kapama shauritanga
Member
- Jul 8, 2014
- 74
- 7
Sawa shukrani kiongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafanya ila sii sahihi , na wako kwa uchache .. Ali Express huko ndio changanyikeni..Alibaba hata one unit kunabaadhi ya supplier wanauza
Dah hiz nzur balaa
Wapi ni wazuri Sasa au unafanyaje ukipokea bidhaa majangaSina hakika ..shida ya Alibaba ni wababaishaji sana wanakuwekea kitu kizuri kwa bei poa ukija kupokea ni majanga
Tupe ufafanuzi kigogo hapa register wapKuna mizigo ya aina mbili
Ukiwa ni register hulipii kama sio register unalipia..mimi sijawahi kulipia zaidi ya elfu 5
Sawa shukrani...Unaambatanisha na namba ya simu hivyo utapigiwa na mzigo unaweza kukaa posta hadi wiki 8
Vipi kuhusu kuagiza kitu A ukaletewa B?Hauko sahihi hapa mkuu, Alibaba ni kwaajili ya large order pekee, au niseme ji vitu vya jumla tu , ile jumla yenyewe haswa .. Ukiagiza kitu utakuta min order labda ni items 1000
wakati Ali Express ni kwaajili ya akina sie, hata kitu kimoja ukitaka unapata , hiyo ndio tofauti tu mkuu na sii vinginevyo
Transaction zote zinapitia kwa wakala ..huwezi hata siku moja kufanya biashara na muuzaji hapo ulikuwa unapigwaMshana mi nielekezee tu kununua hao jamaa mim Nimejaribu nilikuwa naambiwa wasiliana na supplier Sasa unakuta supplier anataka nimtumie pesa ye direct kitu kilichokuwa kinafanya niogope. wee unafanyaje fanyaje naogopa kuibiwa
Nimerudi ngoja asubuhi nitakupa majibu ya uhakika kwenye kodiNaomba kuuliza kuhusu suala la kodi. Nitajuaje kuwa kitu hicho kipo registered na hakitachajiwa kodi?
Na kingine kuhusiana na usafirishaji, je ni kampuni gani inasafirisha kwa bei ya wastani na kwa muda mfupi?