icloud inasoma Alibaba
By the way ulikuwa unahitaji vitu gani?
Hakuna kilichoharibika. Alibaba ni app au website inayodeal na mauziano ya jumla na kwa kiwango kikubwa cha mzigo yaani Business to Business.

Aliexpress ni app au website inayodeal na mauziano ya rejareja yaani retail sales au Business to consumer.

Hizi zote ni za taasisi moja na zote zipo active kibiashara.
 
Haya ndo mambo..

Ila wakumbushe kabla hawajanunua wawe wanasoma maelezo ya kitu vizuri mtu asijenunua kitu used akaanza lalamika.. Tena wakumbushe wawe wanachat na muuzaji akiona hajaelewa au anahitaji maelezo ya kutosha..

Maana unaweza agiza kava la simu badala ya simu..[emoji28]
Sahihi kabisa nitatoa elimu kama ile ya uganga tuu
 
Hauko sahihi hapa mkuu, Alibaba ni kwaajili ya large order pekee, au niseme ji vitu vya jumla tu , ile jumla yenyewe haswa .. Ukiagiza kitu utakuta min order labda ni items 1000

wakati Ali Express ni kwaajili ya akina sie, hata kitu kimoja ukitaka unapata , hiyo ndio tofauti tu mkuu na sii vinginevyo
Nimeshanunua retail na Alibaba mwanzoni labda kama wamebadili ni sasa
 
Una bahati
Mkuu samahani tena kwaiyo bidhaa kama nguo,viatu,simu,laptop,saa ukiagiza hutatozwa gharama nyingine tena ya kulipia TRA au mzigo ukishaulipia cost zote zinakua zimejumlishwa moja kwa moja
 
Mimi nahitaji msaada wa kuship kwa haraka kutoka AliExpress, last time niliagiza mzigo March umefika Dar July hii na bado mmoja haujafika.
Mbona mzigo wako umewahi? Mi niliagiza mwezi wa 12 tarehe 4 , mzigo umeingia jumatatu hii tarehe 27!!!
Mzigo Kama ukipitia China post ni tatizo kubwa labda Kama unapitia Singapore post
 
Mkuu samahani tena kwaiyo bidhaa kama nguo,viatu,simu,laptop,saa ukiagiza hutatozwa gharama nyingine tena ya kulipia TRA au mzigo ukishaulipia cost zote zinakua zimejumlishwa moja kwa moja
All inclusive mkuu
 
Back
Top Bottom