Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Elimu,gharama zote hizozanini,waka kokotoya msolwa laki mbili napa ya kutosha mkuu.sisi walala hoi hiyo haitufahi....mpaka wakitugawia za makinikia tunaweza kukutafuta
Elimu,
Elimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu,gharama zote hizozanini,waka kokotoya msolwa laki mbili napa ya kutosha mkuu.sisi walala hoi hiyo haitufahi....mpaka wakitugawia za makinikia tunaweza kukutafuta
Duuuu, kweli sisi ni watanzaniaWatanzania bwana, wapi kaandika 50,000/=?
Si ununue huko gulf kuliko kuja kumuharibia mwenzako biashara.kujifanya mjuajiSijaharibu, nimeuliza tu.
Haya mambo bana lazima ujiridhishe na Ubora aisee,
Waweza kununua Zege ambalo hujui limekorogwaje ukaenda kuangukiwa na Mjengo,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kazi
kazi
kazi
Elimu,
Elimu,
Elimu
safi sana, bei zenu ni nzuri kama viwango vitazingatiwa, namaanisha kama hakutakiwa n'a uchakachuaji. Ofisini zenu ziko wapi mkuuBei zetu zipo Kwa Grade mnyabulisho Kama ufuatao
C10-190,000/-
C15-195,000/-
C20-200,000/-(inayotumika sana)
C25-208,000/-(Kwa ghorofa itakufaa)
C30-226,000/-
C35-235,000/-
C40-248,000/-
C45-270,000/-
C50-290,000/-
Hizo zote Ni Bei kulingana Na grade Za zege.
Note that C- lnasimamia Kama class.
1. Mkuu bei zenu bado ziko juu kidogo kuliko wenzenu wa Lake, gulf na camel...
2. Kuna tatizo LA wizi wa Zege, hili mtawahakikishia vipi wateja wenu kwamba Zege litamwaga in rightful amounts?
3. Cube tests zikifeli hua mnachukua hatua gani?
Hujaelewa somo.... Kazungumzia one cubic meter, kwahiyo you can spread it the way you want based on thickness na surface area[emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji11] hatar san chumba kimoja kitaka lk 6 kwamaana hyo
Bei Ni biashara ambazo kila company inapanga kulingana Na ubora Na uimara wa kitu Kama umeona Bei zetu zipo juu Upo huru kwenda kununua Bei zilizo chini.mind you cheap is expensive.kuhusu wizi tutakupa warranty ambayo ita kusecure we mteja wetu!
waambie CBM ni cubic meter...Uki ainisha vipimo vyako tutakupa jibu sahihi Ila hatujui upana Ni ngap urefu Ni ngap Na kina Ni ngap hvyo jibu la makadirio Lina Kua gumu Kiongozi.tupe vipimo upewe majibu.
Bei zetu zipo Kwa Grade mnyabulisho Kama ufuatao
C10-190,000/-
C15-195,000/-
C20-200,000/-(inayotumika sana)
C25-208,000/-(Kwa ghorofa itakufaa)
C30-226,000/-
C35-235,000/-
C40-248,000/-
C45-270,000/-
C50-290,000/-
Hizo zote Ni Bei kulingana Na grade Za zege.
Note that C- lnasimamia Kama class.
Nimeipenda hii vipi CBM ni Cubic Metre ama?Uki ainisha vipimo vyako tutakupa jibu sahihi Ila hatujui upana Ni ngap urefu Ni ngap Na kina Ni ngap hvyo jibu la makadirio Lina Kua gumu Kiongozi.tupe vipimo upewe majibu.
We unapendelea Bei yake iwe Tsh ngap Kwa grade 30?Maoni yako yatatusaidia kuboresha HUDUMA!