Nunua na Aliexpress: Tuelimishane manunuzi mtandaoni

Nunua na Aliexpress: Tuelimishane manunuzi mtandaoni

Mshana mi nielekezee tu kununua hao jamaa mim Nimejaribu nilikuwa naambiwa wasiliana na supplier Sasa unakuta supplier anataka nimtumie pesa ye direct kitu kilichokuwa kinafanya niogope. wee unafanyaje fanyaje naogopa kuibiwa
 
216152582310809100.jpg
1402282886-1995252862.jpg
12457561-746805094.jpg


Jr[emoji769]
 
Ordered April... Received June... Free shipping by seller method (almost cheapest one). AliExpress Standard Shipping huchukua 10days-15 days b4 corona
Screenshot_20200730-222837.jpg
 
Hauko sahihi hapa mkuu, Alibaba ni kwaajili ya large order pekee, au niseme ji vitu vya jumla tu , ile jumla yenyewe haswa .. Ukiagiza kitu utakuta min order labda ni items 1000

wakati Ali Express ni kwaajili ya akina sie, hata kitu kimoja ukitaka unapata , hiyo ndio tofauti tu mkuu na sii vinginevyo
Vipi kuhusu kuagiza kitu A ukaletewa B?
 
Mshana mi nielekezee tu kununua hao jamaa mim Nimejaribu nilikuwa naambiwa wasiliana na supplier Sasa unakuta supplier anataka nimtumie pesa ye direct kitu kilichokuwa kinafanya niogope. wee unafanyaje fanyaje naogopa kuibiwa
Transaction zote zinapitia kwa wakala ..huwezi hata siku moja kufanya biashara na muuzaji hapo ulikuwa unapigwa
 
Naomba kuuliza kuhusu suala la kodi. Nitajuaje kuwa kitu hicho kipo registered na hakitachajiwa kodi?
Na kingine kuhusiana na usafirishaji, je ni kampuni gani inasafirisha kwa bei ya wastani na kwa muda mfupi?
Nimerudi ngoja asubuhi nitakupa majibu ya uhakika kwenye kodi
 
Back
Top Bottom